wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Yaani mtu akikanyaga mavi anaanza kutembea kwa kuchechemea Kama vile amekanyaga miiba/msumari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba usinitaje mahali popote. Jiheshimu sijawahi kukuchokoza wala kukuvunjia heshima.Achana na Mimi ndugu tafadhali.Had u known who am I you couldn't have said that what happened BTN mama kubwa and I was settled amicably by mods.
Wape za uso.Wanawake wa jf mnanipapatikia Sana
Kausha mkuu,hakuna haja ya kuendelea na malumbano.yaishie yalipoishia,na mambo mengine yaendelee.Busara itawale.Yataanza hivi,ila mwisho wake mtarushiana maneno makali.Nimekutaja kwa ubaya? Mbona unaonyesha una stress?
Eti unaogopa😄 unaogopa nn? Kauli yako tata!Naogopa
Acha ukorofi SuperbugNimekutaja kwa ubaya? Mbona unaonyesha una stress?
JesusssssssssssEti unaogopa😄 unaogopa nn? Kauli yako tata!
Nyani Ngabu amepotea sana humu tafadhali sana kama una wasiliana naye tujulishe tu kama yuko poa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyumba 300 halafu taarifa hii bado ikawa siri haikuzuka maredioni
Au ulichoma kambi 300 za wakulima?
Wangemtumia kama plau[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na shamba ukatelekeza mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]wangekukamata wangekunywa supu yako kabla hawaja kufikisha kwa pilato
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mama kubwa anakushtaki
Hakuna kitu kinakosa faida humu duniani!Umaarufu wa fake id, ni sawa na embe lililooza, halina faida.
KIJIJI HIKO KIKO KUSINI SEHEM GANI KATI YA LINDI NA MTWARA