muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Mnapotoa haya masharti uchwara muwe mnahakikisha mmeacha pesa pia, sio usafirishwe tu kwa kuchangisha wengine.
Je nikitaka Mama samia anione?...lete udambwi mkuu.wakuu sasa chagueni moja kwanza - tukimaliza tunaingia nyingine.
Ya kumteka boss:
Leta majina yake yote matatu......
Mawe yapo mengi tu ndugu ingawa sio sehemu zote utapata.Hivi Dar unaweza pata jiwe kweli[emoji848]
Unajadili Mada au unatangaza Biashara?kaka we shika nilivyokuambia, kichwa kiangalie mnakotoka na miguu mnakokwenda. Nina mambo mengi tu kwa mfano ukitaka namna ya kumkamata mwanga ama mchawi akiingia nyumbani kwako sema tu nikumwagie hapa, dawa za kumvuta mwanamke ama mwanaume akufuate popote ulipo hata kama ni usiku ninazo pia, ila haifanyi kazi kwa mke / mme wa mtu - sina uchoyo na hii elimu maana na mimi nilipewa bure.
Masuala ya kazini pia yako - vyeo, mshahara nk
Kwahiyo uliusubiri Uzi wangu huu ndiyo utangaze Biashara yako hii Ndugu?andaa mshumaa
andaa sindano
andaa kitambaa cheupe
andaa tunda unalolipeda sana kulila
andaa udi
andaa chumvi ya mawe
ukimaliza kuviandaa ni PM tumalize kazi.
Pumbavu hilo achana nalo tu tafadhali.Kuna movie inaitwa T.H.R.E.E itafute hata U tube uone wazungu walivyo hatari.
Siku hizi wanaume wanaloga wanawake kuliko wanawake walivyodhaniwaWanama said:
Embu lete iyo ya kumvuta mwanamke Kuna pisi apa imekula pesa zangu sanaa
andaa mshumaa
andaa sindano
andaa kitambaa cheupe
andaa tunda unalolipeda sana kulila
andaa udi
andaa chumvi ya mawe
ukimaliza kuviandaa ni PM tumalize kazi.
Unamwambia nani sasa🤫🤫Tusidanganyane hapa. Hizi ni hadithi za Abunuasi tu. Eti jeneza linagoma kubebeka??
Acheni hekaya zenu za vijiweni na imani potofu zilizojaa udanganyifu. Hizi porojo hazina ukweli wowote. Mtu akifa, amekufa. Hana uwezo wa kufanya chochote kwa walio hai.
Noted mkuuAsikudanganye Mtu popote pale ulipo kuwa kauli za Watu waliokufa namaanisha Marehemu wakizisema huwa hazitimii. Ni kwamba huwa hawatanii kabisa na wayasemayo hutokea na hutimia...
Jiwe Kwa sasa Yuko kwenye Moto wa MileleKauli za Magufuli mnazikumbuka lakini? Alisema tusimuache Mungu
Kurithi sio dhambi hata Bible imetuasa tuwa achie mirathi watoto wa watoto wetuDunia ya Leo unakuta kijana anakomaa na mali za Urithi, what a shame
Uje tuu ukiuke maagizo yake maneno mengi ya nini? Ila usisahau kuleta mrejeshoTusidanganyane hapa. Hizi ni hadithi za Abunuasi tu. Eti jeneza linagoma kubebeka??
Acheni hekaya zenu za vijiweni na imani potofu zilizojaa udanganyifu. Hizi porojo hazina ukweli wowote. Mtu akifa, amekufa. Hana uwezo wa kufanya chochote kwa walio hai.
Wanaosubiria urithi ruksa ila Sina huo ujinga wa kuishi kwa masharti ya marehemuKurithi sio dhambi hata Bible imetuasa tuwa achie mirathi watoto wa watoto wetu
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Watu wanaendekeza Mila za kufirana za wazungu,dini zao na upuuzi mwingine kama huo wa kufanywa misukule ya kusubiria miujiza huku wajanja wanawakula.Waafrika na Jadi zetu...
Huenda tumekua bara maskini kwa kuacha kuendeleza Mila na Desturi zetu
Yesuuuuu mbona vinatishaa hivyoooAkikataa kuzikwa eneo A, akang'ang'ania kuzikwa eneo B. Na ninyi ndugu kwa sababu za msingi sana mkaona azikwe eneo A msipate shida sana. Kukwepa hayo mabalaa tumeni ndugu mmoja wa Kiume eneo B akachukue udongo kidogo katika kisado aulete eneo A...
Kama una jeuri acha usimzike au usifuate anachotaka ndio utajua ana nguvu au hana.
Sasa akija kukuzika ndio ataacha kutumbua mali? Hapo unamkomoa kinafsi,kwanza hiyo marehemu alikuwa hajamchukia vizuri angekuwa kajiapiza sawasawa mbona hako kamwanamke mungezika na polisi kadhaaHuyo marehemu ni mpumbavu? Sasa kuna faida gani? Umekataa asije kukuzika lakini mali zako anatumbua na hawara yake? Halafu unakimbilia kufumbua macho ndani ya jeneza, hivi ana akili kweli huyo mume? Na ndiyo maana akapewa sumu. Alitakiwa na yeye kulipa kisasi kabisa, sio kujifumbulisha fumbulisha macho, shame on him!