Nimefuta Biblia kwenye simu yangu

Kuna maelfu ya miungu

Unaposema ni bora uamini yupo, una maanisha Mungu gani?
 
Utadhibitishaje kitu ambacho hakipo kua hakipo Arif?
Halafu unaamini Ili vitu viwepo lazima kuwe na kitu kiwe kimetengeza haya nikuulize nani aliyemtengeneza aliyetengeneza vitu?
Kwanza kuna tofauti ya kusema tu kuwa kitu fulani hakipo na hicho kitu kuwa kweli hakipo, mimi nipo zangu Tz naweza kusema tu rais Kagame hayupo ikulu huko nchini Rwanda, sasa kasema kwangu hivyo ndio utakubali tu kuwa ni kweli Ikulu ya Rwanda hayupo Kagame kwa sababu haiwezekani kuthibitisha kisichokuwepo?
 
Hiyo ni imani ambayo haikutofautishi na imani zingine ambazo hukubaliani nazo
 
Huo mfano wako upo nje ya maada hapa habari za kagame zinaingiaje kamanda,kagame tunajua yupo Kigali Rwanda na ni kitu real huyo Mungu yupo wapi acha kujumba jumba Lete uthibitisho tukamwone kamanda!
 
Tufahamishe kwa ufahamu wako umejuaje yupo?
 
Akili zako kama za mjingamimi tu.
 
hahahahah hii Kali Sasa Yale Yale ya Atake asitake tutamuongezea miaka Magufuli tutamlazimisha
unataka uyaaply hapa kwenye vitu seriously au sio?
😁😁😁
Sijakulazimisha hapo naona hujaelewa, nimezungumzia hiyo tabia ya kuuliza nani kamuumba Mungu pale linapozungumziwa suala la Mungu kuwa ndio muumbaji na ndio kaumba huu ulimwengu, ndio hapo nimesema kwamba hata kama hatumjui huyo aliyemuumba huyu Mungu ila hoja ya msingi ni uumbaji wa Mungu hilo ndio la kujadili kama ni kweli au si kweli.
 
Kwako uwepo wa Mungu ni faida kwasababu inakupatia tumaini la kinafki

Pale ambapo mambo yako yameenda vibaya na hutaki kuikubali hali hiyo basi ndio unatumia dhana ya mungu kama comfort kua yeye ndio kapanga si ndio?

Hakuna sababu nyingine shawishi yenye kufanya ukubali Mungu yupo zaidi ya hiyo?
 
Kumekucha...kumekuuuuuucha. mkianza issue za Mungu hayupo mi nakuwaga mpole tu. Nawaomba kwenye huu muadhara mjadili bila jazba
 
Utadhibitishaje kitu ambacho hakipo kua hakipo Arif?
Halafu unaamini Ili vitu viwepo lazima kuwe na kitu kiwe kimetengeza haya nikuulize nani aliyemtengeneza aliyetengeneza vitu?
Sisi tumeamua kwenda kwa imani kuwa kuna Mungu na yy ndo chanzo na me I should WA yote

Ww ambaye huamin katika hilo ndo utueleze sasa tumefikafikaje hapa
 
Huo mfano wako upo nje ya maada hapa habari za kagame zinaingiaje kamanda,kagame tunajua yupo Kigali Rwanda na ni kitu real huyo Mungu yupo wapi acha kujumba jumba Lete uthibitisho tukamwone kamanda!
Unaweza kuthibitisha kuwa kweli Kagame bado yupo na yupo Rwanda?

Narudia tena kuna tofauti ya kusema tu kitu fulani hakipo na uhalisi wa hicho kitu hakipo.
 
Asante

Pia uwepo wa Mungu hauna athari hasi kwa maisha ya mwanadamu.Sijaona faida ya upagani.Dini huwafanya wanadamu waishi kwa pamoja kwa amani kwa kusaidiana.Upagani shabaha yake ni watu wasiishi kama jumuiya.Katika maisha ya mwanadamu hakuna kitu chema kama kuishi katika jumuiya.

Uliza wapagani huwa wanakutana kujadili kutokuwepo mungu na kushirikiana kijamii? Utaambiwa sisi hatuna makanisa ila huwa tunakutana mitandaoni kumpinga MunguπŸ™‚

Kwa uelewa wangu mdogo ni bora ya FREEMASON kuliko upagani.Yaani upagani ni TAKATAKA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…