Nimefuta Biblia kwenye simu yangu

Jibu la kisomi
Mtu yeyote huweza kuitwa mpagani na mtu wa dini nyingine bila yeye kujua
 
hao uliowataja Wana uspesho gani kwani Hadi uwaone hivyo unavyowachukulia.
wao na umaarufu wao walikataa uwepo wa Mungu ila baadae walikiri Mungu yupo na kujenga makanisa sasa wewe ni nani ukatae Mungu hayupo?
 
Mleta mada bhana nacheeeeeeka, nilitegemea ufanye yako kwa sababu huna hofu wala umaskini na wala wewe sio sehemu ya hizi dini. Kitendo cha kuleta hii thread hapa yaani umekiri nn kilicho moyoni mwako ambacho umekikana hapa huna hofu, umaskini wala sio sehemu ya hizi dini.
Waacheni wenye Mungu wao ninyi ambao hampo huko wala hamsadiki hayo msijihusishe na huko, kitendo cha kuhoji inadhihirisha kutokujiamini km ulipo ni sahihi au siyo sahihi
 
Huyo ndio binadamu mbwembwe nyingi lakini hadi leo ameshindwa kuongeza hata urefu/miaka mingi ya kuishi duniani.
 
Mbinguni ni wapi
 
Pole mkuu unaonekana biblia hujui na sio ww asilimia 90 ya watu wengi hawapendi kuijua tulia kama unanyolewa nikupe elimu
Wewe unayeijua umeshindwa kuweka hata mstari mmoja kuthibitisha madai yako kuwa Biblia inasema kuwa ukoma chanzo chake ni laana?
Lete mstari acha porojo. Vinginevyo kubali tu umesema uongo Shetani mdogo!
 
Kwa hiyo unaamini simu imetengenezwa na mtu na yupo, unaamini gari kuna wajapani wameitengeneza ila hayupo aliyekutengeneza wewe na babu zako wote? Mzee kuna eneo lingine tofauti na hili ambapo una ukilaza wa hiyari?

Yaani simu haukumuona mtengenezaji ila kwa confidence kabisa unaamini yupo. Grai unaamini yupo aliyelitengenza japo hujawahi hata kuongea naye. Ila Aliyekutengeneza wewe umeamua kuamini hayupo? Dah, kweli kuna ujinga wa hiyari!
 
The one who asked where in the mind, !! For him/her faith is greater than reason, when you don't understand don't believe for the sake of believing
 
Ukiwa na akili mbona unajua tuu Yupo.

Hata wanyama wanajua sembuse Binadamu!!!

Uwepo wako na kutokuwepo kwako ni ushahidi tosha kuwa Yupo
Katika maelfu ya Miungu ni Mungu gani kati ya hao akili itajua tu yupo?

Kusema wanyama wanajua pasipo kuthibitisha we umejuaje kua wanajua?

Uwepo wangu na kutokuwepo kwangu kunathibitisha vipi Mungu yupo?

Unafanya ule ulaghai tuliokubaliana mwishoni mwa mwaka 2021 kua usiurudie tena 2022?
 
Case closed[emoji122]
 
Scars kwa uelewa wako Mungu maanake nini?
 
[emoji38][emoji38]
 
Bora uamini yupo af ukifika usimkute..Kuliko kuamini hayupo mara paap!! Yule paleee sijui itakuaje??
Kwa kauli yako hii ni uthibitisho kuwa imani yako kwa Mungu sio suala la BAYANA bali ni KUBAHATISHA. Iweje aliyeumba ulimwengu huu kwa kanuni thabit kabisa, ashindwe kujidhihilisha hadi watu wafanye kubahatisha juu ya uwepo wake?
 
Kwa kauli yako hii ni uthibitisho kuwa imani yako kwa Mungu sio suala la BAYANA bali ni KUBAHATISHA. Iweje aliyeumba ulimwengu huu kwa kanuni thabit kabisa, ashindwe kujidhihilisha hadi watu wafanye kubahatisha juu ya uwepo wake?
Vyovyote vile ila naamin Mungu yupo.Hata kama kwa papasa papasa na kubahatisha..i believe there is God
 
Vyovyote vile ila naamin Mungu yupo.Hata kama kwa papasa papasa na kubahatisha..i believe there is God
Vyema. Hoja yangu, uthibitisho wa Mungu mkuu, muumba wa ulimwengu huu na vyote vilivyomo, haupaswi kuwa wa KUBAHATISHA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…