Nimefedheheka sana na kuamua kuzima Runinga. Yaani walimu wanatumika kisiasa kumpigia kampeni Rais Samia 2025! Huku wamejaa dhiki

Nimefedheheka sana na kuamua kuzima Runinga. Yaani walimu wanatumika kisiasa kumpigia kampeni Rais Samia 2025! Huku wamejaa dhiki

Ina maana wanaridhika kudhurula na vishikwambi mitaani na kubeti huku wakitazama ngono? Kwa nini wanashindwa kutanguliza maslahi yao mbele bali wanakuwa kama mabumunda.

Eti tayari wameshampitisha Samia 2025.


This non sense. Maslahi duni na mnataabika. Mshahara ukitoka tu baada ya wiki hamna kitu
Mpwayunga aondolewe Ban
 
Hii sio justification ya wao kutumika kisiasa. Acha upimbi.
Hili ndilo tatizo kubwa la watu wenye akili ndogo. Huwa mnapenda mawazo na mitazamo yenu kuungwa mkono, hata kama ni ya kipuuzi.

Ukiulizwa hao walimu waliojitokeza kwenye hayo maadhimisho, wanawakilisha asilimia ngapi ya walimu wote nchini, sidhani kama una jibu. Mnaleta dharau zenu za kipuuzi kwa watu ambao wanajiendeshea maisha yao wenyewe, huku nyinyi mkiishi kwa wazazi wenu! Too low.
 
Mimi mpaka kesho nawaheshimu wale walimu wangu wa UPE walionifundisha elimu ya darasa la 1-7! Achilia mbali wale wa sekondari na chuo kikuu!

Hata kama nimewazidi elimu (mfano wale UPE), haiondoi heshima yangu kwao. Daima ninawaheshimu. Hivyo na wewe una cha kujifunza kutoka kwangu.
Hongera sana kwa uungwana unaouonyesha. Unajua humu JF mi nilidhani watu wote wana akili na ni thinkers kumbe sivyo! Mtu anaanzaje kuwatukana Walimu namna hiyo? Watu ambao hawamnyanyasi wala kumuonea, na anaacha wanaomuone kila siku (mfano:traffic police barabarani)?

Halafu kesho na keshokutwa Walimu wakiona hawa wananchi wamezidi 'kuwananga' wakaamua kususa kuwasimamia ipasavyo watoto wa jamii (wanafunzi), tutakuwa na taifa la namna gani hatimaye? Leo taifa linalia watoto wanapandikizwa ushoga na usagaji wakiwa mashuleni, sasa badala ya jamii kuwatia moyo Walimu ili kuwe na makazo katika kwanusuru watoto na janga hilo na mengineyo, wanajitokeza wapuuzi fulani kutwa nzima wao ni kutukana Walimu tu. Na jitu la hivyo linaona ni ujanja kufanya hivyo.
 
Kuongoza nchi ya Tanzania ni kazi nyepesi mno, sababu wajinga tupo wengi kuliko werevu.
 
Dhana ya ualimu ni wito ndio matokeo yake hayo,hata penye kutaka haki unataka huruma ya wakuu,kwa TZ kuwa mwalimu ni adhabu kali,hauna tofaut na mtoto ambae hawez fany chochote mpaka mzaz aruhusu,BURE KABISA
 
Ndugu yangu, siyo walimu.
Ukisikia kuna Chama Cha Walimu (CWT) au Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) ni MAGENGE ya unyonyaji kwa Wafanyakazi.

TUCTA hawana lolote jipya zaidi ya kuungana na Serikali kwa lengo la kuwaumiza Wafanyakazi.
 
Dhana ya ualimu ni wito ndio matokeo yake hayo,hata penye kutaka haki unataka huruma ya wakuu,kwa TZ kuwa mwalimu ni adhabu kali,hauna tofaut na mtoto ambae hawez fany chochote mpaka mzaz aruhusu,BURE KABISA
Mmekazana na Walimu utadhani hii nchi kada nyingine zote zinajua kudai. Hivi juzi CAG ameibua ufisadi mkubwa uliofanywa na 'wakubwa' ndani ya Police Tanzania juu ya fedha za maafa wanazochangia mapoti, umeona kuna pot kasimamia kucha jambo hilo? Ingekuwa hizi hela ni za Walimu msingewatukana Walimu kweli?

By the way, kada nyingi tu hapa nchini mambo hayako OK. Hata kule jeshini kuna unyanyasaji wa maslahi, sema nidhamu ya kijeshi inawafanya wajeda wa-mute tu kisabuni, ila hayo hamuyaongelei.

Vipi Vyama vya Siasa vilivyonyimwa haki enzi za JPM vilifanya nini? Na wewe unaweza kufanya nini? au ndo kujitia ushujaa usionao? Umewahi kuingia barabarani lini kudai haki yako?
 
K
Kama wabunge,ambao sifa ya kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika.

Lakini mbunge fedha anazolipwa kwenye kikao kimoja kwa siku ni sawa na mshahara wa mwezi mmoja .

Kama hiyo haitoshi wakati mbunge analipwa kitita cha mafao yake fasta baada yakumaliza miaka mitano, lakini mwalimu aliyehudumu kwa zaidi ya miaka thelathini akistaafu inamchukua miaka kadhaa kuambulia mafao kiduchu.
Kada nyingine za kitaaluma nazo zinalipwa kama wabunge Hadi ila mfano muwatolee Walimu tu?
 
Hili ndilo tatizo kubwa la watu wenye akili ndogo. Huwa mnapenda mawazo na mitazamo yenu kuungwa mkono, hata kama ni ya kipuuzi.

Ukiulizwa hao walimu wakiojitokeza kwenye hayo maadhimisho, wanawakilisha asilimia ngapi ya walimu wote nchini, sidhani kama una jibu. Mnaleta dharau zenu za kipuuzi kwa watu ambao wanajiendeshea maisha yao wenyewe, huku nyinyi mkiishi kwa wazazi wenu! Too low.
Wewe ni mpuuzi mkubwa. Yaani hao sio wawakilishi wa walimu hapa Tanzania? Kuishi kwa wazazi sio hoja ya kutunyima uhuru wetu wa kujadili taifa letu. Wewe kenge.
 
Mungu huwa hakosei kwenye maamuzi yake😁😁😁 nilipomaliza kidato cha sita matokeo yangu hayakuwa mazuri nilipata daraja la nne maadui zangu walifurahi sana wakasema mwizukulu mgikuru ndio ameishaa hivyooo. Wenzangu waliofauru vizuri wakaenda kusoma wote ualimu na wakapata mkopo kwa asilimia 80. Mimi nikajipanga baada ya miaka kadhaa niikaenda kusoma kozi ya afya kwa ngazi ya diploma na leo nina furaha kuliko wale jamaa zangu😁
 
Wewe ni mpuuzi mkubwa. Yaani hao sio wawakilishi wa walimu hapa Tanzania? Kuishi kwa wazazi sio hoja ya kutunyima uhuru wetu wa kujadili taifa letu. Wewe kenge.

Badala ya kujibu maswali niliyokuuliza, unakimnilia kutukana!! Hili ndilo tatizo la kukulia kwenye malezi duni. Unajifanya mjuaji, kumbe kichwani hamna kitu.
 
Back
Top Bottom