Nimeamini safari ya kuitafuta na kuishika ml 100 as cash ni ngumu mno. Najitaidi lakini yataka moyo!

Hizi habari kuhusu nafaka huu ni nzuri kwenye kuandika ila kiuhalisia ni tofauti kabisa ukiingia kwenye gemu lake
Broe Nafaka inatakiwa uchanganye Mazao na usome upepo Kwa Msimu husika na ufanye Kwa mwrndelezo at least miaka mitatu ndio utaona matunda yake Kwa huo mtaji Kwa misimu Mitatu lazima utakutana na Mazao ya kupasua mara mbili Hadi tatu, Kila kitu kinahitaji muendelezo ila watu hawana uvumilivu , Success ni matunda ya kufanya kitu Kwa consistency ndio utaona matunda.
Eg. Mwaka Jana Alizeti elianzia 40,000/ Kwa Gunia mwezi wa tatu imeuzwa Kwa 90,000/ Kwa Gunia.
Mchele ulipanda sana.
Mwaka Jana Mahindi hayajapanda Bei , Sasa mwaka huu mtu atakayecheza na haya Mazao atapiga Hela sana ;-
Mahindi - nchii jirani zote Zina njaa mwaka huu Hadi Zambia mlishaji mkubwa wa Mahindi Kwa Congo, Kenya, na Rwanda.
Malawi Kuna ukame, Angola, Zimbabwe, Kenya wameanza kununua kidogo kidogo.
Karangawaka huu zinauzwa Bei ndogo sana Gunia la maganda Kwa Tsh30,000/ he apo January lazima liwe 60,000/ plus,
Maharage.
Mtama.
Udoo.
Ulezi
Kunde.
Dengu.
 
Noma sana aisee,yaan wakati sisi wengine ml 10 unaitafuta ndani ya miezi sita/zaidi tena kwa kukomaa kwel kweli[emoji23][emoji23]...halafu mtu ndani ya siku tano kainyaka daa[emoji3]
 
Wengine wanataka uwekezaji wenye liquidity
 
Noma sana aisee,yaan wakati sisi wengine ml 10 unaitafuta ndani ya miezi sita/zaidi tena kwa kukomaa kwel kweli[emoji23][emoji23]...halafu mtu ndani ya siku tano kainyaka daa[emoji3]
Yeah inategemeana na biashara unayoifanya wapo wanaopata kwa wastani huo kila mara ni mambo ya timing tu
 
Duh hiyo sio cash ni assets worthy manaake wengi ni wahindi na waarabu wenye mashirika viwanda mashamba makubwa, huwezi kumpata mmakonde au msukuma na hizo mali $1m ambao ni sawa sawa na 25bn Tz shilling.
Naona umepitiwa, najua unajua hesabu. $1m ni Tzs 2.5b nakuhakikishia Watanzania wengi hao unaoita Wamakonde, Wasukuma wana mali za thamani hio. Na hio figure ya watu 2400 wenye $1m ni kidogo kwasababu Watanzania wengi hawako kwenye mfumo ambao unaweza kuwahesabu kujua mali zao.
 
Ni 0.1% ya watanzania wenye kuwahi kumiliki 100m kwa cash ni 5% ya watanzania wana miliki assets ambazo zinaweza kuwapa 100m.......95% ya watanzania ni hand to mouth economy. Hi mada hapa sio mahara pake.
Uko sahihi mkuu.
Jamaa anaongelea milioni 100 ni mbali mno.
Angesema hata milioni 10 tu kuipata kwa kudunduliza wewe kama wewe bila support ya watu wengine shughuli yake sio ndogo aisee.
 
NNj
Njoo kwenye biashara ya madini bro Yani ndani ya nusu au mwaka mzima utakuwa na MIL 100 na zaidi kama utakomaa na kuvmilia zaidi
 
Ndugu yangu, unatafuta pesa au maisha mazuri? Omba Mungu akupe maisha mazuri. Utajiri utakusumbua. Ila hamwezi kunielewa.
Mimi peke yangu ndio nimekuelewa.
Kuna matajiri fulani nawafahamu usiku hawalali kwenye nyumba zao kwa kuhofia kuwa wanawindwa na maadui pamoja na majambazi,wanawaacha wake zao nyumbani kisha wao wanakwenda kutafuta vijiwe vya kujifichia.
Kuna wengine inabidi wawaajiri mabodigadi wa kutembea nao kila mahali kwa ajili ya hofu.
 
Life is not fair
Najituma wewe aisee mpaka sasa nimesave laki 5 tena kwa kujibana sana,nyie mnatoa pesa wapi
 
Tuache kujifariji.
Sema usemavyo umasikini ni mbaya ndugu yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…