Nimedokezwa: MOU 30 alizosaini Rais Dubai zikiwekwa hadharani, waTanganyika wote tutalala uchi barabarani

Jamaa waliweka picha ya Rais na bendera ya Tanzania kwenye lile li mnara.....rukashangiliaaaa
 
Ni nchi moja imejaa washenzi wa kila aina. Kuna hawa wanaomfanyia fitina Rais SSH wakisahau kuwa malipo ya dhambi ya ubaguzi yapo hapa hapa chini ya jua, hausubiriwi ufe ndio ukutane na adhabu.
Subiri hayo "malipo" yanamhusu nani!
Sasa umekuwa mtu wa kujiandikia tu lolote linalopita akilini mwako?
 
Kilichobaki ni kumuibia Muarabu mpaka awaambie CCM nimekoma kuwekeza, Hivi hajui tukienda Sumbawanga kwa wazee tunaweza kuiba mpaka Meli? Hawatujui hawa ngoja wakutane na Vibaka wazoefu waone kama watafikia hata lengo moja.
Kwa dhahabu na almasi wanazovushiwa na wazalendo naona itakuchukua miaka 100 kuwafilisi

Kila ukiiba wanapiga x1000
Huo wizi wenu wa diesel na mifuko ya cement unaona ni wizi mkubwa sana eti

Watu wanapata mgao 2b kwa dili
Yaani huwa nasema mwisho wa Dunia ufike tu au hayo mabomu ya nuclear walipue tu waanze Alif
 
Muda sio mrefu utaona mikataba ya kibiashara ikisainiwa na suala hili kumalizika kabisa. Hakuna kitu serikali itataka kufanya halafu ikashindwa kufanikisha nia yake.

Samia kaamua kutumia njia ya demokrasia njia ya kistaarabu vinginevyo angekuwa JPM suala hili kitambo keshalimaliza, usingemsikia Mwabukusi au kima mwingine yoyote akifungua mdomo wake.

Nasikitikia madhara ya nguvu kubwa wanayotumia wapinzani wa awamu ya sita katika kujaribu kuja kufanikisha malengo yao ya baadae, inaweza ikavunja nchi yenye miaka karibu 60 kwa sababu ya siasa zao za chuki badala ya kujikita kwenye mantiki nzima ya hoja.
 
Hayo yote uliyohoji hayawezi kuandikwa kwenye makubalino yaliyopitishwa bungeni. Kule Dodoma ilipitishwa framework ya biashara itakayovyukiwa au kwa lugha nyingine ilipitishwa SKELETON tu ya namna mtu atakavyokuwa.

Huku kwenye kupitisha mikataba ya kibiashara ndio yote hayo uliyohoji yanakwenda kupitishwa baada ya mijadala ya kina kati ya mwekezaji na mzalendo.
 
Fitna kajifanyia yeye mwenyewe kwa kukubali kuvaa kiatu ambacho kwake ni over-size...watanzania hawako tayari kuuzwa kwa waarabu...
Mimi mtanzania kama wewe na siuzwi kwa mwarabu yoyote na sitokuja kuuzwa kwa mtu yoyote.

Huu uanaharakati hauna tija iwapo mwisho wa siku bandari inaingiza pato dogo kuliko uwezo wake halisi.

Kagame alitucheka enzi za JK namna tunavyoshindwa kuitumia rasilimali ya bahari yenye bandari iliyo katika nchi yenye bahati ya kijiografia.

Hata huko kaburini Nyerere anatucheka tukiwa tumejaaliwa rasilimali za kila aina na mpaka leo miaka 24 baada ya kifo chake tumenasa kwenye mijadala na siasa za maongezi za JF.
 
Subiri hayo "malipo" yanamhusu nani!
Sasa umekuwa mtu wa kujiandikia tu lolote linalopita akilini mwako?
Malipo yanawahusu wote tunao ibua hoja za uzanzibari kwa nia ya kumnyanyapaa Rais na mawaziri wanaotoka huko Unguja na Pemba.

Maneno ya Mwalimu Nyerere bado yana uhai kwamba ubaguzi ni dhambi itakayokuja kulitafuna taifa.
 
huu uongo kuna siku mtaamka msene wake zenu au waume zenu wameuzwa
 
Ombi, MOU hizo zote 30 alizosaini, ziwekwe wazi.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni suala la muda tu. Nasikia kuna mpaka ya mwarabu wa jangwani kuja kutusaidia kutunza misitu yetu! Pia Dr Slaa amesema kuna kitu kingine kipya kinakuja siku si nyingi. Kwenye hiyo hiyo inner circle ya Maushungi kuna watanganyika wengi wamechukizwa. Unakumbuka Ndugai alivyosema nchi inauzwa? Alikwishanusa kitu. BTW mazingira aliyolelewa na kukulia huyu mama yanamasisha watu hasa wanawake kuwa tegemezi kwa waarabu. Nadhani wajanja waliojua huu udhaifu wakautumia kumshawishi kuwa akiwapa wajomba nchi wataitengeneza kama walivyofanya kwao.
 
Kwa uvivu wa huyo mama atakuwa hakuzisoma hizo agreements yeye aliwaachia wasaidizi wake wasome nao wakaacha kuzisoma pia.
 
Ninyi ndio wale sifia sifia hata ktk mambo ya kijinga yaliolitesa taifa hili kwa miongo mingi hata sasa...sitaki kuamini kama hauna ufahamu wa kile kinacholalamikiwa na watanzania ktk sakata hili...unataka kutuaminisha kuwa wote walioukosoa mkataba huu ni wanaharakati na watu wasiopenda wawekezaji...!
 
Chawa wa mama
 
WANASHERIA WAANDIKE BARUA KWA DP WORLD WAKIMTAADHALISHA KUWA YALIYOFANYWA NA SAMIA WATANGANYIKA HATUKUMTUMA. HIVYO HAWATAPOKELEWA HAPA
Lbda waje watanzania wapya, lakini kama ni sisi wa siku zote watapokelewa tu na tubakia kulalama huku mitandaoni na vijiweni.
 
Hivi kwanini hamtaki kujibu hoja husika?
 
Ipo tofauti ya makubaliano na mkataba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…