Nimeamua kuoa Msabato

Mwanaume ukiona demu wako anakupa sleepless nights ujue umekuwa weak, you left a power vacuum.
 
Haya huyo ni binti,
wewe je? unaujua ukristo vizuri?
 
Hawa hawa wasabato ambao wanakwenda kuimba kwaya kanisani kila siku kurudi nyumbani saa 3 usiku na kwenda kwenye mikutano kila siku mbali na nyumbani wanakaa huko hata wiki mbili wanakwaya kila mtu na wake wanatokea gest wanakuja kwenye mkutano wanarudi gest wewe upo nyumbani unasema mke wanguanafanya uinjilist kwa njia ya kwaya kumbe mwalimu wa kwaya anamtafuna.
 
Kweli usilolijua ni Usiku wa giza.Mtoa post umesahau ule msemo wa "Simba mwenda kimya ndio mla nyama".Hao Binti za Kisabato ungejua Jinsi wanavyochakazwa kisiri Siri,usingethubutu kuandika hivi.Nimewahi suluhisha migogoro kadhaa ya jamaa zangu wa Kisabato wakilalamika wachumba zao kufyatuliwa na wapendwa wenzao , Nikiwa SUA kuna room mate Msabato alitaka kujinyonga baada ya kugundua kuwa mchumba wake wa Kisabato aliyempenda sana anafumuliwa na Wahuni wengine,japo kwa siri sana.
 
Njoo ofisini kwangu uchukue mke...
 
Ninaye jamaa angu msabato mbaguzi na katili kishenzi..hiyo kwenda camp huko anawatomb*** kishenzi mademu kiufupi ni watu wenye misimamo ya kipuuzi na matendo ya hovyo
 
Kama na wewe ni mtakatifu kama huyo binti basi sawa! Lakini kama na wewe ni wale wale hapo kwa namna yoyote ile lazima huyo binti akuache ili upate galasa mwenzio muende sawa usije ukamtesa mtoto wa watu bure!
Yaani anategemea Nazi idonendekee kwenye apple
 
Ndoa so dhehebu wala dini nishamess na msabato wa kanda ya kaskazini na mwingine wa kanda ya ziwa, ila nimeishia kuchezea vya mbavu tu.
Hofu ya mungu wanayo jumamosi tu siku zingine mizinga ileile, drama zilezile na ukizingua anakucheat kwa mpendwa mwenzake vilevile.
Watchout hizi makitu hazina formula nikuomba spiritual guidance coz only God knows who's right for you
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…