[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mtumishi Wa mchongo
 
Umeenda kuungama dhambi yako ya uzinzi?
Nakushauri achana naye mara moja otherwise utashikwa tyakko very soonest!
 
Dini zimekua kichaka Cha ngono,
Ndo maana mauaji hayaishi
 
Mpiga kinanda mwenzangu, aiseeh tutafika huko tunakoenda tukiwa tumechoka sana[emoji23][emoji23][emoji23] ila tuna siri kali sana huko parokiani!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hatari sana mpiga kinanda mwenzangu, siku moja ntawaletea visa vya wadada wa sauti yakwanza na yapili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…