Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
- Thread starter
- #241
Jibu la kisomiMtu yeyote anaweza kuwa mpagani katika jicho la dini tofauti na yake
Ni kama ishu ya Mungu na miungu, Mungu wako anaweza kuwekwa kundi la miungu kwenye dini nyingine tofauti na yako kama ambavyo wewe ulivyowaita miungu
Mimi kuniita mpagani haina maana kwamba wewe umesalimika na jina hilo, ni kama ambavyo muislamu anavyo kuita wewe kaffir japokuwa anajua una amini MUngu
Mtu yeyote huweza kuitwa mpagani na mtu wa dini nyingine bila yeye kujua