JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Sasa mind yake si ndo hiyo ya kutoa mimba? Mbona unashauri ujinga?Ukitaka kuoa oa Mind ya mwanamke na sio Mwili wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mind yake si ndo hiyo ya kutoa mimba? Mbona unashauri ujinga?Ukitaka kuoa oa Mind ya mwanamke na sio Mwili wake
Mgonjwa huyo!Una mashetani? Yaan kutoa mimba sio issue? Amaa kweli kizazi cha nyoka
Mbona mnamshauri ujinga mwenzenu? Afunike kombe na ameshajua mwanamke ni muuaji wa vichanga vyake mwenyewe?Sasa ukisema uanze kuchunguza kila kitu huwez kuishi hapa duniani labda mbinguni huko, tufanye uyo umemjua je wengine ambao huwajui!? Cha msingi funika kombe mwanaalamu apite maisha yaendelee
Mm heri mwanamke mwenye watoto kuliko aliyetoa mimba. Unaua wanao ili uidanganye jamii kuwa hujawahi kuwa na mtoto? Hapana aisee.Hakuna aliye mkamilifu.
Kosa lake huyo si kutoa mimba bali ukweli wake na uwazi.
Ukimchunguza sana bata hutomla.
Kama hamna mioyo migumu ya kupokea majibu msiwachunguze, mtachelewa sana kuoa au mtaishia kuwanyanyapaa ndani ya nyumba.
Ndio nishamuacha hivyo, ni jambo la kawaida kwako, si kwa wanawake wote. Kifupi silea'gi' upuuzi, mtu akizingua napiga chini, natafuta mwingine.Kutoa mimba ni jambo la kawaida kwa wanawake ni sawa tu na nyie wanaume mnaotelekeza watoto, achen kumnyooshea kidole hamjui nini kilimsibu,
Kosa kubwa wanalofanya wanawake ambao hawajakomaa vizuri kiakili ni kufunguka wakifikiri wanajenga kumbe wanabomoa kwa kasi ya ajabu, ni wapumbafuMm heri mwanamke mwenye watoto kuliko aliyetoa mimba. Unaua wanao ili uidanganye jamii kuwa hujawahi kuwa na mtoto? Hapana aisee.
Kabisa.Kosa kubwa wanalofanya wanawake ambao hawajakomaa vizuri kiakili ni kufunguka wakifikiri wanajenga kumbe wanabomoa kwa kasi ya ajabu, ni wapumbafu
Sasa mimi siwataki hao 'wengi', nataka wachache wasiotoa mimba, na nitawapata kwa gharama yoyote.Wanawake wengi tu hutoa mimba, ila hubaki na Siri moyoni, tena walioko kwenye ndoa ndio usiseme, so hapo sijaona kosa la kumwacha, hiyo ni mistake ya kawaida kwa wanawake ingawa wengi huficha hyo Siri.
Mbona wapo wengi tu? Au wewe ndio huwaoni?Angalia ulipoanzanae! Yanyuma yanini ww? Unafikiri kuna msafi? We hukuwah kumtolesha mtu mimba?
Daaah, mzee ulifikiria nini kujiita hivyo?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Sasa mind yake si ndo hiyo ya kutoa mimba? Mbona unashauri ujinga?
Mimba ikitungwa ndo kiumbe hai huzaliwa. Yai la kike na mbegu za kiume zikikutana ndo kiumbe hai kinazaliwa......We hujawahi kupiga nyeto?
Better for that, kuchunguza ni lazima mkuu!Hakuna aliye mkamilifu.
Kosa lake huyo si kutoa mimba bali ukweli wake na uwazi.
Ukimchunguza sana bata hutomla.
Kama hamna mioyo migumu ya kupokea majibu msiwachunguze, mtachelewa sana kuoa au mtaishia kuwanyanyapaa ndani ya nyumba.
Uzee mkuu.Daaah, mzee ulifikiria nini kujiita hivyo?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Huyo aliyezaa sawa. Kama kafanya ngono na kapata mimba kwann amuue huyo mtoto kisa ubinafsi wenu wa kufunga ndoa? Ameitendea haki nafsi yake,hata angemuua huyo mtoto ukamuoa isingebadilisha kuwa umeoa mama wa marehemu. Chukua binti mwingine mwenye historia inayokupendeza.Yaani bora ww huyo alitoa mm wangu aliamua kabisa kuzaa tena na kwao tushapeleka mahari nusu awa ma binti watatuaa
Ameshachelewa sasa, mimi sio mjinga, amesema kwa shuruti na si kwa kupenda. Bila kumshurutisha mpaka muda huu asingesema chochote.Kosa kubwa wanalofanya wanawake ambao hawajakomaa vizuri kiakili ni kufunguka wakifikiri wanajenga kumbe wanabomoa kwa kasi ya ajabu, ni wapumbafu
Mtoa mada anatakiwa akutane na anayejua kupima lipi atoe lipi abakie nalo moyoni
Tena mgonjwa kweliMgonjwa huyo!
Sidhani kama kuna mwanamke atafanikiwa kunidanganya kwenye issue nyeti kama hizo. Nitajua tu kwa njia yoyote, kama nilivyojua kwa huyu.Kosa kubwa wanalofanya wanawake ambao hawajakomaa vizuri kiakili ni kufunguka wakifikiri wanajenga kumbe wanabomoa kwa kasi ya ajabu, ni wapumbafu
Mtoa mada anatakiwa akutane na anayejua kupima lipi atoe lipi abakie nalo moyoni