Nimeandika sana kuhusu vita zinazoendelea ulimwenguni kwamba ni roadmap ya mwisho wa dunia

Nimeandika sana kuhusu vita zinazoendelea ulimwenguni kwamba ni roadmap ya mwisho wa dunia

Dunia itaendelea kuwepo milele lakini wanadamu na viumbe vyote hai vitakuwa vinatoweka vizazi na vizazi.Mashoga wakitawala Dunia ndiyo itakuwa mwisho wa kuishi binadamu maana kutakuwa hakuna kizazi kipya kitakachokuja Tena sababu shoga hawezi kuzaa.
 
Miongoni mwa watu wenye bahati ni watu wa jamii forum.

Tuache ubishi, tukubali ufahamu tunatofautiana. Kile usichikijua wewe Haimanishi wengine nao hawajui.

Hizi Vita zinazoendelea kwa wakubwa hazitapoa. Kuna jambo la hatari Sana hapo Mbeleni kidogo. Hatari hii kubwa itawakumba wanadamu wate ulimwenguni.

Vita hizi ni taarifa ya ujio wa Yesu. Na pia utakuwa mwisho wa dunia.

Mwisho wa dunia utaambatana na matumizi ya nuclear, kusogezwa kwa jua karibu, maji kugeuzwa damu.

Hatari kubwa IPO mbele yako. Usiwadharau Wahubiri Wanaohubili kwenye mabus, mitaani, Mitandaoni. Utawakumbuka, utakuwa Umechelewa

Please ndugu mtafute YESU
Yesu mwenyewe alisema haya hayanabudi kutokea lakini mwisho bado.Alisema injili itakapohubiria duniani kote hapo ndipo mwisho utapokuja.Mi ninawasiwasi na mahubiri yanayoenea kwa kasi kwa njia za TV na mitandayo kwa lengo LA kumjulisha mtu uhusiano wake na Mungu ukoje?Ili akatendewe haki siku ya hukumu.Wengi tumejisahau
 
Kwani hauoni huko jinsi ushoga usagaji na jamii ya watu ambao wanabadili jinsia ikipewa chapuo na kuonekana kuwa ni Jambo la kawaida au Hilo haujaliona mkuu??
Sawa, lkn ushoga, usagaji na kubadili jinsia kunawapatia maslahi gani kwa mfano na Ni kwa namna gani wananufaika?
 
Sawa asante, nakuombea ndugu na wewe Mungu akukumbuke kwenye ufalme wake.
Mnasababisha bange inapigwa marufuku sababu ndio hizi za Zumaridi kwamba alienda mbinguni akapiga story na Mungu halafu hapo hapo akasema yeye ndio Mungu punguzeni mibange
 
Mnasababisha bange inapigwa marufuku sababu ndio hizi za Zumaridi kwamba alienda mbinguni akapiga story na Mungu halafu hapo hapo akasema yeye ndio Mungu punguzeni mibange
Hahahaa we jamaa bhana, bhangi umekula wewe alafu unawazushia wengine!! Kweli dunia haina haki
 
Hahahaa we jamaa bhana, bhangi umekula wewe alafu unawazushia wengine!! Kweli dunia haina haki
Punguzeni mibange shiyeeeeeea mibange tu mkishakula ndumu mnajifanya mnanena kwa lugha kumbe jenereta limewaka
 
Miongoni mwa watu wenye bahati ni watu wa jamii forum.

Tuache ubishi, tukubali ufahamu tunatofautiana. Kile usichikijua wewe Haimanishi wengine nao hawajui.

Hizi Vita zinazoendelea kwa wakubwa hazitapoa. Kuna jambo la hatari Sana hapo Mbeleni kidogo. Hatari hii kubwa itawakumba wanadamu wate ulimwenguni.

Vita hizi ni taarifa ya ujio wa Yesu. Na pia utakuwa mwisho wa dunia.

Mwisho wa dunia utaambatana na matumizi ya nuclear, kusogezwa kwa jua karibu, maji kugeuzwa damu.

Hatari kubwa IPO mbele yako. Usiwadharau Wahubiri Wanaohubili kwenye mabus, mitaani, Mitandaoni. Utawakumbuka, utakuwa Umechelewa

Please ndugu mtafute YESU
Ulokole mkiona Jua mnasema mwisho wa Dunia mkiona mvua mnasema zama za mwisho sasa Vita zimepiganwa tangu enzi na enzi hiyo biblia inasema Sauli kauwawa na Daudi mara Wafilist sasa leo mnaibuka na mengine tena kwamba mwisho wa Dunia???
Mbona msiache kukusanya hela na kutuuzia mafuta mnanunua dumu elf 90 mnaliuza kwenye kisoda elf 10 mbapiga mamilioni kwa uongo na utapeli
 
Miongoni mwa watu wenye bahati ni watu wa jamii forum.

Tuache ubishi, tukubali ufahamu tunatofautiana. Kile usichikijua wewe Haimanishi wengine nao hawajui.

Hizi Vita zinazoendelea kwa wakubwa hazitapoa. Kuna jambo la hatari Sana hapo Mbeleni kidogo. Hatari hii kubwa itawakumba wanadamu wate ulimwenguni.

Vita hizi ni taarifa ya ujio wa Yesu. Na pia utakuwa mwisho wa dunia.

Mwisho wa dunia utaambatana na matumizi ya nuclear, kusogezwa kwa jua karibu, maji kugeuzwa damu.

Hatari kubwa IPO mbele yako. Usiwadharau Wahubiri Wanaohubili kwenye mabus, mitaani, Mitandaoni. Utawakumbuka, utakuwa Umechelewa

Please ndugu mtafute YESU
Hahahha umechoka kuwasifia Israel😂 umeamua kurudi kwa Mwambosa 😂😂
 
Ktk makosa makubwa ambayo ulimwengu utayafanya Ni kumwacha Iran kuendelea na nyuklia. Hana akili ya ku manage nyuklia yule atatutoa muhanga. Angebondwa mapema kabisa kabisa.
 
Mataifa makubwa kama marekani ndiyo yatakayo kuja kuiharibu dunia nzima kuliko ilivyo Sasa...kitakachoiua dunia ni dini na siasa, dini(Imani) ni kitu very emotional, Leo hii mwafrika na madevu yake anaishabikia Kwa nguvu Israel kama taifa teule liendeleze anachofanya, hii ni mentality ya kitumwa ambayo tayari ushajiweka kwenye unyonge wa utumwa ambapo maana yake akija yahudi kwako Leo hii utadhani amekuja yesu wakati huo huo hao unaoshabikia Sasa haha they don't care about you. Mtu mzima amekakamaa shingo anaishabikia Iran kindakindaki, Iran ambao wao wanapigania maslahi Yao na Wala hawajali kuhusu wewe kama bei ya mafuta itapanda ama lah huku ikija kukuathiri wewe lakini aaah mate yanakutoka, it's frustration Kwa kweli, hao wote wako based na Imani zao...watu wanaangalia maslahi tu kwenye hii dunia, Imani Fanya nyumbani kwako na watu wako, sisi tujenge nchi isonge mbele.
 
Kwani hauoni huko jinsi ushoga usagaji na jamii ya watu ambao wanabadili jinsia ikipewa chapuo na kuonekana kuwa ni Jambo la kawaida au Hilo haujaliona mkuu??
Wewe Ni kipotoshi. Unapotosha watu pasipo sababu za msingi. Huwezi sema watu wanaopigia chapuo ushoga na usagaji kwamba unawalipa sio kweli.

Ungesema kwamba Ni maajenti wa kuwatoa watu waende mbali na imani au na Mungu wao hapo sawa. Na tukichukulia kwa mtazamo huu bado utakubaliana na Mimi kwamba ule mwisho upo karibu Sana. Vinginevyo tetea hoja yako kwamba wananufaika namna gani kwa kupigia chapuo ushoga.
 
Miongoni mwa watu wenye bahati ni watu wa jamii forum.

Tuache ubishi, tukubali ufahamu tunatofautiana. Kile usichikijua wewe Haimanishi wengine nao hawajui.

Hizi Vita zinazoendelea kwa wakubwa hazitapoa. Kuna jambo la hatari Sana hapo Mbeleni kidogo. Hatari hii kubwa itawakumba wanadamu wate ulimwenguni.

Vita hizi ni taarifa ya ujio wa Yesu. Na pia utakuwa mwisho wa dunia.

Mwisho wa dunia utaambatana na matumizi ya nuclear, kusogezwa kwa jua karibu, maji kugeuzwa damu.

Hatari kubwa IPO mbele yako. Usiwadharau Wahubiri Wanaohubili kwenye mabus, mitaani, Mitandaoni. Utawakumbuka, utakuwa Umechelewa

Please ndugu mtafute YESU
Wengi wataelewa tu muda unavyoendelea ila wale wabishi tukishanyakuliwa na wao ndo wataelewa kwamba tulishawaambia wakati wa kutubu na kuwa tayari kuondoshwa katika dunia na kuepuka dhizi ya Yakobo ni sasa. Heri mwenye masikio asikiaye na kutii neno la Mungu Yesu sasa.
 
Wewe Ni kipotoshi. Unapotosha watu pasipo sababu za msingi. Huwezi sema watu wanaopigia chapuo ushoga na usagaji kwamba unawalipa sio kweli.

Ungesema kwamba Ni maajenti wa kuwatoa watu waende mbali na imani au na Mungu wao hapo sawa. Na tukichukulia kwa mtazamo huu bado utakubaliana na Mimi kwamba ule mwisho upo karibu Sana. Vinginevyo tetea hoja yako kwamba wananufaika namna gani kwa kupigia chapuo ushoga.
👉👉Mwisho gani toa ujinga wako hakuna mwisho Mwisho ni Mimi na wewe kufa na wengine kuja kuishi , ---- kwaakili yako wewe Ilivyo kosa kuwa critical unadhani kuwa kunufaika nimpaka wawe Wana ingiza pesa 🤣🤣🤣kunufaika ktk siasa kuna namna nyingi Namna Moja wapo ni pale ambapo jamii ya watu Fulani inapo kuwa inaona kuwa tamaduni zao Mila zao na Sera zinakandamizwa na Serikali zilizopo madarakani pamoja na jamii Kwa ujumla Basi Jamii yenye hizo tamaduni zinazo kandamizwa (sizo kubalika) Huamua kupambana na kushika madaraka ili iweze kuwa rahisi Kwa wao kuweza kubadilisha Sera zilizopo na kuweka Sera za kwao ambazo zitakuwa zina Tambua tamaduni na Mila zao kisheria ,

Ndio maana unaona hata hizi dini zilizopo kuna baadhi ya nchi zina tawaliwa na Sheria za hizo dini Kwa sababu lengo na madhumuni ya waumini wa hizo dini nikupata security ya kile Wanacho kiamini

👉👉Ukishakuwa na power ni rahisi kupitisha agenda ya kitu Fulani na agenda Hiyo ikapewa chapuo , Jamii ya watu mashoga wanalijua Hilo ndio maana Jambo la Kwanza wanaimiliki system of power inayo endesha dunia ili waweze kusimika rasmi tamaduni zao za ushoga ktk Sheria Wanajua Kwa kufanya hivyo Baada ya miaka 15s to comes Sehemu kubwa ya jamii zilizopo Duniani zitaona kuwa ushoga ni kitu cha kawaida na sehemu kubwa ya dunia itakuwa ina utambua ushoga na kuuheshimu, ( Kwa wao Hilo ni mafanikio)

👉👉👉So inatakiwa utambue ktk maisha neno mafanikio Lina beba mantiki Pana , kuna mafanikio ya kisera za UChumi mafanikio Sera za kitamaduni nakadhalika na ili uweze kupata mafanikio ya hayo yote ni lazima uhakikishe unaishika system na Hizo sera zipate kutungiwa Sheria ili watu waweze kuzi Obey Kwa Hiyo Kwa kuwa wao wamefanikiwa ktk Hilo Kwao wao hayo ni mafanikio pia kwa Tamaduni zao Maana watakuwa safe hakuna atakaye washangaa tena watatembea Mabarabarani bila haya hakuna ataye itenga jamii Yao kutokana na matendo yao , Mahotel na nyumba za wageni zitaheshimu uwepo wao na kuwapa nafasi ya kufanya uchafu wao Mabunge na mahakama pamoja na Serikali vitawalinda, Watakuwa Wana Pana wazi wazi bila kificho Etc , Jitambue
 
👉👉Mwisho gani toa ujinga wako hakuna mwisho Mwisho ni Mimi na wewe kufa na wengine kuja kuishi , ---- kwaakili yako wewe Ilivyo kosa kuwa critical unadhani kuwa kunufaika nimpaka wawe Wana ingiza pesa 🤣🤣🤣kunufaika ktk siasa kuna namna nyingi Namna Moja wapo ni pale ambapo jamii ya watu Fulani inapo kuwa inaona kuwa tamaduni zao Mila zao na Sera zinakandamizwa na Serikali zilizopo madarakani pamoja na jamii Kwa ujumla Basi Jamii yenye hizo tamaduni zinazo kandamizwa (sizo kubalika) Huamua kupambana na kushika madaraka ili iweze kuwa rahisi Kwa wao kuweza kubadilisha Sera zilizopo na kuweka Sera za kwao ambazo zitakuwa zina Tambua tamaduni na Mila zao kisheria ,

Ndio maana unaona hata hizi dini zilizopo kuna baadhi ya nchi zina tawaliwa na Sheria za hizo dini Kwa sababu lengo na madhumuni ya waumini wa hizo dini nikupata security ya kile Wanacho kiamini

👉👉Ukishakuwa na power ni rahisi kupitisha agenda ya kitu Fulani na agenda Hiyo ikapewa chapuo , Jamii ya watu mashoga wanalijua Hilo ndio maana Jambo la Kwanza wanaimiliki system of power inayo endesha dunia ili waweze kusimika rasmi tamaduni zao za ushoga ktk Sheria Wanajua Kwa kufanya hivyo Baada ya miaka 15s to comes Sehemu kubwa ya jamii zilizopo Duniani zitaona kuwa ushoga ni kitu cha kawaida na sehemu kubwa ya dunia itakuwa ina utambua ushoga na kuuheshimu, ( Kwa wao Hilo ni mafanikio)

👉👉👉So inatakiwa utambue ktk maisha neno mafanikio Lina beba mantiki Pana , kuna mafanikio ya kisera za UChumi mafanikio Sera za kitamaduni nakadhalika na ili uweze kupata mafanikio ya hayo yote ni lazima uhakikishe unaishika system na Hizo sera zipate kutungiwa Sheria ili watu waweze kuzi Obey Kwa Hiyo Kwa kuwa wao wamefanikiwa ktk Hilo Kwao wao hayo ni mafanikio pia kwa Tamaduni zao Maana watakuwa safe hakuna atakaye washangaa tena watatembea Mabarabarani bila haya hakuna ataye itenga jamii Yao kutokana na matendo yao , Mahotel na nyumba za wageni zitaheshimu uwepo wao na kuwapa nafasi ya kufanya uchafu wao Mabunge na mahakama pamoja na Serikali vitawalinda, Watakuwa Wana Pana wazi wazi bila kificho Etc , Jitambue
Ok nmekuelewa vizuri mtaalamu.
Kama sijakosea, lengo lako lakutomuamini Mungu nafkiri nikutaka jamii/dunia kubadili mtazamo wao I'll ije iwe sheria yakutokuwa na Mungu duniani Kama mashoga wapiganiavyo haki zao leo, vizuri.

Lengo kuu la kupigia chapuo ushoga, Ni kuondoa unyanyapaa ili jamii yao iishi kwa uhuru na amani. Wakati hasara zake kisayansi zinajulikana na kidini pia.
Lakini madhara makubwa zaidi Ni kwamba inadhaniwa kuja kuhatarisha uwepo wa binadamu hapo badae katika uso wa dunia.

Lengo kuu la dini Ni maisha ya milele. Ikiwa Ni pamoja na ustaarabu wa maisha kwa mtindo wakuepuka uovu. Ushoga Ni moja ya maovu yanayonyooshewa kidole na dini.
Huku madhara ya wazi ya dini kibinadamu lkn ikiwa Ni ile yakumtegemea Mungu kwa kila jambo na kushindwa kwa maamuzi ya mabadiliko kwahofu yakumkosea japo Ni kwabaadhi ya mambo.

Shusha nondo zako hapa kueleza lengo kuu la ukana Mungu, malengo na matamanio ya maisha baada yakuwa jamii tayari imekuelewa mtazamo wako. Faida zake na hasara pia pasipo kugusa angle ya dini ili nije kuwa mfuasi wako Mr.
 
Miongoni mwa watu wenye bahati ni watu wa jamii forum.

Tuache ubishi, tukubali ufahamu tunatofautiana. Kile usichikijua wewe Haimanishi wengine nao hawajui.

Hizi Vita zinazoendelea kwa wakubwa hazitapoa. Kuna jambo la hatari Sana hapo Mbeleni kidogo. Hatari hii kubwa itawakumba wanadamu wate ulimwenguni.

Vita hizi ni taarifa ya ujio wa Yesu. Na pia utakuwa mwisho wa dunia.

Mwisho wa dunia utaambatana na matumizi ya nuclear, kusogezwa kwa jua karibu, maji kugeuzwa damu.

Hatari kubwa IPO mbele yako. Usiwadharau Wahubiri Wanaohubili kwenye mabus, mitaani, Mitandaoni. Utawakumbuka, utakuwa Umechelewa

Please ndugu mtafute YESU
Vita vimekuwa vikipiganwa Toka hata Yesu hajazaliwa acha kututisha
 
Back
Top Bottom