Nimegundua mpenzi wangu aliwahi kutoa mimba akiwa chuo

Sasa,si bora alivyotoa mimba?Angejitoa roho ungemuona?
 
mwanmke aliyetembea na wanaume zaidi ya watatu kabla ya ndoa huyo hafaikuoa
 
Alafu ku toa mimba kuna nuksi hawajui tuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umri wako ukianza nae mahusiano haukuzidi 23 na mpaka kuingia nae ktk ndoa haukuzidi 27 ndo maana ulipoona tatizo ukaanza kulia na yeye akaanza kulia kwa lugha nyengine wote mkawa ktk dilemma aliyetoa mimba tatu anamsikitikia mgeni wa kutoa mimba japo ulikuwa na experience ya mimba ya bwana'ake wa mwanzo ndo maana hukuweza kuchanganua vizuri kutokana na utoto but ukweli na usemwe.

Kama mwanaume wewe umesha-fail sipo hapa kufanya unafiki wala kumfariji mtu nachokwambia una maisha magumu sana ya kimahisiano chini ya jua na vijana wote mnaopita kusoma hapa mjifunze njia sahihi za kutafuta wenza wenu.

By the way pole sana Mungu atakuongoza vyema.
 
Viatu vyako vikuuubwa siwezi hata enea,daahh!pole sana kaka!ila kutoa mimba bwana acheni tu!

Ingawa kuzaa nako kabla ya ndoa kunaoneka kwio utakosa mume ,utadharaulika lakini ni bora kuliko hayo!

Ila changamoto ni wakaka hamuoi single maza ndo mnasababisha yoote haswaa wanaume wa kikristo ukiwa na mtoto mwanamke ndo ushachunda hvyoo,wachache Sana'a wadada wanaolewa na watoto ndo maana watu wanaamua kutoa ili tu aolewe.

Lakini Mungu tu soon watoto,inshallah...!!!
 
Wasichana walioniambia kutoka mdomoni mwao kuwa walitoa mimba walitoa sababu hizi each:
i) naogopa wazazi, baba ni pastor, nitawaaibisha
ii) Sina uwezo na kwetu hatuna uwezo
iii) sitaki connection na yule mwanaume
iv) naogopa kuwa single mother, nataka familia ya baba na mama

NB: wote walikataliwa mimba zao na walikuwa bado wako Kwa wazazi
 
Kabla sijachangia hoja..

1) Huyo binti ulikuwa na mahusiano naye kuanzia anaanza chuo?

2) Ulikuwa unamshona kweli au ulikuwa unaogopa udini wake kiasi kwamba aliamua kukutenda alivyoona wew hugusii masuala ya kikubwa!


Anyway msamehe ila sababu nitakupa baada ya kunijibu maswali hayo hapo juu
 
Umefanya maamuzi mapema mno. Issue ya kutoa mimba kwa wanachuo sio jambo la kushangaza mpaka uamue kuvunja uchumba.

Maisha ya chuoni kwa wanawake ni harsh sana. Kama hukuwa na ugomvi wowote mwingine naye bi afsi naona umefanya mamuzi mabaya.
Kwahiyo unahalalisha uuaji kisa masomo?
Kama aliweza kuua kiumbe tumboni mwake unadhani atawahurumia ndugu wa mwanaume?
Hatamuua mume wake wakizinguana?
Huyo hafai kuolewa na mtu mwenye akili timamu
 
ni kweli haina mita ila unajaribu kumdadisi.... unajua kwann mwanamke aliyezoea kuachika hawezi heshimu ndoa hata siku moja
Kudadisi inategemea na muhusika mwenyewe. La msingi ni ukaribu, long distance relationship ni tatizo.

Muda pia ni muhimu, jipe muda, kama waweza dumu kwa ukaribu na mtu kwa zaidi ya miaka3 na bado hujamfahamu vizuri na ukaingia kichwakichwa hutokuwa na wa kumlaumu.

Suala zito kama ndoa si la kukurupuka.
 
Wanawake ni pretenders saana mkuu, a sisi kizaZi kipya tunajikuta ni wakisasa kuna vitu nyeti tunavipuuziaga ambavyo hutugharimu baadae.

ila ukweli ni kwamba unadate na mwanamke aliyevulia nguo kwa hiari yake zaidi ya ndume tatu hata akikaa miaka kumi atukumbushia tuu
 
Wewe nimekupuuza toka kurasa ya kwanza ya hii sredi, endelea kutafuta sifa kwa wanawake wa JF kijana!

Jiulize kwanini wengi ya wana ndoa ukiwauliza kama ingekuwa kama kuna nafasi ya kuoa tena, wapo tayari kuwaoa wenza wao wa sasa uone majibu yao! Ni kwasababu wengi walijifanya wajuaji kama wewe!

Kosa moja ni mwanzo wa kosa lingine. Kama hujaoa ni bora usioe kijana
 
Bro mwanamme kukataa mimba haimaanishi mdada anapaswa kutoa mimba, dhambi no dhambi tu haijalishi nn chanzo chake
 
Ni kweli kabisa, waigizaji wakuu.

Na hakuna aliyevuliwa nguo kinguvu, baadhi labda first time, ila waliendelea kuzivua/kuvuliwa kwa hiari.

Ila bado haizuii kuoa, unajipa muda, unachagua mwenye afadhali na ladha unayoipenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…