Nimeamua kuoa Msabato

Daah ni kweli kabisa mtoa mada upo sahihi, mimi ninaye binti wa kisabato kiukwel hana tamaa za ajabu, hana vizinga hela mpka niamue mimi, hatujawahi gombana hana maneno ya matusi....
CHANGAMOTO
Wapo seriously mnoo, Simpati kwa kwa wakati ubize mwingii
 
Ninaye jamaa angu msabato mbaguzi na katili kishenzi..hiyo kwenda camp huko anawatomb*** kishenzi mademu kiufupi ni watu wenye misimamo ya kipuuzi na matendo ya hovyo
Wanawake wa kisabato msimamo wanawawekea wengine ila wao kwa wao wanakulana sana kimasihara
 
Mkuu hao watakuwa sio wasabato...labda wanajifanya tu ni wasabato. Hawana qualities zozote za wasabato...
 
Mkuu hao watakuwa sio wasabato...labda wanajifanya tu ni wasabato. Hawana qualities zozote za wasabato...
Familia, Ukoo mzima hawawezi kupretend japo wengi wetu siku hizi kwenye masuala ya dini tunajifanya wadini na tunaenda mpaka kwa nyumba za ibada, swali ni je utatofautishaje
 
UmeWeka vyema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…