Nimeamini ukiwa mwanamke umetulia huna mambo mengi ndio unapata wanaume wasioleweka na matapeli

Kama saizi ungekuwa ushachoshwa na cha asubuhi uko unahangaikia supu,. Nguvu ya kuandika andika inatoka wapi😝😃
Kama mahusiano yanachosha hivi hizo ndoa si balaa
 
Mie nitakusave Kadogo2 Ubungo..🙂🙂
 
Sawa mkuu
Unanikosha roho ulivyo kembamba kadogo dogo... moyo wangu mwili akili na maini vyote vimezama kwako hauwezi amini sili silali kwa ajili yako.. nikinywa maji nakuona kwenye Glass umenifanya kipofu sioni yoyote wakukufikia uzuri wako.... read more
 
Hayo maneno siyo mageni hata yeye alinambia hivyo mwanzo
He might said that but he never meant that.

I will make you my queen,,and I will be your king ever.

Plz come to my inbox,,
 
Wakuoa wapo ila moyo unagomaa
Kipenzi olewa na anayekupenda tena yule ambaye analilia akuoe utaenjoy sanaaa,. Ukitaka ambaye wewe unampenda ndio changamoto na kuteseka kunaanziaga hapo kwasabu huna uhakika kama na yeye anakupenda the same
 
Unanikosha roho ulivyo kembamba kadogo dogo... moyo wangu mwili akili na maini vyote vimezama kwako hauwezi amini sili silali kwa ajili yako.. nikinywa maji nakuona kwenye Glass umenifanya kipofu sioni yoyote wakukufikia uzuri wako.... read more
Nikiwa natongozwa kwa mara ya kwanza niliambiwaga hivyo mkuu… maneno ya ku download google
 
Najua ila ni afadhari mkawa hamjafahamiana humu.. inaleta insecurity sana kuwa na mahusiano na mtu mmekutana jf
Watu wamekutana humu na wanandoa kabisa,. Sema chamsingi useme na moyo wako mahusiano yanaanzia popote pale
 
He might said that but he never meant that.

I will make you my queen,,and I will your king ever.

Plz come to my inbox,,
Maneno sio Mageni hayo mkuu… tena siyasadiki mkuu…
Sasa hivi nachoamini ni ile waambie home wajiandae nakuja tarehe 5 kuleta mahari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…