Niliwasha Moto mahali kwa bahati mbaya ukaunguza nyumba 300
Yaani mtu akikanyaga mavi anaanza kutembea kwa kuchechemea Kama vile amekanyaga miiba/msumari.
 
Nyumba 300 halafu taarifa hii bado ikawa siri haikuzuka maredioni

Au ulichoma kambi 300 za wakulima?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Itakua kambi za wakulima
 
Na shamba ukatelekeza mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]wangekukamata wangekunywa supu yako kabla hawaja kufikisha kwa pilato
Wangemtumia kama plau[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Eh nimefika mwisho wa uzi

Naona kama unachachamaa hivi haya ngoja tuupandishe juu zaidi









Narudi na popukoni na choda[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Back
Top Bottom