Naam Hiyo inaitwa sijida heshima mbele ya Mungu muumba mbingu na Ardhi, siyo kama hili sanamu ulilotengeneza kwa mikono yako alafu unaliomba baraka na msamahaNa kuna wale wanaosigina paji zao za uso kwenye sakafu na kubinua makalio daily ×5
Eti huna haja 😂😂, acha kujitetea mkuu tafuta tu hela upate peace of mindMkuu kuhusu financial success mi sina hoja, maana jf haipimi uwezo wetu kwa keyboard!
Shida ni kwamba hili neno lina utata.Notice capital letter M kwenye jina Mungu.
Halafu sisi ni chama Cha ma jobless pro max, tuna uhuru wa kujibiana😆
Dini tunayozungumzia hapa ni mfumo wa imani desturi unaelezea uhusiano wa mwanadamu na nguvu zisizoonekana kama inavyodaiwa.Kwa hiyo hauna utaratibu wa maisha ? Hata panya ana utaratibu wake katika maisha yake ya kila siku.
Unaambia duniani kuna dini mamilion .
Hizo dini ali leta nani?, Kama dini ni muhimu mbona hao walio tuletea Wana uana kila kukicha?Dini za Uislamu , ukristo na uyahudi wanaishi kwa utaratibu wa Mungu ...Zipo dini za watu ; mfumo wa rasta kama jamaica ile ni dini maana kuna taratibu zao.
Ndio maana nchi kama china walikuwa na dini nyingi sana ...Dini ni utaratibu uliokuwa kamili hata ayeabudu mizimu ana dini.
Hivi vijamaa vinajificha kwenye hizi I'd vinadai sijui vimeyapatia maisha wanatuona sie vilaza sana.Mkuu kuhusu financial success mi sina hoja, maana jf haipimi uwezo wetu kwa keyboard!
Wabantu wengi tu kabla ya ujio wa wakoloni hawakuwa na dini hizi za nje ya Afrika.Bila ya dini binadamu hawezi kuishi ,never kabisa ...Kwa sababu dini ni utaratibu ,hakuna jamii isiyokuwa na utaratibu ,never existed!
Mkuu kwanini hiyo dini isi simamishe mauaji kwa hao walio tuletea hizo dini?.Issue ni kua na religion tolerance Mbona sisi tunaisha na tuna jamiiana vizuri na waislamu.
Ukimkuta MLOKOLE RADICAL au MUSLIM RADICAL nitatizo Ila ukimkuta mtu msomi ni mwelewa Sanaa.
So hata Rastafarian nao Wana piga Bangi...Mfano WA BUDDHA nao Wana Imani yao NOT KILLING ANYTHING OR LET IT SUFFER.
Swali wewe unaamini Nini? Mpaka USEME hautaki dini.
Mfano hauamini Katika ufufuo na kuzaliwa Mara ya pili.
Kasome yohana 3:16
Yohana 5:18
Tuishi nao kwa akili, maana hata mbuzi nae hubweka !Hivi vijamaa vinajificha kwenye hizi I'd vinadai sijui vimeyapatia maisha wanatuona sie vilaza sana.
Dini hizi hizi ambazo viongozi wake ni wezi, wauaji na hata wanao support mambo ya ajabu ajabu?Dini za Uislamu , ukristo na uyahudi wanaishi kwa utaratibu wa Mungu ...Zipo dini za watu ; mfumo wa rasta kama jamaica ile ni dini maana kuna taratibu zao.
Ndio maana nchi kama china walikuwa na dini nyingi sana ...Dini ni utaratibu uliokuwa kamili hata ayeabudu mizimu ana dini.
Mambo ya ajabu sanaNime piga hesabu nika ona dini ni urithi mmoja wa ajabu sana, nina amini Mungu yupo ila nita mwabudu nje ya hilo box.
yaani una zaliwa na kukabidhiwa kitu usicho kielewa au kupewa nafasi ya kuchagua.
na hizi dini ndio zime tengeneza viumbe wenye hulka ya mazombie au vampire, ambao wao kazi yao ni kufata wasemayo viongozi au maandishi wasiyo elewa asili yake.
Mara mtu ampige au amtukane mwenzie kisa dini, yaani una jiona bora kisa dini tena uta sikia wewe huendi mbinguni!.
Kuanzia Leo nina Imani na sio dini nisizo zielewa.
Sahihi kabisa, angalia huyo papa aliye ruhusu ndoa za upinde!Ndio mana me Jews nawaelewa wanasema huwez kuwa dini yako kama hukuzaliwa myahudi, Yan huwez kuzaliwa mkristo au Muislam alafu ukifika miaka 30 ukawa myahudi hiyo ni never.....dini zinazingua sana
tuko pamoja mkuu, kanisa au msikitini sikumbuki ni liniMimi pia naamini uwepo wa Mungu na so muumini wa dini yeyote kwa Sasa.
Siibi, situkani, siuwi, sidhulumu, sisemi uongo, muaminifu Sana Sana.
Nimeacha kwenda kanisani toka 2016 au 2017 hivi.
Hapa sijui muandikaji wa huo mstari alivuta bangi gani 🤣Angalia theory za kufikirika eti kuta kuwa na mabikra 72, kisa tu kasikia au kuambiwa.
vipi na hawa wanawake na dada zetu nao wata pewa vijeba 72 viwa shughulikie?
Wewe una dini ila mahudhurio yako ya kukutana na Wenzako kila jumapili ni hafifu au duni kabisa mkuu.Mimi pia naamini uwepo wa Mungu na siyo muumini wa dini yeyote kwa Sasa.
Siibi, situkani, siuwi, sidhulumu, sisemi uongo, muaminifu Sana Sana.
Nimeacha kwenda kanisani toka 2016 au 2017 hivi.
Na imani pasipo kuhoji ni ushirikinaDini bila akili ni ujinga
WamekufanyajeKuanzia Leo nina Imani na sio dini nisizozielewa.
Kazi kweli kweli 🤣 😂Hapa sijui muandikaji wa huo mstari alivuta bangi gani 🤣