zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Bange hizi nyinyi ndio mnafanya bange zipigwe marufukuOkokeni ndugu za zangu,huendi mbinguni bila Yesu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bange hizi nyinyi ndio mnafanya bange zipigwe marufukuOkokeni ndugu za zangu,huendi mbinguni bila Yesu.
Yesu mwenyewe alisema haya hayanabudi kutokea lakini mwisho bado.Alisema injili itakapohubiria duniani kote hapo ndipo mwisho utapokuja.Mi ninawasiwasi na mahubiri yanayoenea kwa kasi kwa njia za TV na mitandayo kwa lengo LA kumjulisha mtu uhusiano wake na Mungu ukoje?Ili akatendewe haki siku ya hukumu.Wengi tumejisahauMiongoni mwa watu wenye bahati ni watu wa jamii forum.
Tuache ubishi, tukubali ufahamu tunatofautiana. Kile usichikijua wewe Haimanishi wengine nao hawajui.
Hizi Vita zinazoendelea kwa wakubwa hazitapoa. Kuna jambo la hatari Sana hapo Mbeleni kidogo. Hatari hii kubwa itawakumba wanadamu wate ulimwenguni.
Vita hizi ni taarifa ya ujio wa Yesu. Na pia utakuwa mwisho wa dunia.
Mwisho wa dunia utaambatana na matumizi ya nuclear, kusogezwa kwa jua karibu, maji kugeuzwa damu.
Hatari kubwa IPO mbele yako. Usiwadharau Wahubiri Wanaohubili kwenye mabus, mitaani, Mitandaoni. Utawakumbuka, utakuwa Umechelewa
Please ndugu mtafute YESU
Sawa, lkn ushoga, usagaji na kubadili jinsia kunawapatia maslahi gani kwa mfano na Ni kwa namna gani wananufaika?Kwani hauoni huko jinsi ushoga usagaji na jamii ya watu ambao wanabadili jinsia ikipewa chapuo na kuonekana kuwa ni Jambo la kawaida au Hilo haujaliona mkuu??
Sawa asante, nakuombea ndugu na wewe Mungu akukumbuke kwenye ufalme wake.Bange hizi nyinyi ndio mnafanya bange zipigwe marufuku
Mnasababisha bange inapigwa marufuku sababu ndio hizi za Zumaridi kwamba alienda mbinguni akapiga story na Mungu halafu hapo hapo akasema yeye ndio Mungu punguzeni mibangeSawa asante, nakuombea ndugu na wewe Mungu akukumbuke kwenye ufalme wake.
Hahahaa we jamaa bhana, bhangi umekula wewe alafu unawazushia wengine!! Kweli dunia haina hakiMnasababisha bange inapigwa marufuku sababu ndio hizi za Zumaridi kwamba alienda mbinguni akapiga story na Mungu halafu hapo hapo akasema yeye ndio Mungu punguzeni mibange
Punguzeni mibange shiyeeeeeea mibange tu mkishakula ndumu mnajifanya mnanena kwa lugha kumbe jenereta limewakaHahahaa we jamaa bhana, bhangi umekula wewe alafu unawazushia wengine!! Kweli dunia haina haki
Ulokole mkiona Jua mnasema mwisho wa Dunia mkiona mvua mnasema zama za mwisho sasa Vita zimepiganwa tangu enzi na enzi hiyo biblia inasema Sauli kauwawa na Daudi mara Wafilist sasa leo mnaibuka na mengine tena kwamba mwisho wa Dunia???Miongoni mwa watu wenye bahati ni watu wa jamii forum.
Tuache ubishi, tukubali ufahamu tunatofautiana. Kile usichikijua wewe Haimanishi wengine nao hawajui.
Hizi Vita zinazoendelea kwa wakubwa hazitapoa. Kuna jambo la hatari Sana hapo Mbeleni kidogo. Hatari hii kubwa itawakumba wanadamu wate ulimwenguni.
Vita hizi ni taarifa ya ujio wa Yesu. Na pia utakuwa mwisho wa dunia.
Mwisho wa dunia utaambatana na matumizi ya nuclear, kusogezwa kwa jua karibu, maji kugeuzwa damu.
Hatari kubwa IPO mbele yako. Usiwadharau Wahubiri Wanaohubili kwenye mabus, mitaani, Mitandaoni. Utawakumbuka, utakuwa Umechelewa
Please ndugu mtafute YESU
Hahahha umechoka kuwasifia Israel😂 umeamua kurudi kwa Mwambosa 😂😂Miongoni mwa watu wenye bahati ni watu wa jamii forum.
Tuache ubishi, tukubali ufahamu tunatofautiana. Kile usichikijua wewe Haimanishi wengine nao hawajui.
Hizi Vita zinazoendelea kwa wakubwa hazitapoa. Kuna jambo la hatari Sana hapo Mbeleni kidogo. Hatari hii kubwa itawakumba wanadamu wate ulimwenguni.
Vita hizi ni taarifa ya ujio wa Yesu. Na pia utakuwa mwisho wa dunia.
Mwisho wa dunia utaambatana na matumizi ya nuclear, kusogezwa kwa jua karibu, maji kugeuzwa damu.
Hatari kubwa IPO mbele yako. Usiwadharau Wahubiri Wanaohubili kwenye mabus, mitaani, Mitandaoni. Utawakumbuka, utakuwa Umechelewa
Please ndugu mtafute YESU
Wewe Ni kipotoshi. Unapotosha watu pasipo sababu za msingi. Huwezi sema watu wanaopigia chapuo ushoga na usagaji kwamba unawalipa sio kweli.Kwani hauoni huko jinsi ushoga usagaji na jamii ya watu ambao wanabadili jinsia ikipewa chapuo na kuonekana kuwa ni Jambo la kawaida au Hilo haujaliona mkuu??
Hakuna Uchawi ni story tu nazoHakuna mwisho wa dunia
Wengi wataelewa tu muda unavyoendelea ila wale wabishi tukishanyakuliwa na wao ndo wataelewa kwamba tulishawaambia wakati wa kutubu na kuwa tayari kuondoshwa katika dunia na kuepuka dhizi ya Yakobo ni sasa. Heri mwenye masikio asikiaye na kutii neno la Mungu Yesu sasa.Miongoni mwa watu wenye bahati ni watu wa jamii forum.
Tuache ubishi, tukubali ufahamu tunatofautiana. Kile usichikijua wewe Haimanishi wengine nao hawajui.
Hizi Vita zinazoendelea kwa wakubwa hazitapoa. Kuna jambo la hatari Sana hapo Mbeleni kidogo. Hatari hii kubwa itawakumba wanadamu wate ulimwenguni.
Vita hizi ni taarifa ya ujio wa Yesu. Na pia utakuwa mwisho wa dunia.
Mwisho wa dunia utaambatana na matumizi ya nuclear, kusogezwa kwa jua karibu, maji kugeuzwa damu.
Hatari kubwa IPO mbele yako. Usiwadharau Wahubiri Wanaohubili kwenye mabus, mitaani, Mitandaoni. Utawakumbuka, utakuwa Umechelewa
Please ndugu mtafute YESU
👉👉Mwisho gani toa ujinga wako hakuna mwisho Mwisho ni Mimi na wewe kufa na wengine kuja kuishi , ---- kwaakili yako wewe Ilivyo kosa kuwa critical unadhani kuwa kunufaika nimpaka wawe Wana ingiza pesa 🤣🤣🤣kunufaika ktk siasa kuna namna nyingi Namna Moja wapo ni pale ambapo jamii ya watu Fulani inapo kuwa inaona kuwa tamaduni zao Mila zao na Sera zinakandamizwa na Serikali zilizopo madarakani pamoja na jamii Kwa ujumla Basi Jamii yenye hizo tamaduni zinazo kandamizwa (sizo kubalika) Huamua kupambana na kushika madaraka ili iweze kuwa rahisi Kwa wao kuweza kubadilisha Sera zilizopo na kuweka Sera za kwao ambazo zitakuwa zina Tambua tamaduni na Mila zao kisheria ,Wewe Ni kipotoshi. Unapotosha watu pasipo sababu za msingi. Huwezi sema watu wanaopigia chapuo ushoga na usagaji kwamba unawalipa sio kweli.
Ungesema kwamba Ni maajenti wa kuwatoa watu waende mbali na imani au na Mungu wao hapo sawa. Na tukichukulia kwa mtazamo huu bado utakubaliana na Mimi kwamba ule mwisho upo karibu Sana. Vinginevyo tetea hoja yako kwamba wananufaika namna gani kwa kupigia chapuo ushoga.
Ok nmekuelewa vizuri mtaalamu.👉👉Mwisho gani toa ujinga wako hakuna mwisho Mwisho ni Mimi na wewe kufa na wengine kuja kuishi , ---- kwaakili yako wewe Ilivyo kosa kuwa critical unadhani kuwa kunufaika nimpaka wawe Wana ingiza pesa 🤣🤣🤣kunufaika ktk siasa kuna namna nyingi Namna Moja wapo ni pale ambapo jamii ya watu Fulani inapo kuwa inaona kuwa tamaduni zao Mila zao na Sera zinakandamizwa na Serikali zilizopo madarakani pamoja na jamii Kwa ujumla Basi Jamii yenye hizo tamaduni zinazo kandamizwa (sizo kubalika) Huamua kupambana na kushika madaraka ili iweze kuwa rahisi Kwa wao kuweza kubadilisha Sera zilizopo na kuweka Sera za kwao ambazo zitakuwa zina Tambua tamaduni na Mila zao kisheria ,
Ndio maana unaona hata hizi dini zilizopo kuna baadhi ya nchi zina tawaliwa na Sheria za hizo dini Kwa sababu lengo na madhumuni ya waumini wa hizo dini nikupata security ya kile Wanacho kiamini
👉👉Ukishakuwa na power ni rahisi kupitisha agenda ya kitu Fulani na agenda Hiyo ikapewa chapuo , Jamii ya watu mashoga wanalijua Hilo ndio maana Jambo la Kwanza wanaimiliki system of power inayo endesha dunia ili waweze kusimika rasmi tamaduni zao za ushoga ktk Sheria Wanajua Kwa kufanya hivyo Baada ya miaka 15s to comes Sehemu kubwa ya jamii zilizopo Duniani zitaona kuwa ushoga ni kitu cha kawaida na sehemu kubwa ya dunia itakuwa ina utambua ushoga na kuuheshimu, ( Kwa wao Hilo ni mafanikio)
👉👉👉So inatakiwa utambue ktk maisha neno mafanikio Lina beba mantiki Pana , kuna mafanikio ya kisera za UChumi mafanikio Sera za kitamaduni nakadhalika na ili uweze kupata mafanikio ya hayo yote ni lazima uhakikishe unaishika system na Hizo sera zipate kutungiwa Sheria ili watu waweze kuzi Obey Kwa Hiyo Kwa kuwa wao wamefanikiwa ktk Hilo Kwao wao hayo ni mafanikio pia kwa Tamaduni zao Maana watakuwa safe hakuna atakaye washangaa tena watatembea Mabarabarani bila haya hakuna ataye itenga jamii Yao kutokana na matendo yao , Mahotel na nyumba za wageni zitaheshimu uwepo wao na kuwapa nafasi ya kufanya uchafu wao Mabunge na mahakama pamoja na Serikali vitawalinda, Watakuwa Wana Pana wazi wazi bila kificho Etc , Jitambue
Vita vimekuwa vikipiganwa Toka hata Yesu hajazaliwa acha kututishaMiongoni mwa watu wenye bahati ni watu wa jamii forum.
Tuache ubishi, tukubali ufahamu tunatofautiana. Kile usichikijua wewe Haimanishi wengine nao hawajui.
Hizi Vita zinazoendelea kwa wakubwa hazitapoa. Kuna jambo la hatari Sana hapo Mbeleni kidogo. Hatari hii kubwa itawakumba wanadamu wate ulimwenguni.
Vita hizi ni taarifa ya ujio wa Yesu. Na pia utakuwa mwisho wa dunia.
Mwisho wa dunia utaambatana na matumizi ya nuclear, kusogezwa kwa jua karibu, maji kugeuzwa damu.
Hatari kubwa IPO mbele yako. Usiwadharau Wahubiri Wanaohubili kwenye mabus, mitaani, Mitandaoni. Utawakumbuka, utakuwa Umechelewa
Please ndugu mtafute YESU