Nimeamini ukiwa mwanamke umetulia huna mambo mengi ndio unapata wanaume wasioleweka na matapeli

Kipenzi olewa na anayekupenda tena yule ambaye analilia akuoe utaenjoy sanaaa,. Ukitaka ambaye wewe unampenda ndio changamoto na kuteseka kunaanziaga hapo kwasabu huna uhakika kama na yeye anakupenda the same
Daah naogopa kufanya hayo maamuzi yasije kunigharimu baadae.. maana nachanganyikiwa sijui nikubali yupi anioe wote ni vijana wazuri na wanaonesha nia
 
Ila Wanawake bwana Sasa kukusevu hivo ndo hakupendi kwa mtindo huo utachakaa Sanaa

Anyway me napita πŸƒπŸ»β€βž‘οΈπŸƒπŸ»β€βž‘οΈπŸšΆπŸΌβ€βž‘οΈ
 
Nikiwa natongozwa kwa mara ya kwanza niliambiwaga hivyo mkuu… maneno ya ku download google
Karibu kwenye kisima changu cha mahaba utawale upendo na himaya ya moyo wangu utawale hisia zangu wew kwangu ni malkia kadogo dogo..

Pokea hisa za upendo wangu wekeza utukufu wako kwangu na ufaidi gawio la huba kutoka kwenye himaya ya penzi langu

Wew kwangu ni asali sito kuchovya nikakumaliza nitakutunza kwangu wew ni dawa uniponye kidonda changu sito kuwa kama sungura mbivu zako kwangu zikawa mbichi... read more
 
Maneno sio Mageni hayo mkuu… tena siyasadiki mkuu…
Sasa hivi nachoamini ni ile waambie home wajiandae nakuja tarehe 5 kuleta mahari
Let's talk about this inbox pls,
There are more to discuss,
Don't share our privacy here .
 
Hizo ngonjera labda ujaribu kwa la 4 B mkuu
 
Ila Wanawake bwana Sasa kukusevu hivo ndo hakupendi kwa mtindo huo utachakaa Sanaa

Anyway me napita πŸƒπŸ»β€βž‘οΈπŸƒπŸ»β€βž‘οΈπŸšΆπŸΌβ€βž‘οΈ
Mengine nilishayaongea post za nyuma mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…