Nimeangalia filamu ya Royal Tour. I was not impressed. Itawakera sana baadhi yenu

Nimeangalia filamu ya Royal Tour. I was not impressed. Itawakera sana baadhi yenu

Mkuu Mzee Mwanakijiji , hii filamu ni yao, walituomba watutengenezee, tukakubali, wametumia gharama zao, na sasa baada ya uzinduzi, wataendelea na biashara yao kurudisha gharama zao, huku sisi tukifaidika kutangaziwa utalii wetu bure bure.

Tena mbele ya safari, in future, mnaweza kuja kuwa surprised kukuta hata the main character, alilipwa tuu kama ma starring wengine wote wa movies nyingine zote!, the only difference, zile nyingine ni fiction movies, this is non fiction.

P
Naogopa isije ikawa kama ya wale Bushmen wa South Africa! Jamaa anaendelea kupiga mpunga mrefu wenyewe sijui waliambulia kitu gani? Greenberg anaweza kutuchuuza Hutu!
 
Sio ila Mpiga Mwingi kampaka sana Jiwe hii kitaalam inaitwa ondoka wakuseme.

Halafu pale mwanzoni wakati wanatoka Ikulu aliposema "Peter first take off your tie and Jacket" ilikua na ukakasi fulani.
ukakasi gani?
P
 
Serikali ipunguze matozo ya utalii watakuja kibao filamu haitasaidia kitu
 
Tanzania inauzwa kama vile Kenya iliuzwa kwa wakoloni na beberu mweusi raisi wetu. Hii mambo ya conservancies ni ukoloni mamboleo. Subsaharan Africa kauzwa kwa kusingizia sustainable development, green economy, carbon credits na kadhalika.
 
Mambo ya movie acha tu.
Enzi hizo 3D unaenda unapewa miwani unazama bio tukajibeba family nzima ndani movie PIRANHA.
Hilo samaki linakula hadi binadamu.
Basi watoto wakishua wako beach wanakula bata na private boats wachumba kibao aisee waliibuka hao samaki ilikua mtafaruku ndni ya bio acha movie .
Aliyekimbia miwani ile ndo kabisa unakua km uko humo ndani.
Siku hiyo ndio nimeona samaki anatafuna mbupu au ziwa la mtu km apple..
Tafuta hiyo movie.
Hao samaki wapo Amazon huko na ni kweli ni dangerous species.
Nilibahatika kumuona live na kumtafuna ni watamu tu.
Pole kwa gazeti.

Movie inaitwa PIRANHA???!

Naitafuta niiangalie mchana siku yaIddi Mosi.
 
Nimebahatika kuangalia filamu ya Royal Tour.

Mimi binafsi haijanivutia, na hata watoto wangu wamesema hawajaona jambo jipya.

Filamu imeonyesha mlima Kilimanjaro, Zanzibar, Ngorongoro, Serengeti, na hifadhi ya pembe za ndovu / nyara za taifa.

Sasa maeneo hayo yameshaonyeshwa katika filamu nyingi zinazotangaza utalii wa Tanzania. Nilitegemea filamu pamoja na kuonyesha vivutio vinavyojulikana, ingetambulisha maeneo mapya ya vivutio vyetu vya utalii.

Pia usimuliaji wa Rais Samia haukuwa wa viwango vya kuridhisha. Inawezekana filamu imeharakishwa kutolewa. Kuna baadhi yenu mtakereka sana na filamu hiyo. Naomba nisisema jambo hilo kwa sasa hivi.

NB:
Nadhani tunaweza kuandaa filamu nzuri zaidi ya kutangaza utalii wetu. Wadau wa utalii wakae pamoja na kujifunza kutokana na mapungufu ya Royal Tour Tanzania.


cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige, Kichuguu, Kilatha, Phillipo Bukililo, Statesman
Kiongozi ile filamu wameandaliwa wazungu na siyo kina Abunuwasi.

Sisi tuendelee tu kuangalia Etuglu, Ottoman, Rambo, Jack chan, Jet Lee and likes.
 
Movie inaitwa PIRANHA???!

Naitafuta niiangalie mchana siku yaIddi Mosi.
Yah PIRANHA ni samaki ana meno km ya papa.sasa kwa udogo wake na spidi ya kutafuna ndo balaa lilipo.
Na huyu alikua mkubwa kalelewa kiupole wale binadamu walienda huko kula bata tu walimletea utani akamgegeda mmoja, ,badae wale walikua emwlte wakazama majini wamtafute kunbe kule piranha wengine wameona damu wakaja.
Waliliwa watu hapo wako beach km ibiza huko mpk walikoma waliikuja kumuua yule samaki google utaona
 
Movie inaitwa PIRANHA???!

Naitafuta niiangalie mchana siku yaIddi Mosi.
Dstv kwenye channel ya TNT huwa wanaonesha hiyo movie, cheki monthly guidelines yao utaona huwa wanarudiarudia movie zao. Au check ratiba za Mnet 4.
 
Tunasema tunataka watalii waje lakini hatutaki wapige picha miji na majengo yetu wakiwa huku. Akiingia kwenye makumbusho tunataka alipie kupiga picha! Hatujui kuwa moja ya faida ya utalii ni kuweza ku share na jamii yako experience yako kwa kupitia picha na video!

Tunakuwa kama konda wa daladala ambao wanakubembeleza uingie kwenye basi lake lakini ukisha ingia anakugeuza kinyesi. Hii Royal Tour itakuwa bure tu kama hatubadilisha namna tunavyo watendea watalii wanapokuwa nchini mwetu.

Amandla...
 
Bogus kabisa hilo ni wazo lao...wewe ulikuwa wapi kuwaza km wao au kivingine?? Utalii ulikuwepo tangu zama. Wazaramo mna shida sana...kuchallenge kijinga tuuu! Wazo la mwenzio... Sijui mna akili ngapi nyie watu!...mtabaki ivoivo! Na wanenu vimeo hao wasio jua tathmini waandaaji hawajakulenga weye!...ukomege kujipendekeza kwa kazi za watu....hujaipenda pita ivi...
 
Nimependa Neno haijakupendeza wewe not the case kwa wengine, nakumbuka ni shaenda Las Vegas kwenye jambo fulani, 90% ya watu pale hawajui East African countries, leave alone Tanzania.

Hivyo vivutio featured are the best selling ones, na kuhakikishia kwako haina maana but kwa watu wengine sahihi vina maana Sana.

Mfano kuna mtu kazeeka pale Karatu hajawahi ingia ngorongoro, anaona hakuna maana, lakini kuna mtu Australia ndani Queensland Amekuja mpaka Ngorongoro kwa millions of money.

Sijaiona hiyo filamu, lakini ukosoaji wako sio sahihi, ungekosoa namna ya content labda ningekusikiliza lakini kwa uchaguzi wa attractions, no way, you are very wrong.
huko ulikotembelea USA basi walikuwa ma-illitrate wa kufa mtu yale mateja hasa maskini wa kutupwa...hawakusoma kabisaaa....hii ni jiografia ya drsa la saba zamani sana yaani World Geography!! Please usituambie habari za watu maskini ambao hawakwenda shule!! Unasikia?.....yaani huko USA ulitembelea mazogoroni ndg....halafu ni ushamba kudhani kuwa woooote huko wamesoma. Kwa kuwa tu wa hela. Na mabomu mengi ya Nuc.
 
Miaka yote hii mmeshindwa kuuelimisha ulimwengu kuwa Kilimanjaro iko Tanzania halafu mnategemea hii movie ndio itawaelimisha!

Amandla...

images (68).jpeg
 
Back
Top Bottom