Nimeandika sana kuhusu vita zinazoendelea ulimwenguni kwamba ni roadmap ya mwisho wa dunia

Nimeandika sana kuhusu vita zinazoendelea ulimwenguni kwamba ni roadmap ya mwisho wa dunia

Nianze kusema kwamba hakuna mwisho wa dunia sio leo hata kesho.

Ndio,Yesu atarudi(that's what we are told in the bible).Je,yeye alikwambia kwamba anapokuja ndio mwisho wa dunia?(Jibu ni hapana,Jesus will come on judgement day to judge both living and the dead,to give eternal life(glory) those who do goodness and punish those who do evil.Sasa hapa dunia inakuwa imeisha vipi?)
 
Hio vita ya tatu Sio mwisho wa Dunia bali ni muendelezo tuu madhila mengine mapya kwa mwanadamu, kwani ukweli ni kwamba kwenye hii dunia ndio Jehanamu yenyewee yaani wote ambao tumo humu Duniani kuna kosa kubwa tulifanya mbinguni tukatimuliwa na tukatupiwa huku duniani, na wala usije zani ukifa ndo utaenda mbinguni! La hasha bali utazaliwa tena kwenye hihi dunia kama kiumbe kingine labda mendee. Alafu kuhusu mendee endapo Nyukilia zikitumika basi wanadamu wengi watakao kufa watazaliwa kama mende. Kwa sababu utafiti unaonyesha mende hadhuriki chochotee na sumu na mionzi ya nyukilia.
Kwahio boss utazaliwa mende wa chooni, stoo au jikoni?
 
Miongoni mwa watu wenye bahati ni watu wa jamii forum.

Tuache ubishi, tukubali ufahamu tunatofautiana. Kile usichikijua wewe Haimanishi wengine nao hawajui.

Hizi Vita zinazoendelea kwa wakubwa hazitapoa. Kuna jambo la hatari Sana hapo Mbeleni kidogo. Hatari hii kubwa itawakumba wanadamu wate ulimwenguni.

Vita hizi ni taarifa ya ujio wa Yesu. Na pia utakuwa mwisho wa dunia.

Mwisho wa dunia utaambatana na matumizi ya nuclear, kusogezwa kwa jua karibu, maji kugeuzwa damu.

Hatari kubwa IPO mbele yako. Usiwadharau Wahubiri Wanaohubili kwenye mabus, mitaani, Mitandaoni. Utawakumbuka, utakuwa Umechelewa

Please ndugu mtafute YESU
Kama kigezo chako cha kusema dunia inaelekea mwishoni ni hizi vita mbili zinazoendelea, nachelea kusema wewe huijui historia ya dunia yetu.

1. Vita ya 2 ya dunia nzima (1939 - 1945), nchi karibu zote duniani zilipigana, iliua watu milioni 80 na dunia haikuisha!

2. Vita ya Mongolia (1207 - 1405) ilipiganwa ulaya yote na Asia, miaka karibu 200 ya vita, vifo zaidi ya milioni 60, na dunia haikuisha ipo mpaka leo!

3. Vita ya 1 ya dunia (1914 - 1918) dunia nzima ilipigana, vifo milioni 30 na bado dunia ipo.

Hizo ni baadhi tu ya vita kubwa zilizopiganwa, kati ya maelfu ya vita zilizowahi kutokea tangu kuumbwa kwa dunia, na dunia haijawahi kuisha.

Infact kipindi hiki tunachoishi sisi ndio kipindi cha amani kuwahi kutokea katika historia, ambapo karibu dunia nzima ina amani ukiacha vimigogoro viwili vitatu.
 
Mungu hawezi vumilia yanayoendelea kwa Sasa laZima tu ule mwisho upo karibu mno.
Angalia mfumuko wa AI, haki za mashoga, mabadiliko hali ya hewa, Vita hizi mbaya zaidi hakuna mnyonge wote wababe.
 
Mungu hawezi vumilia yanayoendelea kwa Sasa laZima tu ule mwisho upo karibu mno.
Angalia mfumuko wa AI, haki za mashoga, mabadiliko hali ya hewa, Vita hizi mbaya zaidi hakuna mnyonge wote wababe.
Acha uoga mkuu. Hakuna kitu chochote cha ajabu kinachoendelea kwa sasa ambacho hakijawahi kutokea. Na kama dunia haikuisha kipindi chote cha nyuma, kwanini ije iishe sasa?
 
Nakubaliana na wewe vita ya nuklia itakua ndio mwisho wa dunia.
 
Miongoni mwa watu wenye bahati ni watu wa jamii forum.

Tuache ubishi, tukubali ufahamu tunatofautiana. Kile usichikijua wewe Haimanishi wengine nao hawajui.

Hizi Vita zinazoendelea kwa wakubwa hazitapoa. Kuna jambo la hatari Sana hapo Mbeleni kidogo. Hatari hii kubwa itawakumba wanadamu wate ulimwenguni.

Vita hizi ni taarifa ya ujio wa Yesu. Na pia utakuwa mwisho wa dunia.

Mwisho wa dunia utaambatana na matumizi ya nuclear, kusogezwa kwa jua karibu, maji kugeuzwa damu.

Hatari kubwa IPO mbele yako. Usiwadharau Wahubiri Wanaohubili kwenye mabus, mitaani, Mitandaoni. Utawakumbuka, utakuwa Umechelewa

Please ndugu mtafute YESU
Wakula matango pori kuleni.
 
Acha uoga mkuu. Hakuna kitu chochote cha ajabu kinachoendelea kwa sasa ambacho hakijawahi kutokea. Na kama dunia haikuisha kipindi chote cha nyuma, kwanini ije iishe sasa?
Hata kipindi Cha nuhu walikuwa wabishi Kama wewe. Mi sishangai Mr.
 
Miongoni mwa watu wenye bahati ni watu wa jamii forum.

Tuache ubishi, tukubali ufahamu tunatofautiana. Kile usichikijua wewe Haimanishi wengine nao hawajui.

Hizi Vita zinazoendelea kwa wakubwa hazitapoa. Kuna jambo la hatari Sana hapo Mbeleni kidogo. Hatari hii kubwa itawakumba wanadamu wate ulimwenguni.

Vita hizi ni taarifa ya ujio wa Yesu. Na pia utakuwa mwisho wa dunia.

Mwisho wa dunia utaambatana na matumizi ya nuclear, kusogezwa kwa jua karibu, maji kugeuzwa damu.

Hatari kubwa IPO mbele yako. Usiwadharau Wahubiri Wanaohubili kwenye mabus, mitaani, Mitandaoni. Utawakumbuka, utakuwa Umechelewa

Please ndugu mtafute YESU
Dunia Haina mwisho,hizo sio vita za kwanza ni swala la Factor resetting tuu.

Vitatokea bvikimalizia vizazi vinaanza upya ndio imekuwa hivyo Toka kiukbe wa kwanza yupo Duniani.
 
Biblia inaelezea vizuri Sana juu ya hukumu ya watu kabla ya yesu lakini pia ambao hawakupata bahati yakulisikia neno la Mungu kabisa. Ambapo wao watahukumiwa kulingana na namna ambavyo wao walikuwa wakiishi. Yaani moyo wako ukikushuhudia kwamba unalofanya sio sahihi na ukalifanya utakuwa na hatia.
 
Kwa hakika usipuuze ujio wa pili wa yesu kristo
Huyo ndiye mwanzo na mwisho yeye ndiye njia na kweli na uzima
MARANATHAA
IMG-20240211-WA0012.jpg
 
Ujio wa yesu tena !? 🙌🤣🤣🤣🤣

Yaani nilipofika hapo nikaacha kusoma qmmk
 
Hakuna mwisho wa dunia
Afadhali uwaambie vijana wako , Mwisho wa dunia unatoka wapi tena

Watu wanapigana vita Kwa sababu ya kulinda maslahi yao Sera zao ardhi zao legacy zao na kwaajili ya kuendelea kumaintain to the throne sababu kuu ya vita zozote duniani ni hizo , Ipo hivyo karne na Karne , na Hiyo Hali haitokuja kuisha kwa sababu hata ukiwa mwema lazima utachukiwa na wale wasiopenda mema (Haki) lazima watamfanya mpango wakutoe ktk madaraka ili wao waweze kufanya mambo yao yaani duniani kila kitu opportunity so ikitokea wewe ukawa una simamia haki it means utakuwa unakwenda kuziba ulaji wa wauzaji wa madawa ya kulevya wauzaji wa silaha za maangamizi wafanya biashara wa viungo vya binaadamu etc so wale wanaofanya hizo biashara hawawezi kukubali uwaharibie ugali wao so hapo lazima vita iibuke

Iko hivyo pia kama ukiwa kiongozi Halafu ni mtenda Maovu wale ambao ni wabigania Haki lazima watakuchoka na wao watafanya mpango wa kukuondoa madarakani.. so dunia ndio iko hivyo watu lazima wapigane vita japo kuwa hatupendi ukweli ni kwamba hatuwezi kuishinda nature mfumo Wa maisha unataka viumbe lazima wauwane ili waweze ku- survive samaki mkubwa ana Kula samaki mdogo --- na Simba anakula sungura ama nyati
 
Afadhali uwaambie vijana wako , Mwisho wa dunia unatoka wapi tena

Watu wanapigana vita Kwa sababu ya kulinda maslahi yao Sera zao ardhi zao legacy zao na kwaajili ya kuendelea kumaintain to the throne sababu kuu ya vita zozote duniani ni hizo , Ipo hivyo karne na Karne , na Hiyo Hali haitokuja kuisha kwa sababu hata ukiwa mwema lazima utachukiwa na wale wasiopenda mema (Haki) lazima watamfanya mpango wakutoe ktk madaraka ili wao waweze kufanya mambo yao yaani duniani kila kitu opportunity so ikitokea wewe ukawa una simamia haki it means utakuwa unakwenda kuziba ulaji wa wauzaji wa madawa ya kulevya wauzaji wa silaha za maangamizi wafanya biashara wa viungo vya binaadamu etc so wale wanaofanya hizo biashara hawawezi kukubali uwaharibie ugali wao so hapo lazima vita iibuke

Iko hivyo pia kama ukiwa kiongozi Halafu ni mtenda Maovu wale ambao ni wabigania Haki lazima watakuchoka na wao watafanya mpango wa kukuondoa madarakani.. so dunia ndio iko hivyo watu lazima wapigane vita japo kuwa hatupendi ukweli ni kwamba hatuwezi kuishinda nature mfumo Wa maisha unataka viumbe lazima wauwane ili waweze ku- survive samaki mkubwa ana Kula samaki mdogo --- na Simba anakula sungura ama nyati
Kama Ni hivyo na tunaona wasio haki wananguvu katika dunia, kwanini wasihalalishe uovu kuwa na uhuru ili maslahi yao yapatikane kwa amani?
 
Kama Ni hivyo na tunaona wasio haki wananguvu katika dunia, kwanini wasihalalishe uovu kuwa na uhuru ili maslahi yao yapatikane kwa amani?
Kwani hauoni huko jinsi ushoga usagaji na jamii ya watu ambao wanabadili jinsia ikipewa chapuo na kuonekana kuwa ni Jambo la kawaida au Hilo haujaliona mkuu??
 
Back
Top Bottom