Nimegombana na Madam (mchumba wangu) kisa To yeye wa JF

Nimegombana na Madam (mchumba wangu) kisa To yeye wa JF

Naomba niweke waz,mi nachat na yeyote humu kimapenz (kiutani tena Kwa uwaz)...am free coz Sina mtu wa kunibana humu.... please...naomba kama Kuna watu wapo seriously na watu wao na hawapendi...nijieni inbox nambien acha kuchat na mtu Fulani huyo ni mtu wangu...mbona simple tu nakoma.Jf si ya kujichukulia seriously sana Jamani....burudika then sepa.Kuwa huru whatever watu wanakuchukuliaje....tafuta furaha yako binafsi.....Mkuu Mwelekeze vizuri huyo bae wako please
Nimeshamuelekeza sema ndio haelewi ila namsubir baada ya kutoka kazin nizungumze nae vizur daah
 
Mbinu unayotumia ilitumika kabla ya vita ya kwanza ya dunia, unashindwa nini kwenda direct kumueleza to yeye unavofeel? Nyie ndio mkipewa mbususu mnaenda kuhadithia kijiweni kabisa wakati ulitakiwa ukae kimya
Anipe aone kama nitatangaza
 
Mbinu unayotumia ilitumika kabla ya vita ya kwanza ya dunia, unashindwa nini kwenda direct kumueleza to yeye unavofeel? Nyie ndio mkipewa mbususu mnaenda kuhadithia kijiweni kabisa wakati ulitakiwa ukae kimya
Hakuna jipya chini ya jua mkuu
 
Back
Top Bottom