aise
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 5,175
- 16,488
Mdogo mdogo wataelewa tu mkuu 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdogo mdogo wataelewa tu mkuu 🤣
1. Huwezi kuoaNimepiga hesabu nikaona dini ni urithi mmoja wa ajabu sana, ninaamini Mungu yupo ila nita mwabudu nje ya hilo box.
Yaani unazaliwa na kukabidhiwa kitu usichokielewa au kupewa nafasi ya kuchagua.
Na hizi dini ndio zimetengeneza viumbe wenye hulka ya mazombie au vampire, ambao wao kazi yao ni kufata wasemayo viongozi au maandishi wasiyoelewa asili yake.
Mara mtu ampige au amtukane mwenzie kisa dini, yaani unajiona bora kisa dini tena utasikia wewe huendi mbinguni!.
Kuanzia Leo nina Imani na sio dini nisizozielewa.
naam nakuona mwana jf mjuzi wa yote!1. Huwezi kuoa
2. Huwezi dini
3. Unatukuza u jobless
Kuna kuna kitu hakipo sawa unakificha.
Ukafiri tuHakuna mahali kasema inapunguza kitu au kuongeza kitu, yeye kaeleza mtazamo wake tu kuhusu dini.
Kafir wewe usipokuwa muisilamu ni kafirKafiri maana yake nini?, asili ya kafiri ni wapi?
Duuuh sawaNiko naangalia taarifa naona naigeria watu walio kula nje, wame kamatwa na polisi.
kumbe kula nayo ni kosa kisheria?, ati fulani hapendi ukila?
Unakimbia kufunga bro!!!!!!Nimepiga hesabu nikaona dini ni urithi mmoja wa ajabu sana, ninaamini Mungu yupo ila nita mwabudu nje ya hilo box.
Yaani unazaliwa na kukabidhiwa kitu usichokielewa au kupewa nafasi ya kuchagua.
Na hizi dini ndio zimetengeneza viumbe wenye hulka ya mazombie au vampire, ambao wao kazi yao ni kufata wasemayo viongozi au maandishi wasiyoelewa asili yake.
Mara mtu ampige au amtukane mwenzie kisa dini, yaani unajiona bora kisa dini tena utasikia wewe huendi mbinguni!.
Kuanzia Leo nina Imani na sio dini nisizozielewa.
😂😂AiseeSwali mujarabu ambalo hata imam wa Makkah hana jibu solid unless kama wanadai huko peponi wanawake hakuwahusu lakini vinginevyo kama nao kunawahusu bali kila mwanamke apewe vingwangwa vyake konki kabisa 72 awe anazagamuana kinomanoma kama midume nayo inapatiwa kila mmoja mademu 72 ambao wote wanakuwa na bikra zao mwanana kabisa.
Wagalatia nao eti ukimwani Yesu tu na kutubu regardless ujahili wote ulioufanya duniani mbingu ni ya kugusa tu unatia timu, na mbinguni inasemekana ni juu, sijui juu wapi wakati dunia inazinguka(though I know haya maandiko yaliandikwa enzi watu wakiamini dunia iko kama meza, they thought it was flat back in those days)
Dini zimejaa madudu ya kufikirika mengi ambayo hayana solid proofs.
Kwahyo tukubaliane tu sio jina la kila Mtuinabidi uwe na watu wanakuabudu, na unawapa faida fulani
Ngoja tuwaache kidogo wataelewa tuMdogo mdogo wataelewa tu mkuu 🤣
Aisee!!Nimepiga hesabu nikaona dini ni urithi mmoja wa ajabu sana, ninaamini Mungu yupo ila nita mwabudu nje ya hilo box.
Yaani unazaliwa na kukabidhiwa kitu usichokielewa au kupewa nafasi ya kuchagua.
Na hizi dini ndio zimetengeneza viumbe wenye hulka ya mazombie au vampire, ambao wao kazi yao ni kufata wasemayo viongozi au maandishi wasiyoelewa asili yake.
Mara mtu ampige au amtukane mwenzie kisa dini, yaani unajiona bora kisa dini tena utasikia wewe huendi mbinguni!.
Kuanzia Leo nina Imani na sio dini nisizozielewa.
Nawe huna dini mkuu?
Acha tunsameheHuyo mzee mwenzangu wa vinywaji changamshi 🤣
Sio mbaya piaMimi sahivi nimekuwa mtu wa kutambika tu
Vipi mkuu?Aisee!!