Nimefuta Biblia kwenye simu yangu

Tunachohitaji is the cause of every cause.
Mungu ametuumba kama ni hivyo yeye ameumbwa na nani?
Na kama hajaumbwa kwa nini sisi iwe lazima tumeumbwa!?
 
Vipi kama wewe ndio umesinzia and you need to wake up?
Kusema wake hata kwenye ndoto unaweza kusema.
 
Hayo yote yana prove vipi ndio Mungu unayemwamini na si Alla kwa waislamu,
Shinto kwa japan, Budha kwa wa china au Krishna kwa wa hindi?
Na kama Mungu alikuumba, yeye aliubwa na nani?
Kama hakuumbwa kwa nini wewe unalazimisha uliumbwa?
 
Huyo huyo unaye amua ww kumu amin ..
Lets say kama umemuamini Mungu Allah

Halafu tukarejea kwenye hoja yako ukasema "ni bora uamini Allah yupo na ukaenda usimkute kuliko ukaamini hayupo na mwisho wa siku ukamkuta yupo"

Halafu ukaulizwa swali, vipi kama ukaamini Mungu Allah halafu mwisho wa siku ukamkuta Mungu yahwe kua ndiye Mungu wa kweli ambaye ulimpuuza?

Utafanyaje?
 
Shida ukiamini haya Mambo unakuwa chizi sadaka zinaliwa tu na wajanja
 
Umeanza kuamini katika movie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😅😅😅 Too slow. Nimempa iyo movie ili nikimuelekeza baadhi ya mambo tofauti tofauti aweze kuhandle.
Nothing=Everything
 
Amini tu kuwa Mungu yupo, haitakugharimu chochote.

Ukifika huko ukakuta hayupo it's okay.
Statement hii haipo specific katika ulimwengu wenye dini zaidi ya 5,000 ambazo kila mmoja ana abudu Mungu tofauti na mwingine

Kwa hiyo weka wazi ni Mungu yupi ambaye hata ukimuamini haita kugharimu?
 
Tunachohitaji is the cause of every cause.
Aliyekwambia kila kitu kina chanzo nani? Umeitoa wapi hii?
Mungu ametuumba kama ni hivyo yeye ameumbwa na nani?
Huyo "mungu" anayeumbwa ni feki. Kwanza una assumption zisizo za kweli kwamba kila kitu kina mwanzo. Hii nadharia umeitoa wapi?
Kisayansi na kifalsafa ni kitu chenye mwanzo pekee ndio kina sababu ya chanzo. Sasa Mungu hana mwanzo wala mwisho unataka chanzo kianzie wapi?

Na kama hajaumbwa kwa nini sisi iwe lazima tumeumbwa!?
Kwa sababu tuna mwanzo. Hahitaji kuumbwa kwa sababu hana mwanzo. Ulitaka aumbwe lini sana?
 
So interested, but it has nothing to do with existence of God
 
wewe mzindakaya acha upuuzi,, History yenyewe ya form two inakubali uwepo wa mwana wa MUNGU. Before Christ BC
 
Kama kuna baadhi ya vitu havina mwanzo.
Kwa nini unalazimisha binadamu anamwanzo?
 
Shida ukiamini haya Mambo unakuwa chizi sadaka zinaliwa tu na wajanja
Haya mambo ni yapi? Biblia imesema kuwa nyakati hizi za mwisho kutakuwa na matapeli wengi na watakuja kwa jina la Yesu. Na kwamba wazipime kila roho, ili kuona kama zimetoka kwa Mungu. Na ya kuwa watawajua kwa matendo yao.

Huwezi kuiamini na kuifuata Biblia na bado ukatapeliwa na hao wahuni. Unless "haya mambo" unamaanisha kitu kingine!
 
Hahaha!!! Nyakati za mwisho zimeimbwa sana na hazifiki..
Biblia imeandikwa vatican, unaitumiaje kama reliable source yako?
 
Kama kuna baadhi ya vitu havina mwanzo.
Kwa nini unalazimisha binadamu anamwanzo?
Khaa! How absurd is your question. Kwa hiyo birthday yako kwa mfano ina maana gani?
Na Scientifically ulimwengu wote kwa pamoja una mwanzo. Tunatofautiana tu ulianza lini na ulianzaje. Lakini kuwa una mwanzo hilo swali lilishakuwa settled long ago!
 
Yani siku biblia ikisema hakuna moto wafia dini hawataimba tena hizi nyimbo za kumpenda Mungu,
mnaongozwa na hofu wala sio mapenzi ya dhati na Mungu wenu.
 
Hahaha!!! Nyakati za mwisho zimeimbwa sana na hazifiki..
Unaelewa hata ya maana ya nyakati za mwisho?
Naamini hujui kwa sababu wakosoaji wa Biblia wengi wao hawaijui!
Biblia imeandikwa vatican, unaitumiaje kama reliable source yako?
Nilijua tu hujui. Biblia imeandikwa na Vatican lini?
Hivi hauoni hata aibu kuandika stori za vijiweni unapoongea kwenye mijadala serious kama huu? Kwamba Vatican iliandika Biblia ambayo imekuwepo kabla ya Vatican? Eeh, kuna eneo jingine ambalo umeamua kuwa kilaza kama hivi? Yaani ukilaza wa hiyari?
 
Mpagani ni mpwgani ata ukilemba vipi.Tupo waislamu wenye hofu ya allah lakini hatufanyi ibada ya kutosha kwa sababu ya udhaifu wetu lakini hatujawahi kubisha uwepo wa Allah.
Mpagani ni mpagani tuu
Unahaki ya kusema walio kinyume na imani yako ni wapagani na kwa ulivyo jinasibu kua wewe ni muislamu wala sishangai

Kwasababu maneno ya namna hiyo yameanzia ndani humo humo kabla hyajawafikia wengine wasio husika na imani yao

Hata humu JF kuna member anajita Mubarridi aliwahi kumtamkia Mokaze kua ni kaffir

Na wote humu tunajua huyo jamaa aliyeitwa kaffir ni muislamu pia, ila nilichokuja kugundua ni kwamba yupo dhehebu tofauti na mdau, lakini hiyo pekee ya kuwa muislamu haikutosha kumfanya aepukane jina hilo ambalo absolutely hakulifurahia hata yeye

Sasa sembuse mimi ambaye sina asilimia yeyote nayo kubaliana naye?

Wewe ukiniita mimi mpagani unakuwa umesalimika kwa upande wangu nikiwa na maana siwezi kukuita mpagani kwasababu siamini katika dini, ila watu walio kinyume na dini yako lazima wakuhesabu kama mpagani, ni hivyo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…