Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ID yako ya zamani ji ipi mkuu[emoji23][emoji23]
Haha KajichanganyaTulia,Atarudi analia
Nimeshamuelekeza sema ndio haelewi ila namsubir baada ya kutoka kazin nizungumze nae vizur daahNaomba niweke waz,mi nachat na yeyote humu kimapenz (kiutani tena Kwa uwaz)...am free coz Sina mtu wa kunibana humu.... please...naomba kama Kuna watu wapo seriously na watu wao na hawapendi...nijieni inbox nambien acha kuchat na mtu Fulani huyo ni mtu wangu...mbona simple tu nakoma.Jf si ya kujichukulia seriously sana Jamani....burudika then sepa.Kuwa huru whatever watu wanakuchukuliaje....tafuta furaha yako binafsi.....Mkuu Mwelekeze vizuri huyo bae wako please
Sina....ndo hiihii nimejoin majuzi...ID yako ya zamani ji ipi mkuu
Anipe aone kama nitatangazaMbinu unayotumia ilitumika kabla ya vita ya kwanza ya dunia, unashindwa nini kwenda direct kumueleza to yeye unavofeel? Nyie ndio mkipewa mbususu mnaenda kuhadithia kijiweni kabisa wakati ulitakiwa ukae kimya
Hakuna jipya chini ya jua mkuuMbinu unayotumia ilitumika kabla ya vita ya kwanza ya dunia, unashindwa nini kwenda direct kumueleza to yeye unavofeel? Nyie ndio mkipewa mbususu mnaenda kuhadithia kijiweni kabisa wakati ulitakiwa ukae kimya
Hajui kwamba umechukuliwaa 😅😅😅National Anthem ......mambo yamebadilika huku
Jaman kipenz usinifanyie hivyoAjitahidi kula Nazi mbichi na karanga mbichi....😉 Maana mziki wakeee
ndio nimeshapenda sasaNahunga hoja nipo toka 2014 sijawahi fata manzi inbox ingekuwa fb unaona profile sawa Yani nipende maandishi yako shenzi kabisa
ya kikubwa ikoje mkuuMbinu ya kitoto sana hiyo!
😂😂😂😂Jaman kipenz usinifanyie hivyo
Achana naye ,mpambanie To yeye mpaka kieleweke Boss.
Kumbe bila kujua Maongezi yale mchumba wangu aliyasikia, Na usiku nimeomba haki yangu madam ananiambia nenda kwa huyo To yeye akupe, kiukwel nimembembeleza ila bado kanuna sijui nitumie mbinu gani Madam anielewe.