Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia hapa kula mdudu na bia.tumia kitimoto kwa sanaa, inanenepesha
Kipindi mwamba ana piga hii doze ili mwili uongezeke, kuna watu wana mla manzi mda wowote wakitaka na hadi mtoto analia 😄😄😄Kula mishkaki ya nundu kwa mwezi mmoja utaleta mrejesho! Hakikisha unaila na ugali wa nguvu mida ya usiku!
Asubuhi piga supu daily na vyapati vyapati!
Mchana kula chips mayai + Kuku wa kukaangwa!
Fanya hii Diet kwa mwezi tu kisha utaleta mrejesho
Jamaa hapendwi, badae anakuwa kibonge kama Peter Msechu, anaundiwa zengwe linginetumia kitimoto kwa sanaa, inanenepesha
Nilivyosoma nikasema "kuna mtu ameamua kunifanya niichekee simu". Utanilipa.Najua umekumbuka nini ndiomaana nimekuita, usifikirie nimekurupuka.
Sasa ikiwa ndoa inaenda kwa hivi vigezo, siku jamaa akipungua si talaka inamhusu?
Extrovert amependekeza mapochopocho kibao utasema yanagawiwa bure, mtu avunje kibubu kutengeneza kitambi amfurahishe mchumba??? Tena bado anaweza akamzingua vile vile
Kama mtu ameshindwa kukuoenda ulivyo hapo sio fungu lako.
By the way wengine matumbo yana plastiki hataunywe lita 10 za korie kila siku, utabakia mkavu vile vile...
Kesi imeshaisha!Nilivyosoma nikasema "kuna mtu ameamua kunifanya niichekee simu". Utanilipa.
Nimeona comment ya Extrovert, alivyoandika vyote vinahitaji mtu awe na uwezo wa kifedha. Ambapo kama OP angekuwa na huo uwezo wa ku-afford hizo vyakula na vinywaji kwa mwezi mzima, basi huyo mchumba angeshamkubali bila kujali wembamba wake.
Op amesema hataki kushauriwa kwamba hapendwi. Yupo tayari kutoa uhai wake ili ampate. Ataenda hata kuzimu ahakikishe anampata. Huo ugonjwa unaitwa Obsessive Love Disorder. Na huu ugonjwa hauwezi kumruhusu anenepe.
Usilazimishe mapenzi kwa staili hii, yanaweza kuja kukutesa sana. Linapokuja swala la mahusiano yenye mlengo wa kuelekea commitment kubwa kama ndoa hakikisha unapata mwanamke ambae moyo wake umefunguka kwako, yaan you have filled her heart bila hata kuanza purukushani za kumbembeleza awe mwenzi wako, utainjoi sana maisha vinginevyo ni shida tu.
Jana nimepokea taarifa toka kwa rafiki, ndoa yake imefikia tamati na ilikuwa na miezi sita tu. Alipambana sana kumpata huyo mdada, dated for a year and a half. Siku nne kabla ya ndoa akakuta meseji za mapenzi kwenye sim ya binti discussing kutoa ujauzito wq mwanaume mwingine. Waligombana ila mwisho wa siku wakaamua kufunga ndoa kukwepa aibu. Mwezi ukaisha ndani ya ndoa, mke akaondoka bila taarifa for three months, mme katafuta mpaka akampata, wakarudi DSM. Ndani hakukaliki, ni dharau, kiburi, no tendo la ndoa na few days ago kaondoka anataka talaka.
Uwe makini mkuu, tumia akili zaidi kuliko hisia la sivyo yatakukuta ya kukuta mbele ya safari.
Blo, acha tu. Ndani miezi mwili kapewa Mara nne tu tena bila ushirikianoAh! Unasema kwamba hata ile burudani pendwa ya masikini akawa anapewa kwa matuta?
Nampa...simpi...simpi..simpi..nampa..simpi?
Hiyo sasa ndio tafsiri ya mgogoro!Blo, acha tu. Ndani miezi mwili kapewa Mara nne tu tena bila ushirikiano
Kabisa. Sema vijana wengi huwa hatuelewi ama hatutaki kutumia akili zetu ipasavyo na ndo maana ndoa nyingi leo zina misukosuko mingi sana. Mungu atusaidie tu.Hiyo sasa ndio tafsiri ya mgogoro!
Haya mambo pata mtu anakua fahari na wewe hivyo hivyo ulivyo. Vitu vinabadilika.
Hahahahahah kama huo ugonjwa basi wagonjwa ni wengi! Mie kitendo cha kusumbuliwa na mwanamke tu lazma ningechukua njia yangu nikaendelea na maisha! Kuna best yangu anasumbuliwa na not letting go character kama hio anataka kufosi tu wakati hapendwi!Nilivyosoma nikasema "kuna mtu ameamua kunifanya niichekee simu". Utanilipa.
Nimeona comment ya Extrovert, alivyoandika vyote vinahitaji mtu awe na uwezo wa kifedha. Ambapo kama OP angekuwa na huo uwezo wa ku-afford hizo vyakula na vinywaji kwa mwezi mzima, basi huyo mchumba angeshamkubali bila kujali wembamba wake.
Op amesema hataki kushauriwa kwamba hapendwi. Yupo tayari kutoa uhai wake ili ampate. Ataenda hata kuzimu ahakikishe anampata. Huo ugonjwa unaitwa Obsessive Love Disorder. Na huu ugonjwa hauwezi kumruhusu anenepe.
Hahahahah hii maisha haiko fair msee! Mwanamke anapokutesa wewe kuna wengine wanamkwepa 🤓🤓🤓 maana washamkinai!Kipindi mwamba ana piga hii doze ili mwili uongezeke, kuna watu wana mla manzi mda wowote wakitaka na hadi mtoto analia 😄😄😄
Good talk.Nenda Gym katengeneze body Man....unene siyo issue