Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Mtu yeyote anaweza kuwa mpagani katika jicho la dini tofauti na yakeAsante
Pia uwepo wa Mungu hauna athari hasi kwa maisha ya mwanadamu.Sijaona faida ya upagani.Dini huwafanya wanadamu waishi kwa pamoja kwa amani kwa kusaidiana.Upagani shabaha yake ni watu wasiishi kama jumuiya.Katika maisha ya mwanadamu hakuna kitu chema kama kuishi katika jumuiya.
Uliza wapagani huwa wanakutana kujadili kutokuwepo mungu na kushirikiana kijamii? Utaambiwa sisi hatuna makanisa ila huwa tunakutana mitandaoni kumpinga Mungu🙂
Kwa uelewa wangu mdogo ni bora ya FREEMASON kuliko upagani.Yaani upagani ni TAKATAKA
Ni kama ishu ya Mungu na miungu, Mungu wako anaweza kuwekwa kundi la miungu kwenye dini nyingine tofauti na yako kama ambavyo wewe ulivyowaita miungu
Mimi kuniita mpagani haina maana kwamba wewe umesalimika na jina hilo, ni kama ambavyo muislamu anavyo kuita wewe kaffir japokuwa anajua una amini MUngu