Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaaah tunataka wachambuzi kama wewe...🤓🤓🤓🤓😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌huna hela ww picha yenyewe umepiga sijui na infinix gani kwanza ani ukungu ukungu tu.
Afu mikono yenyewe ni ya chinga mikono migumu ka jiwe
Hawo wamiliki wa duka ni wapumbavu sana. Ungewabwagia miguo yao uondoke ukafanye shopping Kariakoo. Wapuuzi wakubwa!Shame on me. Juzi nilipata mwaliko na catalogue ya duka la KENE BEI BURE nikaona suti fulani na nguo fulani nzuri sana. Nikawapigia simu kwamba leo Ijumaa saa nne asubuhi nitaenda kulipia.
Lèo nimeenda, saa nne kamili kuchukua mzigo wangu. Nikaingia kwenye shelves, nikachagua nguo nizitakazo.
Nikiwa kwenye dawati la malipo, ndipo akaja supervisor na kuniambia sitakiwi kununua chochote hadi mbunge Festo Sanga anunue kwanza.
Huu ni upumbavu namba moja kwenye ulimwengu wa biashara na soko huria.
View attachment 2773410View attachment 2773412View attachment 2773413
Yaani huyu mhuni ndiye amesababisha mwanaJF mwenzetu kunyimwa huduma? Naomba tufanye kampeni ya kususia bidhaa za duka hili ili liwe fundisho kwa wengine.VYEMA KUTOKWENDA KWENYE HILO DUKA TENA.
KWA MUJIBU WA GOOGLE HUYU NDIO F.SANGA
View attachment 2773433View attachment 2773434
Malkia vs mbunge!Shopping yake ni ngapi?
Laiti tungejua ananunua nini hapo
Wala usishangae sana mkuu
Kuna siku huku Knightsbridge duka la Harrods walifunga lote maduka 330 kupisha Malkia wa Jordan afanye shopping kwa masaa kadhaa
Hiyo ni London kwa hiyo mkuu wala usikasirike sana
Najua ina Uma ila ndio hivyo tena vumilia tu labda alinunua vya 10m
Kumbe ni mkinga mwenzako!Mwambie apunguze ushamba ,hela mnazo sana bali bado mna ushamba!Pesa ninazo la kusomba hata duka zima, nilienda tu kumuunnga mkono Mkinga mwenzangu, ni wao walionialika nikanunue kwao na walinipa catalogue 📇 book yao
Aisee hata mimi nimeshtuka kuona Tajiri mkuu wa matajiri kadharauliwa. Hilo duka ni hatari sana. NimeliogopaSasa jamani kama wewe Tajiri mkuu wa Matajiri umefukuzwa sisi wengine si ndio tutadekishwa hapo dukani?
Ni kweli, wakinga wengi hatuna exposureKumbe ni mkinga mwenzako!Mwambie apunguze ushamba ,hela mnazo sana bali bado mna ushamba!
Kabisa Mkuu.WE lipia Tangazo
Akili timamu umevamia mtumbwi wa vibwengo.Shame on me. Juzi nilipata mwaliko na catalogue ya duka la KENE BEI BURE nikaona suti fulani na nguo fulani nzuri sana. Nikawapigia simu kwamba leo Ijumaa saa nne asubuhi nitaenda kulipia.
Lèo nimeenda, saa nne kamili kuchukua mzigo wangu. Nikaingia kwenye shelves, nikachagua nguo nizitakazo.
Nikiwa kwenye dawati la malipo, ndipo akaja supervisor na kuniambia sitakiwi kununua chochote hadi mbunge Festo Sanga anunue kwanza.
Huu ni upumbavu namba moja kwenye ulimwengu wa biashara na soko huria.
View attachment 2773410View attachment 2773412View attachment 2773413
Ulizidi kuuliza uliza bei... Hiii sh ngapi, hii sh ngapi nk ulizingua.Very astonishing
Huko wabunge wanajiona Wafalme kisa wiziMalkia vs mbunge!
Pumbafu kabisa. Kwani hata akiwa mtu mweusi ndiyo iwe sawa?Najaribu kuwaza kama ingekuwa umeambiwa mpishe mzungu anunue kwanza kila mtu angekuwa analalamika ubaguzi
mwakilishi wa wananchi ndo anakuwa kama raisi khaaa
Jirani Hilo duka sio la kuliparamia😁Aisee hata mimi nimeshtuka kuona Tajiri mkuu wa matajiri kadharauliwa. Hilo duka ni hatari sana. Nimeliogopa
Wallah hawashindwi...kumfukuza mteja dukani ni ujasiri wa kipekee kabisaWewe sis utaambiwa u act kama muhudumu bora uyo kafukuzwa
Litakuwa duka la nyota 5, plus na mambo ya asili si unajua watanzania wenzetu hao hata Kama ujapanga kwenda dukani unaweza jikuta umeenda tuWallah hawashindwi...kumfukuza mteja dukani ni ujasiri wa kipekee kabisa
Kinachonishangaza ni sijajua,mbunge ndio alitaka watu wafukuzwe au ni kiranga tu Cha mwenye dukaHata rais hapaswi kumfukuzisha dukani mpiga kura wake, seme tu wabongo wengi ni mbubumbu na maskini na ndio maana wanadharauliwa sana