Nimeamua kuoa Msabato

Nimeamua kuoa Msabato

Daah ni kweli kabisa mtoa mada upo sahihi, mimi ninaye binti wa kisabato kiukwel hana tamaa za ajabu, hana vizinga hela mpka niamue mimi, hatujawahi gombana hana maneno ya matusi....
CHANGAMOTO
Wapo seriously mnoo, Simpati kwa kwa wakati ubize mwingii
 
Ninaye jamaa angu msabato mbaguzi na katili kishenzi..hiyo kwenda camp huko anawatomb*** kishenzi mademu kiufupi ni watu wenye misimamo ya kipuuzi na matendo ya hovyo
Wanawake wa kisabato msimamo wanawawekea wengine ila wao kwa wao wanakulana sana kimasihara
 
Ndoa so dhehebu wala dini nishamess na msabato wa kanda ya kaskazini na mwingine wa kanda ya ziwa, ila nimeishia kuchezea vya mbavu tu.
Hofu ya mungu wanayo jumamosi tu siku zingine mizinga ileile, drama zilezile na ukizingua anakucheat kwa mpendwa mwenzake vilevile.
Watchout hizi makitu hazina formula nikuomba spiritual guidance coz only God knows who's right for you
Mkuu hao watakuwa sio wasabato...labda wanajifanya tu ni wasabato. Hawana qualities zozote za wasabato...
 
Mkuu hao watakuwa sio wasabato...labda wanajifanya tu ni wasabato. Hawana qualities zozote za wasabato...
Familia, Ukoo mzima hawawezi kupretend japo wengi wetu siku hizi kwenye masuala ya dini tunajifanya wadini na tunaenda mpaka kwa nyumba za ibada, swali ni je utatofautishaje
 
Ukweli mnajitahidi sana kwenye hilo. Musilamu aliyeshika dini sana ya kiislamu anaishi maisha yaliyonyooka kuliko hata mchunganji wa kikristo ama padri aliyeshika dini sana ya kikristo.

Shida watu wa kati kati walioshika dini kidogo. Waisilamu wanakuwa washenz kuliko wakristo
UmeWeka vyema.
 
Back
Top Bottom