Nimefuatilia mahojiano ya Godbless Lema na Odemba Star TV na hizi ndio findings zangu

Nimefuatilia mahojiano ya Godbless Lema na Odemba Star TV na hizi ndio findings zangu

Ukimbozini kaenda juzi tuu,hata mwaka hajakaa ,Sasa hivi akihojiwa anajifanya mzuuunguu wa mamntooni. Shamba kweli hili limachame. Linajifanya Lina exposure ya kimataiifaa wakati waliokulia huko wanalishangaa tuu
 
Hizo weakness zote ulizotaja halafu useme ana akili na iq kubwa?
Watu wenye majivuno Wengi 'hawana akili'...
Lema ni mganga njaa ...aliekuwa street thug akaja kudondokea kwenye siasa...Hana cha ajabu zaidi ya kuwa mkosoaji Tu kama wakosoaji wengine...
Kukosoa hakukufanyi kuwa kiongozi...
Lema..ni overrated Sana na wanachadema

Mkuu hakuna mwanasiasa haswa wa Afrika asiye mganga njaa, na kwa kiasi kikubwa walio madarakani kama CCM ndio wenye njaa na uchu, tazama namna wanavyotumia nguvu kubwa kutaka kubaki madarakani...

Wapinzani wa Tanzania wenye hulka kama ya Lema hutema nyongo kulingana na machungu waliyoyabeba pengine kutokana na misukosuko waliyopitia...

Kungekuwa na fair ground kwenye siasa, ni nadra sana ungelikutana na watu jamii ya Lema...
 
•Lema ni mwanasiasa mzuri Sana lakini apunguze ego.

• Lema afuate protocol za interview kumpa nafasi muongoza kipindi ili mahojiano yaende Kwa mtiririko unaofaa badala ya kutaka kuongea yeye tu kama chiriku anaharibu.

• Lema amebarikiwa akili na upeo mkubwa Sana lakini amenyimwa kipawa cha kuwa statesman kama Mungu alivyombariki Freeman Mbowe ( huyu mtu ni next level super diplomatic figure)

• Lema na Sugu ni vijana wenye talent inayolinganga kwenye IQ lakini pia Wana shida zinazofanana at least Lema huwa hawalingishii nguo na Miwani ya gharama Watanzania maskini hii ni shida ya Sugu peke yake, point hapa Lema ajifunze unyenyekevu na ajijuwe yeye ni binadamu pia ana mapungufu yake.

Kwa mliofuatilia intervie Ile Jana usiku Jumamosi mnaweza kuongezea ili kumjenga na kumuweka sawa Lema, ni kijana smart Sana kichwani ila tatizo nalioña ana over confidence kubwa ambayo mtu makini akikusikiliza ni tatizo pia unaweza ku-abuse authority nyingine bila kujua huku ukidhani unatumia freedom of speech.
Niliwahi mwambia Lema live kuwa apunguze arrogance maana inampelekea kuonekana mtoto!

Bora hili nawewe umeliona halafu hawezi kuchuja mambo kiasi cha kumfanya aonekane mropokaji. Ana hoja mzuri shida namna ya uwasilishaji na si rahisi mtu mwenye upeo kumvumilia kumsikiliza.

Sugu nafikiri kimo kinamsumbua, sio peke yake watu wengi wa kimo chake huwa na hizo mambo ili kuwafanya wajisikie wapo na wao. Ktk maisha binafsi Sugu ana utoto mwingi sana wa kutafuta attention.

Yote kwa yote ni vijana wazuri kulinganisha na takataka zilizoko UVCCM.
 
Hizo weakness zote ulizotaja halafu useme ana akili na iq kubwa?
Watu wenye majivuno Wengi 'hawana akili'...
Lema ni mganga njaa ...aliekuwa street thug akaja kudondokea kwenye siasa...Hana cha ajabu zaidi ya kuwa mkosoaji Tu kama wakosoaji wengine...
Kukosoa hakukufanyi kuwa kiongozi...
Lema..ni overrated Sana na wanachadema
Lema ana akili kubali ama ukatae.
 
Niliwahi mwambia Lema live kuwa apunguze arrogance maana inampelekea kuonekana mtoto!

Bora hili nawewe umeliona halafu hawezi kuchuja mambo kiasi cha kumfanya aonekane mropokaji. Ana hoja mzuri shida namna ya uwasilishaji na si rahisi mtu mwenye upeo kumvumilia kumsikiliza.

Sugu nafikiri kimo kinamsumbua, sio peke yake watu wengi wa kimo chake huwa na hizo mambo ili kuwafanya wajisikie wapo na wao. Ktk maisha binafsi Sugu ana utoto mwingi sana wa kutafuta attention.

Yote kwa yote ni vijana wazuri kulinganisha na takataka zilizoko UVCCM.
Zile karatasi za Bavicha zimeshikwa na msukule wa mzee Mbowe
 
Lema ajifunze unyenyekevu na ajijuwe yeye ni binadamu pia ana mapungufu yake.
Umenikumbusha hii thread: SoC03 - Unyenyekevu Sio Utumwa, Unyenyekevu ni Busara katika Uongozi; Msidharau Sauti za Watu, Msidharau Vilio vya Watu, Wasikilizeni

Kuna nukuu mbili za G.Lema
1706451374038.png
 
•Lema ni mwanasiasa mzuri Sana lakini apunguze ego.

• Lema afuate protocol za interview kumpa nafasi muongoza kipindi ili mahojiano yaende Kwa mtiririko unaofaa badala ya kutaka kuongea yeye tu kama chiriku anaharibu.

• Lema amebarikiwa akili na upeo mkubwa Sana lakini amenyimwa kipawa cha kuwa statesman kama Mungu alivyombariki Freeman Mbowe ( huyu mtu ni next level super diplomatic figure)

• Lema na Sugu ni vijana wenye talent inayolinganga kwenye IQ lakini pia Wana shida zinazofanana at least Lema huwa hawalingishii nguo na Miwani ya gharama Watanzania maskini hii ni shida ya Sugu peke yake, point hapa Lema ajifunze unyenyekevu na ajijuwe yeye ni binadamu pia ana mapungufu yake.

Kwa mliofuatilia intervie Ile Jana usiku Jumamosi mnaweza kuongezea ili kumjenga na kumuweka sawa Lema, ni kijana smart Sana kichwani ila tatizo nalioña ana over confidence kubwa ambayo mtu makini akikusikiliza ni tatizo pia unaweza ku-abuse authority nyingine bila kujua huku ukidhani unatumia freedom of speech.

..Lema alikuwa sahihi kumkatiza muongoza kipindi. waongoza vipindi na waandishi wa habari wengi wanatumika na CCM, hivyo Chadema wanapokwenda ktk mahojiano ni lazima watumie mbinu za ziada ili kuzuia upotoshaji unaoweza kufanywa na waongoza vipindi.

..uko sahihi kuhusu Lema kuwa loose sana na kauli zake kuhusu pesa, kipato, na biashara. Jamii ya Kitanzania inapenda watu ambao ni humble kidogo ktk masuala hayo.

..Lingine ni kwamba ni lazima kiongozi yeyote wa Chadema anayekwenda kwenye mahojiano awe na majibu mazuri zaidi kuhusu mambo ya chama na haswa mapato na matumizi ya fedha za chama. Lema hakuwa na majibu mazuri yenye ushawishi.

..La mwisho ni kwamba viongozi wa Chadema huulizwa maswali magumu kuhusu fedha kuliko hata viongozi wa serikali wanaokusanya kodi za wananchi.
 
..Lema alikuwa sahihi kumkatiza muongoza kipindi. waongoza vipindi na waandishi wa habari wengi wanatumika na CCM, hivyo Chadema wanapokwenda ktk mahojiano ni lazima watumie mbinu za ziada ili kuzuia upotoshaji unaoweza kufanywa na waongoza vipindi.

..uko sahihi kuhusu Lema kuwa loose sana na kauli zake kuhusu pesa, kipato, na biashara. Jamii ya Kitanzania inapenda watu ambao ni humble kidogo ktk masuala hayo.

..Lingine ni kwamba ni lazima kiongozi yeyote wa Chadema anayekwenda kwenye mahojiano awe na majibu mazuri zaidi kuhusu mambo ya chama na haswa mapato na matumizi ya fedha za chama. Lema hakuwa na majibu mazuri yenye ushawishi.

..La mwisho ni kwamba viongozi wa Chadema huulizwa maswali magumu kuhusu fedha kuliko hata viongozi wa serikali wanaokusanya kodi za wananchi.
Umedadavuwa vyema, binafsi sina tatizo na matumizi ya pesa Kwa Chama ambacho hakina dola kama Chadema.

Kuendesha Chama kama Chadema na oparesheni wanapofanya kwakweli wanastahili pongezi Sana, hiyo pesa ya join the chain si lolote haiwezi kucover gharama wanazotumia Chadema Kwa hali ngumu kufanya oparesheni zao za kisiasa.

Shida yangu Mimi ni majizi ya CCM yanayokula pesa za kwenda kununuwa dawa kuweka hospital, ujenzi wa miundombinu na kuleta huduma za maji na umeme.
 
Hizo weakness zote ulizotaja halafu useme ana akili na iq kubwa?
Watu wenye majivuno Wengi 'hawana akili'...
Lema ni mganga njaa ...aliekuwa street thug akaja kudondokea kwenye siasa...Hana cha ajabu zaidi ya kuwa mkosoaji Tu kama wakosoaji wengine...
Kukosoa hakukufanyi kuwa kiongozi...
Lema..ni overrated Sana na wanachadema


Wewe fala, lema, jiran yangu hajaangukia kwenye siasa hata kidogo, katokea mbali sana na siasa, kama hujui, hemu uliza
 
Back
Top Bottom