Nimefukuzwa kwenye duka la Kene Beibure ili apishwe mbunge Festo Sanga kufanya shopping

Nimefukuzwa kwenye duka la Kene Beibure ili apishwe mbunge Festo Sanga kufanya shopping

VYEMA KUTOKWENDA KWENYE HILO DUKA TENA.
KWA MUJIBU WA GOOGLE HUYU NDIO F.SANGA

download.jpeg
1517465612711.jpeg
 
huna hela ww picha yenyewe umepiga sijui na infinix gani kwanza ani ukungu ukungu tu.
Afu mikono yenyewe ni ya chinga mikono migumu ka jiwe
Yaaah tunataka wachambuzi kama wewe...🤓🤓🤓🤓😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌
 
Shame on me. Juzi nilipata mwaliko na catalogue ya duka la KENE BEI BURE nikaona suti fulani na nguo fulani nzuri sana. Nikawapigia simu kwamba leo Ijumaa saa nne asubuhi nitaenda kulipia.

Lèo nimeenda, saa nne kamili kuchukua mzigo wangu. Nikaingia kwenye shelves, nikachagua nguo nizitakazo.

Nikiwa kwenye dawati la malipo, ndipo akaja supervisor na kuniambia sitakiwi kununua chochote hadi mbunge Festo Sanga anunue kwanza.

Huu ni upumbavu namba moja kwenye ulimwengu wa biashara na soko huria.

View attachment 2773410View attachment 2773412View attachment 2773413
Hawo wamiliki wa duka ni wapumbavu sana. Ungewabwagia miguo yao uondoke ukafanye shopping Kariakoo. Wapuuzi wakubwa!
 
Shopping yake ni ngapi?
Laiti tungejua ananunua nini hapo

Wala usishangae sana mkuu
Kuna siku huku Knightsbridge duka la Harrods walifunga lote maduka 330 kupisha Malkia wa Jordan afanye shopping kwa masaa kadhaa
Hiyo ni London kwa hiyo mkuu wala usikasirike sana
Najua ina Uma ila ndio hivyo tena vumilia tu labda alinunua vya 10m
Malkia vs mbunge!
 
Sasa jamani kama wewe Tajiri mkuu wa Matajiri umefukuzwa sisi wengine si ndio tutadekishwa hapo dukani?
Aisee hata mimi nimeshtuka kuona Tajiri mkuu wa matajiri kadharauliwa. Hilo duka ni hatari sana. Nimeliogopa
 
Shame on me. Juzi nilipata mwaliko na catalogue ya duka la KENE BEI BURE nikaona suti fulani na nguo fulani nzuri sana. Nikawapigia simu kwamba leo Ijumaa saa nne asubuhi nitaenda kulipia.

Lèo nimeenda, saa nne kamili kuchukua mzigo wangu. Nikaingia kwenye shelves, nikachagua nguo nizitakazo.

Nikiwa kwenye dawati la malipo, ndipo akaja supervisor na kuniambia sitakiwi kununua chochote hadi mbunge Festo Sanga anunue kwanza.

Huu ni upumbavu namba moja kwenye ulimwengu wa biashara na soko huria.

View attachment 2773410View attachment 2773412View attachment 2773413
Akili timamu umevamia mtumbwi wa vibwengo.

Lazima wakusomeshe kiebrania😆
 
Back
Top Bottom