Nimeangalia filamu ya Royal Tour. I was not impressed. Itawakera sana baadhi yenu

Umemjibu vizuri.Na sisi wananchi wakawaida,unatufahamisha,na tunafahamu vizuri sasa.
 
Hivi Kuna rais yeyote duniani aliyeko madarakani anafanya kama anayofanya Samia ya kuacha shughuli za kitaifa na kuwa busy na filamu?
Bora muda huu tungepata kiongozi mwingine tuu.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Ila kumbuka mtalii mmoja akija atapanda tax atalala hotel atanunua vinyago na dada yako atapata bwana.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Nani atakuwa anafanya analysis ya kile walichokipata dhidi ya kile tulichokipata au tunaamini tu kuwa sisi ndio tutakao faidika zaidi!!? Haka kamchezo natamani CAG Akachambue unataka kutwambia jamaa wamelipia na gharama ya bi mkubwa kwenda kuifungua kwa wiki mbili USA na cost ya muda na rasilimali za taifa kushoot kama helicopter ya jeshi na muda wa mtumishi namba moja wa umma

Naona tumecopy kwa Kagame na kufanya modification za kutosha... Very disappointing
 
Na wao pia nasikia wanatoa filamu yao inayoonyesha Mlima Kilimanjaro na serengeti zipo kwao...Filamu inaitwa the Tour Guide
Siku zote aliekutangulia ndio mkubwa. Wao wakitoa mlima Kilimanjaro baada ya sisi dunia itatambua kuwa wame copy kwetu.
 
Fanyakazi acha uvivu.Duniani vitu kupanda ni jambo la kawaida.Babu zetu wakinunua kilo ya nyama sent tano miaka ya 1847, ulipozaliwa wewe ukakuta ni 5000, ikawa inapanda inapanda,kulingana na wakati.Hata dala dala enzi za miaka ya 70,ilikuwa shilingi 5,mpaka unazaliwa wewe umekuta ni 200 na sasa 400.Bei hazibaki hizo hizo,miaka,bei zinabadikika.
 
Reactions: Tui
Umemjibu vizuri.Na sisi wananchi wakawaida,unatufahamisha,na tunafahamu vizuri sasa.
Jamaa alijua kila mtu anaweza kushikiwa akili kama alivyoshikiwa yeye na mabwanyenye wake. Tunajua fika kuwa maadui zetu wanatumia nguvu kubwa, na pesa nyingi kuwarubuni hawa vijana ili waje waharibu sifa za filam na nchi kwa ujumla kwa lengo la kuwavunja nguvu wengine. Lakini sisi wenye uchungu na taifa hili kamwe hatuwezi kuwaacha hawa chawa watambe au wachafue chochote.
 
Umesema kweli,sisi wananchi,sasa tumeelewa kwa nini,wanaumia kuhusu hii filam,kumbe walikuwa wanajitangazia vivutio vya Tanzania ni vya nchi nyingine.
Ndio mkuu, hii filam imeenda kuifanya dunia ielewe kila kitu kuhusu Tanzania na watanzania. So maadui wana wasi wasi wa kupoteza watalii.
 
Filamu nyingi kuhusu Tanzania ukiziangalia hakuna jipya utaona, ila mambo unayoona ya kawaida kuna watu wengi watashangaa sana tu.

Kwa kifupi, you are not the target.
 
Acha utani bwana wewe! Yaani rais wa Israeli alikaa marekani zaidi ya nusu mwezi! Hata wa Rwanda hakukaa hivyo.
 
nafikiri Tusubiri muda Ndio utaleta jibu sahihi kuliko kutoa maamuzi sasahivi
 
Hivi Kuna rais yeyote duniani aliyeko madarakani anafanya kama anayofanya Samia ya kuacha shughuli za kitaifa na kuwa busy na filamu?
Bora muda huu tungepata kiongozi mwingine tuu.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Kwa vile unaishi mwanalumango mambo kama haya ya maraisi au viongozi wa serikali kuacha shughuli zao kwa ajili ya filamu hauwezi kuyajua. Wewe umeshazoea mtu aje akushike masikio akwambie andika hivi na ww uandike bila hata kutumia japo robo tu ya akili yako uliyojaaliwa na mola wako. Hao chini ni baadhi tu ya hao walioacha shughuli zao kwa ajili ya filamu. Na kwa vile nchi hizo hazina vilaza wa aina hii ya baadhi ya watanzania basi hakuna raia wao waliowalaumu au kuwaattack kwa walichokifanya. Maana waliamini kuwa filamu hizo ni moja kati ya shughuli za nchi ambazo raisi au kiongozi anapaswa kuzifanya kwa taifa lake. We endelea kuaminishwa na kuamini kwamba hakuna raisi alieacha shughuli za kitaifa na kuwa busy na film. Najua akili haichanganui, lkn sidhani kuwa hata macho yako nayo hayaoni.





 
Tuangalie gharama za hiyo tour, na uhalisia...
 
Kila nikijaribu kutype maoni yangu mkono unakuwa mzitoooooooo! Acha ibaki Ivo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…