Nimeandika sana kuhusu vita zinazoendelea ulimwenguni kwamba ni roadmap ya mwisho wa dunia

Nimeandika sana kuhusu vita zinazoendelea ulimwenguni kwamba ni roadmap ya mwisho wa dunia

Ok nmekuelewa vizuri mtaalamu.
Kama sijakosea, lengo lako lakutomuamini Mungu nafkiri nikutaka jamii/dunia kubadili mtazamo wao I'll ije iwe sheria yakutokuwa na Mungu duniani Kama mashoga wapiganiavyo haki zao leo, vizuri.

Lengo kuu la kupigia chapuo ushoga, Ni kuondoa unyanyapaa ili jamii yao iishi kwa uhuru na amani. Wakati hasara zake kisayansi zinajulikana na kidini pia.
Lakini madhara makubwa zaidi Ni kwamba inadhaniwa kuja kuhatarisha uwepo wa binadamu hapo badae katika uso wa dunia.

Lengo kuu la dini Ni maisha ya milele. Ikiwa Ni pamoja na ustaarabu wa maisha kwa mtindo wakuepuka uovu. Ushoga Ni moja ya maovu yanayonyooshewa kidole na dini.
Huku madhara ya wazi ya dini kibinadamu lkn ikiwa Ni ile yakumtegemea Mungu kwa kila jambo na kushindwa kwa maamuzi ya mabadiliko kwahofu yakumkosea japo Ni kwabaadhi ya mambo.

Shusha nondo zako hapa kueleza lengo kuu la ukana Mungu, malengo na matamanio ya maisha baada yakuwa jamii tayari imekuelewa mtazamo wako. Faida zake na hasara pia pasipo kugusa angle ya dini ili nije kuwa mfuasi wako Mr.
Mifumo inayo endesha Dunia ambayo imeasisiwa na wenye kuendesha Sera za dunia haiamini ktk concept ya Mungu wala dini zozote ila ni Hao hao pia ndio walio form dini ili waweze kumtawala binaadamu Kwa wepesi , Dini huwa inatumika na wanasiasa popote pale Duniani as biological weapons kwaajili ya kuweza kuwa monitor Binaadamu Kwa Urahisi ,

They knew it hauwezi kumtawala binaadamu Kwa wepesi bila ya kumtia hofu ya Mungu , so ni issue Tu ya minding game hakuna chochote hakuna kuchomwa Moto wala hakuna pepo ukifa Umekufa unarudi kuwa Natural resources ambazo Ardhi huwa inahitaji everyday ili iweze kujirutubisha ipate Kuhudumia viumbe wengine , Nothing much,
 
Mifumo inayo endesha Dunia ambayo imeasisiwa na wenye kuendesha Sera za dunia haiamini ktk concept ya Mungu wala dini zozote ila ni Hao hao pia ndio walio form dini ili waweze kumtawala binaadamu Kwa wepesi , Dini huwa inatumika na wanasiasa popote pale Duniani as biological weapons kwaajili ya kuweza kuwa monitor Binaadamu Kwa Urahisi ,

They knew it hauwezi kumtawala binaadamu Kwa wepesi bila ya kumtia hofu ya Mungu , so ni issue Tu ya minding game hakuna chochote hakuna kuchomwa Moto wala hakuna pepo ukifa Umekufa unarudi kuwa Natural resources ambazo Ardhi huwa inahitaji everyday ili iweze kujirutubisha ipate Kuhudumia viumbe wengine , Nothing much,
Hahahahahaaaa!! Unachekesha Sana. Sasa hii miujiza tunayoona watu wa imani inatoka wapi? Au Ni wao wanakuja kututokea wakidai Ni Mungu?
 
Ukishindwa kumtafuta Mungu, waachie wengine wakutafutie.
Kuna shughuli nyingi nyingine za kufanya mbali na kumtafuta Mungu, heri kutumia busara ya ukimya ambao hauna hasara kuliko kujikuta umejua na kuanza ongea vitu vya uongo wa wazi wazi.

Kipindi Cha daudi usidhani sauli hakuwa na cheo lkn sauli hakuwahi ongea na Mungu bali alikwenda kwa wenye macho yakumwona na kuongea na Mungu.
Narudia Tena, Kuna watu leo, hawataongea na Mungu wala kusikia sauti yake hadi wanakufa lkn wengine wanamwona na wanaongea nae vizuri tu.
 
Utakufa na utaiacha dunia
Mwisho wa dunia ndo wap wachana na imani za wakoroni

Walikuepo watu weng sana walowaza mwisho wa dunia na mwisho wao ndo wameisha na dunia wameiacha
 
Yesu mwenyewe alishindwa kujitafuta,wakamtandika vitofa hadi kafa
Yesu (Amani iwe juu yake) hakusulubiwa, aliokolewa na Mola wake na kupaishwa kwenda Mbinguni na atarudi kabla ya Qiyama na atakufa.

Sisi tunamheshimu Yesu, ni katika Mitume wa Allah, tena ni miongoni mwa Mitume wakubwa watano.

Mama yake alikuwa ni mwanamke msafi mwema.

Jiepushe kuwasema vibaya Mitume wa Allah, sisi hatumtukani Nabii Yesu kama mayahudi wanavyomtukana yeye na mama yake. Wala hatuchupi mipaka juu yake kama wanavyochupa mipaka wakristo kwa kumpa uungu au wakadai ni mwana wa Mungu, Ametakasika Allah na wanayomshirikisha nayo.

Yesu ni Mtume wa Allah aliyepelekwa kwa wana wa Israel. Alizaliwa bila baba, kuzaliwa kwake ni muujiza. Allah alimuumba kwa Amri yake tu, Yesu sio mwana wa Allah wala mama yake Yesu sio "mama wa mungu", Ametakasika Allah. Mama yake Yesu alikuwa ni mwanamke msafi, mwema bikra kabisa.

Yesu alipewa Injil. Alifanya baadhi ya miujiza kwa idhini ya Allah, kama ishara ya Unabii wake na ukweli wake kwa watu wake. Sisi Waislam tunaamini miujiza aliyopewa Nabii Issa/Yesu kwa idhini ya Allah kama vile walivyopewa miujiza Manabii wengine wengi kwa idhini ya Allah.

Makafiri walipotaka kumuua aliokolewa na Allah. Na atarudi kabla ya Qiyama, atamuua Masih dajjal na kusimamisha Ibada kwa Allah pekee na Dini yake (Uislam) na atasimamisha uadilifu. Ataongoza kwa Shari'ah aliyokuja nayo Mtume wa Mwisho, Mtume Muhammad (Swala na Salamu ziwe juu yake) ambaye ni ndugu yake wa karibu mno. Kisha atakufa kama wanadamu wengine na Waislam watamzika.
 
Yesu (Amani iwe juu yake) hakusulubiwa, aliokolewa na Mola wake na kupaishwa kwenda Mbinguni na atarudi kabla ya Qiyama na atakufa.

Sisi tunamheshimu Yesu, ni katika Mitume wa Allah, tena ni miongoni mwa Mitume wakubwa watano.

Mama yake alikuwa ni mwanamke msafi mwema.

Jiepushe kuwasema vibaya Mitume wa Allah, sisi hatumtukani Nabii Yesu kama mayahudi wanavyomtukana yeye na mama yake. Wala hatuchupi mipaka juu yake kama wanavyochupa mipaka wakristo kwa kumpa uungu au wakadai ni mwana wa Mungu, Ametakasika Allah na wanayomshirikisha nayo.

Yesu ni Mtume wa Allah aliyepelekwa kwa wana wa Israel. Alizaliwa bila baba, kuzaliwa kwake ni muujiza. Allah alimuumba kwa Amri yake tu, Yesu sio mwana wa Allah wala mama yake Yesu sio "mama wa mungu", Ametakasika Allah. Mama yake Yesu alikuwa ni mwanamke msafi, mwema bikra kabisa.

Yesu alipewa Injil. Alifanya baadhi ya miujiza kwa idhini ya Allah, kama ishara ya Unabii wake na ukweli wake kwa watu wake. Sisi Waislam tunaamini miujiza aliyopewa Nabii Issa/Yesu kwa idhini ya Allah kama vile walivyopewa miujiza Manabii wengine wengi kwa idhini ya Allah.

Makafiri walipotaka kumuua aliokolewa na Allah. Na atarudi kabla ya Qiyama, atamuua Masih dajjal na kusimamisha Ibada kwa Allah pekee na Dini yake (Uislam) na atasimamisha uadilifu. Ataongoza kwa Shari'ah aliyokuja nayo Mtume wa Mwisho, Mtume Muhammad (Swala na Salamu ziwe juu yake) ambaye ni ndugu yake wa karibu mno. Kisha atakufa kama wanadamu wengine na Waislam watamzika.

 
Yesu (Amani iwe juu yake) hakusulubiwa, aliokolewa na Mola wake na kupaishwa kwenda Mbinguni na atarudi kabla ya Qiyama na atakufa.

Sisi tunamheshimu Yesu, ni katika Mitume wa Allah, tena ni miongoni mwa Mitume wakubwa watano.

Mama yake alikuwa ni mwanamke msafi mwema.

Jiepushe kuwasema vibaya Mitume wa Allah, sisi hatumtukani Nabii Yesu kama mayahudi wanavyomtukana yeye na mama yake. Wala hatuchupi mipaka juu yake kama wanavyochupa mipaka wakristo kwa kumpa uungu au wakadai ni mwana wa Mungu, Ametakasika Allah na wanayomshirikisha nayo.

Yesu ni Mtume wa Allah aliyepelekwa kwa wana wa Israel. Alizaliwa bila baba, kuzaliwa kwake ni muujiza. Allah alimuumba kwa Amri yake tu, Yesu sio mwana wa Allah wala mama yake Yesu sio "mama wa mungu", Ametakasika Allah. Mama yake Yesu alikuwa ni mwanamke msafi, mwema bikra kabisa.

Yesu alipewa Injil. Alifanya baadhi ya miujiza kwa idhini ya Allah, kama ishara ya Unabii wake na ukweli wake kwa watu wake. Sisi Waislam tunaamini miujiza aliyopewa Nabii Issa/Yesu kwa idhini ya Allah kama vile walivyopewa miujiza Manabii wengine wengi kwa idhini ya Allah.

Makafiri walipotaka kumuua aliokolewa na Allah. Na atarudi kabla ya Qiyama, atamuua Masih dajjal na kusimamisha Ibada kwa Allah pekee na Dini yake (Uislam) na atasimamisha uadilifu. Ataongoza kwa Shari'ah aliyokuja nayo Mtume wa Mwisho, Mtume Muhammad (Swala na Salamu ziwe juu yake) ambaye ni ndugu yake wa karibu mno. Kisha atakufa kama wanadamu wengine na Waislam watamzika.
Good
 
Hahahahahaaaa!! Unachekesha Sana. Sasa hii miujiza tunayoona watu wa imani inatoka wapi? Au Ni wao wanakuja kututokea wakidai Ni Mungu?
Miujiza ipi Hiyo kaka, Mambo mengi yanakuwaga ni planned and arts of magic power nothing much
 
Hebu jaribu kumzindua Akili Kwanza labda atakuelewa 😁😁😁🤣🤣🤣

Hiyo propaganda Aliyo lishwa ya kuambiwa kuwa yesu atarudi na sijui kuna kiama Hajui kuwa hakuna kuambiwa yeye Walianza kuambiwa mababu zake na wao waliamini hivyo hivyo wakawa Wana Msubiri Yesu arudi wakawa Wana kisubiri na kiama kije lakini mpaka wamekufa hawajawahi kuona hayo yakitoa. Those phrases it's a propaganda hakuna kingine
Utakufa na utaiacha dunia
Mwisho wa dunia ndo wap wachana na imani za wakoroni

Walikuepo watu weng sana walowaza mwisho wa dunia na mwisho wao ndo wameisha na dunia wameiacha
 
Miongoni mwa watu wenye bahati ni watu wa jamii forum.

Tuache ubishi, tukubali ufahamu tunatofautiana. Kile usichikijua wewe Haimanishi wengine nao hawajui.

Hizi Vita zinazoendelea kwa wakubwa hazitapoa. Kuna jambo la hatari Sana hapo Mbeleni kidogo. Hatari hii kubwa itawakumba wanadamu wate ulimwenguni.

Vita hizi ni taarifa ya ujio wa Yesu. Na pia utakuwa mwisho wa dunia.

Mwisho wa dunia utaambatana na matumizi ya nuclear, kusogezwa kwa jua karibu, maji kugeuzwa damu.

Hatari kubwa IPO mbele yako. Usiwadharau Wahubiri Wanaohubili kwenye mabus, mitaani, Mitandaoni. Utawakumbuka, utakuwa Umechelewa

Please ndugu mtafute YESU
Nikajua labda kuna geopolitical analysis.

Habari za Chip Wars.

South China Sea manouvres.

Quantum Computing dynamics in Cyberwarfare.

Heee, nakutana na a Jesus freak's wet dream and evangelical prwpper's conjecture!
 
Unamaana ya mfano wamchungaji anayewapanga watu ili waanguke mapepo kwa uongo au unàmaanisha uchawi kama uchawi? Plz fafanua hapo nijue Kama unaamini uchawi upo.
Yap Wapo wanao wapanga watu waanguke watu wanapangwa wasenge kuwa Wamepona cancer baada ya maombi Wamepona ukimwi and the likes kuhusu kuanguka ukiwa na mapepo hata Mimi naweza kumwambia mtu Maneno ya kukemea mapepo na Mtu mwenye Mapepo akaanguka nothing special hapo ,

Halafu hayo Maneno yapo ktk kila jamii zilizopo Duniani wachina Wanayo wahindi wa Africa wazungu wanao amini ktk dini wasio amini yaani elimu ya kukemea mapepo Ipo Tu ni wewe Tu kuamua kujifunza ila wajanja wachache baada ya kujifunza Hiyo elimu wakishajua ndio Wana tumia Jina la Mungu kwaajili ya kuwatapeli watu Wanajua kuwa Neno Mungu limepewa influence kubwa Sana so ukilitumia ni rahisi kupata pesa Kwa sababu watu tayari walishapandikizwa Imani tangu wakiwa watoto so ni rahisi kuendelea kuwa danganya Kwa kutumia Jina la Mungu kuliko Endapo kama Utakuja na kitu kipya itakuwa ni ngumu kitu Hicho kuweza kupokelewa haraka ktk jamii so ni minding games tu

Yesu Muhammad sijui yoseph kina Paul wote walikuwa matapeli wa Imani nothing much
 
Yap Wapo wanao wapanga watu waanguke watu wanapangwa wasenge kuwa Wamepona cancer baada ya maombi Wamepona ukimwi and the likes kuhusu kuanguka ukiwa na mapepo hata Mimi naweza kumwambia mtu Maneno ya kukemea mapepo na Mtu mwenye Mapepo akaanguka nothing special hapo ,

Halafu hayo Maneno yapo ktk kila jamii zilizopo Duniani wachina Wanayo wahindi wa Africa wazungu wanao amini ktk dini wasio amini yaani elimu ya kukemea mapepo Ipo Tu ni wewe Tu kuamua kujifunza ila wajanja wachache baada ya kujifunza Hiyo elimu wakishajua ndio Wana tumia Jina la Mungu kwaajili ya kuwatapeli watu Wanajua kuwa Neno Mungu limepewa influence kubwa Sana so ukilitumia ni rahisi kupata pesa Kwa sababu watu tayari walishapandikizwa Imani tangu wakiwa watoto so ni rahisi kuendelea kuwa danganya Kwa kutumia Jina la Mungu kuliko Endapo kama Utakuja na kitu kipya itakuwa ni ngumu kitu Hicho kuweza kupokelewa haraka ktk jamii so ni minding games tu

Yesu Muhammad sijui yoseph kina Paul wote walikuwa matapeli wa Imani nothing much
Hao uliowataja sawa Ni utapeli. Na Mimi niliyoyaona Ni utapeli?
 
Yap Wapo wanao wapanga watu waanguke watu wanapangwa wasenge kuwa Wamepona cancer baada ya maombi Wamepona ukimwi and the likes kuhusu kuanguka ukiwa na mapepo hata Mimi naweza kumwambia mtu Maneno ya kukemea mapepo na Mtu mwenye Mapepo akaanguka nothing special hapo ,

Halafu hayo Maneno yapo ktk kila jamii zilizopo Duniani wachina Wanayo wahindi wa Africa wazungu wanao amini ktk dini wasio amini yaani elimu ya kukemea mapepo Ipo Tu ni wewe Tu kuamua kujifunza ila wajanja wachache baada ya kujifunza Hiyo elimu wakishajua ndio Wana tumia Jina la Mungu kwaajili ya kuwatapeli watu Wanajua kuwa Neno Mungu limepewa influence kubwa Sana so ukilitumia ni rahisi kupata pesa Kwa sababu watu tayari walishapandikizwa Imani tangu wakiwa watoto so ni rahisi kuendelea kuwa danganya Kwa kutumia Jina la Mungu kuliko Endapo kama Utakuja na kitu kipya itakuwa ni ngumu kitu Hicho kuweza kupokelewa haraka ktk jamii so ni minding games tu

Yesu Muhammad sijui yoseph kina Paul wote walikuwa matapeli wa Imani nothing much
Mr. Loyalty king mimi nilitaka tu kufahamu kufahamu kwamba duniani Kuna miujiza au hakuna. Fikiria mfano mtu Ni mchawi kabisa alafu wewe unambishia Tena umekaza shingo kwamba hakuna uchawi duniani, unafikiri jibu lake litakuwa nini kichwani mwake? Bila shaka atawaza tu kwamba ujinga unakusumbua, ipo siku ukipigwa ndumba ndipo utakiri kuwa kweli uchawi upo.
Mimi nimebahatika kuona miujiza mbalimbali ya kimungu pamoja na maono ya kweli kabisa. Unataka kuniambia ilitoka wapi, utadai Ni wenge langu tu. Na Ni heri miujiza hii ingemtokea mwingine labda ningesema aah! Sina uhakika Kama Ni kweli.
Lkn imenitokea Mimi na mingine Ni ambayo ushahidi wake umedumu.
So, mtu Kama Mimi ukiniambia hakuna Mungu unafikiri jibu la haraka kichwani mwangu Ni Nini?
Bila shaka nitasema huyu ujinga unamsumbua na ipo siku atajua Kama Mungu yupo.
Sasa ishu ya kimungu unaweza hadi unakufa usipate nafasi hiyo ya kujua.

Nataka uniambie hiyo miujiza niliokuwa naiona ilikuwa inatoka wapi kama sio Mungu na Kama sio Mungu Ni nani? Funguka hapa Mr. Loyalty king.
 
Back
Top Bottom