Nimefedheheka sana na kuamua kuzima Runinga. Yaani walimu wanatumika kisiasa kumpigia kampeni Rais Samia 2025! Huku wamejaa dhiki

Nimefedheheka sana na kuamua kuzima Runinga. Yaani walimu wanatumika kisiasa kumpigia kampeni Rais Samia 2025! Huku wamejaa dhiki

Ina maana wanaridhika kudhurula na vishikwambi mitaani na kubeti huku wakitazama ngono? Kwa nini wanashindwa kutanguliza maslahi yao mbele bali wanakuwa kama mabumunda.

Eti tayari wameshampitisha Samia 2025.


This non sense. Maslahi duni na mnataabika. Mshahara ukitoka tu baada ya wiki hamna kitu
Hama nchi kabisa
 
Mi nilikuwa napata sup bar fulani hapa mtaani, mhudumu alikuwa amefungu tbc. Niliposhuhudia yale masifa, ghafla nilitapika. Sup yangu yote imetoka. Ndio nimeondoka hapo kama dk 20 hivi zilizopita.
Jinsia yako tafadhali, ili nikushauri kitu. Maana kuona kichefuchefu na kutapia siyo dalili nzuri kwa watu wa jinsia fulani.
 
Ina maana wanaridhika kudhurula na vishikwambi mitaani na kubeti huku wakitazama ngono? Kwa nini wanashindwa kutanguliza maslahi yao mbele bali wanakuwa kama mabumunda.

Eti tayari wameshampitisha Samia 2025.


This non sense. Maslahi duni na mnataabika. Mshahara ukitoka tu baada ya wiki hamna kitu
Nani kakuambia?nchi hii ina watu wangapi? Je walimu wako wangapi Tanzania?
 
WAMEJAZANA UWANJANI MASKINI HALAFU MC HATA HASOMI MABANGO YAO ANAJIROPOKEA YA KICHWANI MWAKE.


WALIMU NI WAJINGA AISEE
Wewe utakuwa mjinga wewe kwa sababu si kila anayevaa tshirt ya ualimu ni mwalimu
 
Mimi mpaka kesho nawaheshimu wale walimu wangu wa UPE walionifundisha elimu ya darasa la 1-7! Achilia mbali wale wa sekondari na chuo kikuu!

Hata kama nimewazidi elimu (mfano wale UPE), haiondoi heshima yangu kwao. Daima ninawaheshimu. Hivyo na wewe una cha kujifunza kutoka kwangu.
 
Lkn mkuu maajukwaa manbench yako tupu.

Ni ishara ya mgomo. Na hata hivyo wizara nyingine achana na walimu hali ni mbaya sana
 
Hayo ni maoni ya waalimu.we inakuuma nn?mpitishe na ww mgombea wako. We kwa akili zako matope unahisi Samia akiamua kugombea 2025 utamshinda?kaa kwa kutulia sukuma gang nyie.zama zenu ziliisha.
Loh.! yamekutoka
 
Kitando usicho lala huwezi kujua kunguni wake hivyo kwa kua wewe sio mwalimu tulia na nyamaza hujui shida na dhiki tulizo pitia kipindi cha mwendazake
 
Mimi mpaka kesho nawaheshimu wale walimu wangu wa UPE walionifundisha elimu ya darasa la 1-7! Achilia mbali wale wa sekondari na chuo kikuu!

Hata kama nimewazidi elimu (mfano wale UPE), haiondoi heshima yangu kwao. Daima ninawaheshimu. Hivyo na wewe una cha kujifunza kutoka kwangu.
Hii sio justification ya wao kutumika kisiasa. Acha upimbi.
 
Unataka walipwe sh ngapi ndio ujue kuwa walimu wanalipwa vizuri?
Kama wabunge,ambao sifa ya kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika.

Lakini mbunge fedha anazolipwa kwenye kikao kimoja kwa siku ni sawa na mshahara wa mwezi mmoja wa mwalimu.

Kama hiyo haitoshi wakati mbunge analipwa kitita cha mafao yake fasta baada yakumaliza miaka mitano, lakini mwalimu aliyehudumu kwa zaidi ya miaka thelathini akistaafu inamchukua miaka kadhaa kuambulia mafao kiduchu.
 
Back
Top Bottom