Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naogopa isije ikawa kama ya wale Bushmen wa South Africa! Jamaa anaendelea kupiga mpunga mrefu wenyewe sijui waliambulia kitu gani? Greenberg anaweza kutuchuuza Hutu!Mkuu Mzee Mwanakijiji , hii filamu ni yao, walituomba watutengenezee, tukakubali, wametumia gharama zao, na sasa baada ya uzinduzi, wataendelea na biashara yao kurudisha gharama zao, huku sisi tukifaidika kutangaziwa utalii wetu bure bure.
Tena mbele ya safari, in future, mnaweza kuja kuwa surprised kukuta hata the main character, alilipwa tuu kama ma starring wengine wote wa movies nyingine zote!, the only difference, zile nyingine ni fiction movies, this is non fiction.
P
ukakasi gani?Sio ila Mpiga Mwingi kampaka sana Jiwe hii kitaalam inaitwa ondoka wakuseme.
Halafu pale mwanzoni wakati wanatoka Ikulu aliposema "Peter first take off your tie and Jacket" ilikua na ukakasi fulani.
Mambo ya movie acha tu.
Enzi hizo 3D unaenda unapewa miwani unazama bio tukajibeba family nzima ndani movie PIRANHA.
Hilo samaki linakula hadi binadamu.
Basi watoto wakishua wako beach wanakula bata na private boats wachumba kibao aisee waliibuka hao samaki ilikua mtafaruku ndni ya bio acha movie .
Aliyekimbia miwani ile ndo kabisa unakua km uko humo ndani.
Siku hiyo ndio nimeona samaki anatafuna mbupu au ziwa la mtu km apple..
Tafuta hiyo movie.
Hao samaki wapo Amazon huko na ni kweli ni dangerous species.
Nilibahatika kumuona live na kumtafuna ni watamu tu.
Pole kwa gazeti.
Kiongozi ile filamu wameandaliwa wazungu na siyo kina Abunuwasi.Nimebahatika kuangalia filamu ya Royal Tour.
Mimi binafsi haijanivutia, na hata watoto wangu wamesema hawajaona jambo jipya.
Filamu imeonyesha mlima Kilimanjaro, Zanzibar, Ngorongoro, Serengeti, na hifadhi ya pembe za ndovu / nyara za taifa.
Sasa maeneo hayo yameshaonyeshwa katika filamu nyingi zinazotangaza utalii wa Tanzania. Nilitegemea filamu pamoja na kuonyesha vivutio vinavyojulikana, ingetambulisha maeneo mapya ya vivutio vyetu vya utalii.
Pia usimuliaji wa Rais Samia haukuwa wa viwango vya kuridhisha. Inawezekana filamu imeharakishwa kutolewa. Kuna baadhi yenu mtakereka sana na filamu hiyo. Naomba nisisema jambo hilo kwa sasa hivi.
NB:
Nadhani tunaweza kuandaa filamu nzuri zaidi ya kutangaza utalii wetu. Wadau wa utalii wakae pamoja na kujifunza kutokana na mapungufu ya Royal Tour Tanzania.
cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige, Kichuguu, Kilatha, Phillipo Bukililo, Statesman
Kwani hakupata corona? Hata yeye alisema alipatancorona lakini akajibu kwa malimao na nyungu. Mama hajasemankuwa alikufa kwa corona๐ฒ
Akikupa jibu nitag ngoshaukakasi gani?
P
Yah PIRANHA ni samaki ana meno km ya papa.sasa kwa udogo wake na spidi ya kutafuna ndo balaa lilipo.Movie inaitwa PIRANHA???!
Naitafuta niiangalie mchana siku yaIddi Mosi.
Dstv kwenye channel ya TNT huwa wanaonesha hiyo movie, cheki monthly guidelines yao utaona huwa wanarudiarudia movie zao. Au check ratiba za Mnet 4.Movie inaitwa PIRANHA???!
Naitafuta niiangalie mchana siku yaIddi Mosi.
hahahaha van damme bwana ngono kama diamondWewe umezoea filamu za van Damme, utapendaje filamu za wanyama!?..hawajatengeneza kukulenga wewe
Ila Wabongo bhana. Nimeangalia sijaona paliponikera ingawa kuna mahali Raisi anaonekana Kujibu bila kufikiria vizuriTukiiangalia, tutachangia.
HahahahaAisee kumbe ni tamthilia ya kumchamba marehemu.
umeiangalia sana tu.. siku ile ila niliona km una mawazo na zile habariz polisi kuhusu yule mdada.Mimi bado sijaangalia.
P
huko ulikotembelea USA basi walikuwa ma-illitrate wa kufa mtu yale mateja hasa maskini wa kutupwa...hawakusoma kabisaaa....hii ni jiografia ya drsa la saba zamani sana yaani World Geography!! Please usituambie habari za watu maskini ambao hawakwenda shule!! Unasikia?.....yaani huko USA ulitembelea mazogoroni ndg....halafu ni ushamba kudhani kuwa woooote huko wamesoma. Kwa kuwa tu wa hela. Na mabomu mengi ya Nuc.Nimependa Neno haijakupendeza wewe not the case kwa wengine, nakumbuka ni shaenda Las Vegas kwenye jambo fulani, 90% ya watu pale hawajui East African countries, leave alone Tanzania.
Hivyo vivutio featured are the best selling ones, na kuhakikishia kwako haina maana but kwa watu wengine sahihi vina maana Sana.
Mfano kuna mtu kazeeka pale Karatu hajawahi ingia ngorongoro, anaona hakuna maana, lakini kuna mtu Australia ndani Queensland Amekuja mpaka Ngorongoro kwa millions of money.
Sijaiona hiyo filamu, lakini ukosoaji wako sio sahihi, ungekosoa namna ya content labda ningekusikiliza lakini kwa uchaguzi wa attractions, no way, you are very wrong.
Miaka yote hii mmeshindwa kuuelimisha ulimwengu kuwa Kilimanjaro iko Tanzania halafu mnategemea hii movie ndio itawaelimisha!
Amandla...
hahahahaa ameshakuwa msanii teyali ๐ ๐And why suprised if normally actors huwa wanalipwa, alipwe na yeye maana amefanya kazi.