Nafanyaje mkuu nachemsha au natafuna japo asali nina changamoto nayo ilikua inaniuma tumbo kipindi cha nyuma so nilikua siifagiliiDawa ya usingizi ni asali na tangawizi utalala usingizi mzito sana usifanye mazoezi magumu jioni tembea km 5-10 inatosha kabisa
Ukifanikiwa kuacha pombe maana yake umeiokoa nafsi YakoMkuu nilijitahid kufanya hivyo lkn niliona muda unaenda tu na nikinywa pombe ndio nilikua napata mshawasha na kuvuta sigara so niliamua kuacha tu gafla siku za mwanzo nilikua kama mgonjwa mkuu
Kwamba kama alikua anakunywa bia tatu akaacha, anywe angalau bia mbili kujipongeza 😀Pombe hutakiwi kuacha ghafla, unatakiwa kuacha taratibu. Kunywa bia tatu kwa siku kwa muda fulani uraacha taratibu. Usiache pombe kizembe...
Una grind au kutwanga Kisha unatengeneza chai flani ila ya tangawizi pekee Kisha unaweka asali vijiko viwili hapo utakuwa na afya Bora sanaNafanyaje mkuu nachemsha au natafuna japo asali nina changamoto nayo ilikua inaniuma tumbo kipindi cha nyuma so nilikua siifagilii
Una bahati umeshtuka mapema...Umefanya jambo zuri kuacha mafegi na mabangihabari wakuu. Weekend nyingine ya mwanzo wa mwezi february sasa.
mimi ni kijana (me) wa umri wa miaka 27 nilianza kuvuta sigara mwaka 2016 nikiwa advance.
NImevuta miaka sasa pamoja na kunywa pombe japo sikuwa addicted sana nilikua naweza kupitisha hata week bila kuvuta wala kunywa.
Lakini mwaka jana 2024 baada ya x mass niliamua kuacha kunywa pombe na kuvuta sigara nimefanikiwa sasa nina mwezi sijagusa pombe wala sigara.
Lakini napata tabu sana mchana najaribu ku keep busy na ikifika jion naenda mazoezi uwanjan napiga ball na aerobics nyingine ili kupunguza ashk ya kuludi nilipotoka.
Lakin hivi karibuni nimekuwa nakosa au napata usingizi kwa tabu na kwa kuchelewa sana huku nikiwa na hamu ya kuvuta. Hapo awali hadi mikono ilikua iktetemeka kama sijavuta. Lkn nilishinda hiyo hali sahivi nakosa usingizi.
Watu wa karibu ikiwemo jamaa na rafiki ndugu hawajui wala sijawai vuta mbele yao pombe at list walikua wananiona mara moja moja nikiwa nimechangamka
naomba ushauli ndugu wataalam wa afya na wengine ambao mlichukua maamuzi kama yangu kuacha hivi vitu ili nisiludi nilipotoka. Mtanisamehe kwa uandishi mmbovu
Sahihi mkuuu nilikua napiga embassy angalau 4 kwa siku na kwUna bahati umeshtuka mapema...Umefanya jambo zuri kuacha mafegi na mabangi
Shukran mkuu nifanye hivyo muda huuUna grind au kutwanga Kisha unatengeneza chai flani ila ya tangawizi pekee Kisha unaweka asali vijiko viwili hapo utakuwa na afya Bora sana
Ni kweli mkuu ndio maana sitaki kukaa bure bure kabisa yaani nahakikisha nimeji keep busy busy pia nimepunguza kukaa na wanao tumia otherwise tuna kaz maalumShetani mjinga sana ukiutumia huo muda kuomba, kusoma biblia kufanya your daily devotions kwa Mungu hatakuacha ukae macho!
Mungu akusaidie sana, hongera sana, ukijikuta na hamu ya kunywa/kuvuta iambie nafsi kama jana uliweza leo utaweza pia, siku kwa siku wewe ni mshindi.Ni kweli mkuu ndio maana sitaki kukaa bure bure kabisa yaani nahakikisha nimeji keep busy busy pia nimepunguza kukaa na wanao tumia otherwise tuna kaz maalum