Nimeamini safari ya kuitafuta na kuishika ml 100 as cash ni ngumu mno. Najitaidi lakini yataka moyo!

Nimeamini safari ya kuitafuta na kuishika ml 100 as cash ni ngumu mno. Najitaidi lakini yataka moyo!

Hilo na mimi ndio linanisumbua kuna mzigo wa maana upo utt, kweli unaongezeka kila siku.. Shida zipo nyingi, najiuliza kila mara je nitoe kiasi fulani nisolve mambo yangu fulani.?.. Roho nyingine utapunguza ule mzigo.. Nipo njia panda
Tunatafuta hela kwa ajili ya kutatua matatizo.

Vitu vya kuzingatia:-

1. Kabla hujaweka hela UTT, kumbuka kuwa na hela ya emergency. Hii itakusaidia kutatua shida ambazo hazikuwepo kwenye plan yako

2. Jiwekee policy ya kutoa ongezeko la faida. Kwa mfano kwa kila mwaka kuna ongezeko la 12% kwa mfuko wa Bond, unaweza ukaamua kwa kila mwaka utakuwa unatoa only (4% au 6%) ya ongezeko la faida kwa ajili ya kutatua matatizo binafsi. Then hiyo (8% au 6%) inayobaki iendelee kukuza account (Compounding) + kupambana na Inflation. Hii itakupa amani ya moyo na nguvu ya kuendelea na uwekezaji wako wakati na wewe unazifaidi mdogo mdogo.

3. Usikubali kuwa na mzigo wa kutosha UTT halafu unaishi kwa kuteseka.
 
Tunatafuta hela kwa ajili ya kutatua matatizo.

Vitu vya kuzingatia:-

1. Kabla hujaweka hela UTT, kumbuka kuwa na hela ya emergency. Hii itakusaidia kutatua shida ambazo hazikuwepo kwenye plan yako

2. Jiwekee policy ya kutoa ongezeko la faida. Kwa mfano kwa kila mwaka kuna ongezeko la 12% kwa mfuko wa Bond, unaweza ukaamua kwa kila mwaka utakuwa unatoa only (4% au 6%) ya ongezeko la faida kwa ajili ya kutatua matatizo binafsi. Then hiyo (8% au 6%) inayobaki iendelee kukuza account (Compounding) + kupambana na Inflation. Hii itakupa amani ya moyo na nguvu ya kuendelea na uwekezaji wako wakati na wewe unazifaidi mdogo mdogo.

3. Usikubali kuwa na mzigo wa kutosha UTT halafu unaishi kwa kuteseka.
UTT ndiyo nini hebu tufahamishane
 
Tunatafuta hela kwa ajili ya kutatua matatizo.

Vitu vya kuzingatia:-

1. Kabla hujaweka hela UTT, kumbuka kuwa na hela ya emergency. Hii itakusaidia kutatua shida ambazo hazikuwepo kwenye plan yako

2. Jiwekee policy ya kutoa ongezeko la faida. Kwa mfano kwa kila mwaka kuna ongezeko la 12% kwa mfuko wa Bond, unaweza ukaamua kwa kila mwaka utakuwa unatoa only (4% au 6%) ya ongezeko la faida kwa ajili ya kutatua matatizo binafsi. Then hiyo (8% au 6%) inayobaki iendelee kukuza account (Compounding) + kupambana na Inflation. Hii itakupa amani ya moyo na nguvu ya kuendelea na uwekezaji wako wakati na wewe unazifaidi mdogo mdogo.

3. Usikubali kuwa na mzigo wa kutosha UTT halafu unaishi kwa kuteseka.
Nawaza hapa ninyofoe ka mil 6 UTT maana kuna ka mzigo ka kutosha kule na kila siku unaiona pesa inaiongezeka.
 
Kusave hela raha sana wakuu.. 10M hadi sasa for 5 months.. mwezi ujao ntakuwa na 12M naupelekea wote Utt amis alaf nausahau.


Usinishauri kuhusu maduka sjui huko sitak kusikia maana tangu nichome 17M ndani 7 months sitosahau kamwe, Ila namshukuru Mungu wa Yakobo atoaye utajiri bado yupo nami na anaendelea kunifungulia riziki
 
broo ukipata biashara iliyochangamka hiyo pesa utaona ndogo na humu humu kuna watu wanasonya kuhusu hiyo pesa uliyosema.... kila mtu anaweza pata hiyo pesa shida ni moja umeandaa mfereji upi kwa ajiri ya kukinga hiyo fedha kaka....
Kuna jamaa humu alisema katika hali ya kawaida unatakiwa mtu uwe na account tatu tofauti ambazo unaweza kuchomoa hapo million 70 kwenye kila moja kipindi unapata dharura.
 
Itakuchukua miaka 8 na miezi 4 kufikisha 100M ikiwa kila mwezi utasave Milioni Moja.

Sasa piga hesabu wabongo wangapi wanaweza kusave hiyo Milioni moja kila mwezi. (wachache mno)

Halafu njoo kwa wanaoweza kusave laki tano kila mwezi kisha double hiyo miaka ya saving hapo juu. (hapa pia wapo wachache)

Then malizia na wanaoweza kusave laki moja hadi mbili kila mwezi halafu calculate itawachukua miaka mingapi kufikisha 100M. (hapa ndio wengi wapo).

Majibu ya condition ya tatu hapo juu ndio yatakupa mwanga kuwa 100M sio 100 Meter ambazo kila mtu anaweza kuzitembea!
 
Kusave hela raha sana wakuu.. 10M hadi sasa for 5 months.. mwezi ujao ntakuwa na 12M naupelekea wote Utt amis alaf nausahau.


Usinishauri kuhusu maduka sjui huko sitak kusikia maana tangu nichome 17M ndani 7 months sitosahau kamwe, Ila namshukuru Mungu wa Yakobo atoaye utajiri bado yupo nami na anaendelea kunifungulia riziki
Tupe story kaka ilikuaje ikapotea hyo 17M ndani ya 7 months na ilikuwa biashara gani?
 
Habari wakuu,

Kiukweli kwenye haya maisha sio lazima ufundishwe kila kitu. Kuna wakati unafika unajaribu kupambana na kulifanya jambo fulani ndipo unakuja kujua mtu mwenye mafanikio ni wa kumheshimu sana. Ml 100 kwa kuzitamka zinaweza kuonekana ni pesa kidogo sana but in reality kuna baadhi ya wafanyakazi wanastaafu na hawajawahi fikisha kiwango hichi cha pesa.

Nimepambana kuinvest kwa upande wangu nimeamini kuwa na kiwango hicho cha pesa yataka moyo. Now mimi nimefikisha 56ml as cash na nimeinvest UTT.

Je, wenzangu mliofikisha kiwango hicho cha pesa mlifanyeje, na kwa muda gani? Tupeane uzoefu
Gombea viti maalum mkuu
 
broo ukipata biashara iliyochangamka hiyo pesa utaona ndogo na humu humu kuna watu wanasonya kuhusu hiyo pesa uliyosema.... kila mtu anaweza pata hiyo pesa shida ni moja umeandaa mfereji upi kwa ajiri ya kukinga hiyo fedha kaka....
...umeandaa mfereji upi wa kukinga hiyo fedha..

Hilo ni jambo mhimu sana
 
Uza bidhaa /huduma yenye faida ya Tshs.100 kwa watu milioni 1.

1,00 X 1,000,000 = 100,000,000/=

Mass production.. or inaweza ikawa bidhaa moja lakini ikawafikia watu at large scale.

Option 2:

Wauzie watu 100, product or service yako kwa tshs milioni 1

1,000,000 X 100 = 100,000,000/=
 
Nasubiri comment ya wale wanaobeti maana wao anabeti laki moja anapiga mil 100

IMG_1679.png
 
Habari wakuu,

Kiukweli kwenye haya maisha sio lazima ufundishwe kila kitu. Kuna wakati unafika unajaribu kupambana na kulifanya jambo fulani ndipo unakuja kujua mtu mwenye mafanikio ni wa kumheshimu sana. Ml 100 kwa kuzitamka zinaweza kuonekana ni pesa kidogo sana but in reality kuna baadhi ya wafanyakazi wanastaafu na hawajawahi fikisha kiwango hichi cha pesa.

Nimepambana kuinvest kwa upande wangu nimeamini kuwa na kiwango hicho cha pesa yataka moyo. Now mimi nimefikisha 56ml as cash na nimeinvest UTT.

Je, wenzangu mliofikisha kiwango hicho cha pesa mlifanyeje, na kwa muda gani? Tupeane uzoefu
Unataka umiliki hicho kiasi ndani muda gani kwanza?

Na unadhani hapo ulipoiweka itakuchukua muda gani kuifikisha icho kiasi...

Pay the cost to be the boss....
 
Back
Top Bottom