Nimegundua Siku hizi vijana wadogowadogo ambao hawajasoma sana ila wanapata pesa mingi kwa ujuzi tu. Vijana waache kulialia

Nimegundua Siku hizi vijana wadogowadogo ambao hawajasoma sana ila wanapata pesa mingi kwa ujuzi tu. Vijana waache kulialia

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Mambo yanaenda kasi sana.
Ujuzi ndio kila kitu.

1: Dogo wa kwanza anatengemeza Website, Apps, Systems, na projects zake kama akipata connections ninza mamillioni. Kama haitoshi huwa anawafanyia projects wanafunzi wa mwaka wa mwisgo wa chuo. Huyu anajituma sana, huwa anaingia maktaba ya taifa kujisomea siku nzima vitabu vya ujuzi kwa PC yake.

2: Dogo mwingine, fundi umeme tu lakini yuko updated sana. Nilipomuona nikajua ni kajizi. Mdogomdogo lakini nilipompa connection ya kuweka umeme nyumba flani kubwa. Peke yake na kibarua wake walifanya kazi kubwa kwa ubora usio wa kawaida.

3: Huyu mwingine ndio balaa. Ni muimba kwaya tu, ukimuona kwa bodi la nje ni mdogo unaweza kumpuuza. Ila ni fundi gwiji wa masuala ya vioo. Nyumba bora na kubwa mtaani yeye ndio kaipiga finishing vioo na balcon. Mwanzoni nilijua ni kampuni maana hiyo nyumba mtaani tulidhani ni ya waziri kwa jinsi ilivyo kubwa nzuri na ya kisasa (ghorofa). Nilipombishia akanionyesha miamara ya mpesa ya kazi zake anatumiws pesa nyingi ndogo ni 3M na mabosi wake mikoani kote.

Kwa haraka nimewaona wengi sana wenye degree na wasio na degree. Mwingine nimemuona kwenye kampuni kubwa ya kimataifa mdogo kuliko wote ila ni meneja mkuu wa idara ya fedha (ni msomi). Anakalisha wazee na watu wa makamo wote wanamtetemekea.


Nilichojifunza

1: Wote hawa watu wanyenyekevu sana, hawanamajivuno wala makuu.

2: Ni watu waaminifu sana. Unaweza kuwatumia hata 10M ukasubiri kazi na kwa wakati ukafanyiwa kila kitu.

3: Ni wepesi sio wazito wala hawajivutivuti.

4: Nimeona hawa ni kama sisi tu ila sisi wazazi walitupiga marufuku kujihusisha na biashara na ubunifu na michezo kwa kigezo tutakuwa wajinga darasani. Elimu ilitakiwa ibaki yenyewe bila kubughuziwa na chochote.

Kimsingi hawa madogo nimewakubali sana. Taifa likijielekeza kwenye kuwajengea uwezo wa kiujuzi zaidi kuliko makaratasi.
 
Mambo yanaenda kasi sana.
Ujuzi ndio kila kitu.

1: Dogo wa kwanza anatengemeza Website, Apps, Systems, na projects zake kama akipata connections ninza mamillioni. Kama haitoshi huwa anawafanyia projects wanafunzi wa mwaka wa mwisgo wa chuo. Huyu anajituma sana, huwa anaingia maktaba ya taifa kujisomea siku nzima vitabu vya ujuzi kwa PC yake.

2: Dogo mwingine, fundi umeme tu lakini yuko updated sana. Nilipomuona nikajua ni kajizi. Mdogomdogo lakini nilipompa connection ya kuweka umeme nyumba flani kubwa. Peke yake na kibarua wake walifanya kazi kubwa kwa ubora usio wa kawaida.

3: Huyu mwingine ndio balaa. Ni muimba kwaya tu, ukimuona kwa bodi la nje ni mdogo unaweza kumpuuza. Ila ni fundi gwiji wa masuala ya vioo. Nyumba bora na kubwa mtaani yeye ndio kaipiga finishing vioo na balcon. Mwanzoni nilijua ni kampuni maana hiyo nyumba mtaani tulidhani ni ya waziri kwa jinsi ilivyo kubwa nzuri na ya kisasa (ghorofa). Nilipombishia akanionyesha miamara ya mpesa ya kazi zake anatumiws pesa nyingi ndogo ni 3M na mabosi wake mikoani kote.

Kwa haraka nimewaona wengi sana wenye degree na wasio na degree. Mwingine nimemuona kwenye kampuni kubwa ya kimataifa mdogo kuliko wote ila ni meneja mkuu wa idara ya fedha (ni msomi). Anakalisha wazee na watu wa makamo wote wanamtetemekea.


Nilichojifunza

1: Wote hawa watu wanyenyekevu sana, hawanamajivuno wala makuu.

2: Ni watu waaminifu sana. Unaweza kuwatumia hata 10M ukasubiri kazi na kwa wakati ukafanyiwa kila kitu.

3: Ni wepesi sio wazito wala hawajivutivuti.

4: Nimeona hawa ni kama sisi tu ila sisi wazazi walitupiga marufuku kujihusisha na biashara na ubunifu na michezo kwa kigezo tutakuwa wajinga darasani. Elimu ilitakiwa ibaki yenyewe bila kubughuziwa na chochote.

Kimsingi hawa madogo nimewakubali sana. Taifa likijielekeza kwenye kuwajengea uwezo wa kiujuzi zaidi kuliko makaratasi.



Silaha hizi ukiwa nazo lazima utoboe

Uaminifu
Kujishusha ,unyenyekevu
Kuwa Active and update.
Focus.

So hao vijana wamechagua tabia Fulani kisha hizo tabia fulani zimewachagulia SIFA na sifa zimewachagulia matendo na soon matendo yao yatakuwa sehemu ya hatima zao.
 
Naona kabisa umenena. Wanaongozwa na hekima zaidi ya utashi.

Binafsi nikikutana na boss mtoto wa namna hiyo huku government nampa respect sana sio kwamba namnyenyekea. Ila nakutanaga na mabogas nawashangaa sana na huwa siwafichi sometimes nanchang nao kabisa.

Utakuta kijana anaaza kula watumishi wa chini yake. Nawadharaugi sana.
 
Mambo yanaenda kasi sana.
Ujuzi ndio kila kitu.

1: Dogo wa kwanza anatengemeza Website, Apps, Systems, na projects zake kama akipata connections ninza mamillioni. Kama haitoshi huwa anawafanyia projects wanafunzi wa mwaka wa mwisgo wa chuo. Huyu anajituma sana, huwa anaingia maktaba ya taifa kujisomea siku nzima vitabu vya ujuzi kwa PC yake.

2: Dogo mwingine, fundi umeme tu lakini yuko updated sana. Nilipomuona nikajua ni kajizi. Mdogomdogo lakini nilipompa connection ya kuweka umeme nyumba flani kubwa. Peke yake na kibarua wake walifanya kazi kubwa kwa ubora usio wa kawaida.

3: Huyu mwingine ndio balaa. Ni muimba kwaya tu, ukimuona kwa bodi la nje ni mdogo unaweza kumpuuza. Ila ni fundi gwiji wa masuala ya vioo. Nyumba bora na kubwa mtaani yeye ndio kaipiga finishing vioo na balcon. Mwanzoni nilijua ni kampuni maana hiyo nyumba mtaani tulidhani ni ya waziri kwa jinsi ilivyo kubwa nzuri na ya kisasa (ghorofa). Nilipombishia akanionyesha miamara ya mpesa ya kazi zake anatumiws pesa nyingi ndogo ni 3M na mabosi wake mikoani kote.

Kwa haraka nimewaona wengi sana wenye degree na wasio na degree. Mwingine nimemuona kwenye kampuni kubwa ya kimataifa mdogo kuliko wote ila ni meneja mkuu wa idara ya fedha (ni msomi). Anakalisha wazee na watu wa makamo wote wanamtetemekea.


Nilichojifunza

1: Wote hawa watu wanyenyekevu sana, hawanamajivuno wala makuu.

2: Ni watu waaminifu sana. Unaweza kuwatumia hata 10M ukasubiri kazi na kwa wakati ukafanyiwa kila kitu.

3: Ni wepesi sio wazito wala hawajivutivuti.

4: Nimeona hawa ni kama sisi tu ila sisi wazazi walitupiga marufuku kujihusisha na biashara na ubunifu na michezo kwa kigezo tutakuwa wajinga darasani. Elimu ilitakiwa ibaki yenyewe bila kubughuziwa na chochote.

Kimsingi hawa madogo nimewakubali sana. Taifa likijielekeza kwenye kuwajengea uwezo wa kiujuzi zaidi kuliko makaratasi.
Hongera kwao kwa kutumia uwezo wao.

Tunamshukuru sana Rais wetu Mama Samia.
 
Mambo yanaenda kasi sana.
Ujuzi ndio kila kitu.

1: Dogo wa kwanza anatengemeza Website, Apps, Systems, na projects zake kama akipata connections ninza mamillioni. Kama haitoshi huwa anawafanyia projects wanafunzi wa mwaka wa mwisgo wa chuo. Huyu anajituma sana, huwa anaingia maktaba ya taifa kujisomea siku nzima vitabu vya ujuzi kwa PC yake.

2: Dogo mwingine, fundi umeme tu lakini yuko updated sana. Nilipomuona nikajua ni kajizi. Mdogomdogo lakini nilipompa connection ya kuweka umeme nyumba flani kubwa. Peke yake na kibarua wake walifanya kazi kubwa kwa ubora usio wa kawaida.

3: Huyu mwingine ndio balaa. Ni muimba kwaya tu, ukimuona kwa bodi la nje ni mdogo unaweza kumpuuza. Ila ni fundi gwiji wa masuala ya vioo. Nyumba bora na kubwa mtaani yeye ndio kaipiga finishing vioo na balcon. Mwanzoni nilijua ni kampuni maana hiyo nyumba mtaani tulidhani ni ya waziri kwa jinsi ilivyo kubwa nzuri na ya kisasa (ghorofa). Nilipombishia akanionyesha miamara ya mpesa ya kazi zake anatumiws pesa nyingi ndogo ni 3M na mabosi wake mikoani kote.

Kwa haraka nimewaona wengi sana wenye degree na wasio na degree. Mwingine nimemuona kwenye kampuni kubwa ya kimataifa mdogo kuliko wote ila ni meneja mkuu wa idara ya fedha (ni msomi). Anakalisha wazee na watu wa makamo wote wanamtetemekea.


Nilichojifunza

1: Wote hawa watu wanyenyekevu sana, hawanamajivuno wala makuu.

2: Ni watu waaminifu sana. Unaweza kuwatumia hata 10M ukasubiri kazi na kwa wakati ukafanyiwa kila kitu.

3: Ni wepesi sio wazito wala hawajivutivuti.

4: Nimeona hawa ni kama sisi tu ila sisi wazazi walitupiga marufuku kujihusisha na biashara na ubunifu na michezo kwa kigezo tutakuwa wajinga darasani. Elimu ilitakiwa ibaki yenyewe bila kubughuziwa na chochote.

Kimsingi hawa madogo nimewakubali sana. Taifa likijielekeza kwenye kuwajengea uwezo wa kiujuzi zaidi kuliko makaratasi.

Mkuu umewasahau kina Diamondo, konde baby, amber, jiggy, Kayala, na wa namna hiyo; waiona je pigaji yao ya pesa?
 
Silaha hizi ukiwa nazo lazima utoboe

Uaminifu
Kujishusha ,unyenyekevu
Kuwa Active and update.
Focus.

So hao vijana wamechagua tabia Fulani kisha hizo tabia fulani zimewachagulia SIFA na sifa zimewachagulia matendo na soon matendo yao yatakuwa sehemu ya hatima zao.
Ni kweli mkuu.
Tabia itangulie ujuzi.
Warren Buffet amewahi kusema hata ukimletea mtu mwenye akili na ujuzi kama sio muaminifu hawezi kufanya naye kazi.
 
Maisha now hayaeleweki,kupata pesa kunaweza kusichangiwe na elimu kubwa uliyonayo bali connection,ujuzi,lugha nzuri kwa wateja unaowahudumia kwa service unayotoa na uaminifu.
Ni kweli wapo madogo wengi wamejipata kitaa,tena wenye elimu tu ya FIV plus vyuo vya ufundi na vyuo vya kati,wanajituma sana. Hawa wa degrees na Masters (baadhi) wanaferi sababu ya ujuaji,kujipangia mishahara na aina ya kazi za kufanya,mentality ya "mm na degree/masters yangu nifanye hiki" inawatafuna sana.
Vijana tukajiendeleza kielimu,tukarudi kitaa kutumia ujuzi/maarifa tuliyoyapata,tukaondoa ujivuni na kujichanganya na wana mtaani,hapa unatumia fursa hiyo kuchota maarifa/mautundu ya kitaa kutoka kwa waliofanikiwa kupitia hustle za kitaa itaongeza kitu katika utafutaji.
TUAMKE VIJANA...
 
Mambo yanaenda kasi sana.
Ujuzi ndio kila kitu.

1: Dogo wa kwanza anatengemeza Website, Apps, Systems, na projects zake kama akipata connections ninza mamillioni. Kama haitoshi huwa anawafanyia projects wanafunzi wa mwaka wa mwisgo wa chuo. Huyu anajituma sana, huwa anaingia maktaba ya taifa kujisomea siku nzima vitabu vya ujuzi kwa PC yake.

2: Dogo mwingine, fundi umeme tu lakini yuko updated sana. Nilipomuona nikajua ni kajizi. Mdogomdogo lakini nilipompa connection ya kuweka umeme nyumba flani kubwa. Peke yake na kibarua wake walifanya kazi kubwa kwa ubora usio wa kawaida.

3: Huyu mwingine ndio balaa. Ni muimba kwaya tu, ukimuona kwa bodi la nje ni mdogo unaweza kumpuuza. Ila ni fundi gwiji wa masuala ya vioo. Nyumba bora na kubwa mtaani yeye ndio kaipiga finishing vioo na balcon. Mwanzoni nilijua ni kampuni maana hiyo nyumba mtaani tulidhani ni ya waziri kwa jinsi ilivyo kubwa nzuri na ya kisasa (ghorofa). Nilipombishia akanionyesha miamara ya mpesa ya kazi zake anatumiws pesa nyingi ndogo ni 3M na mabosi wake mikoani kote.

Kwa haraka nimewaona wengi sana wenye degree na wasio na degree. Mwingine nimemuona kwenye kampuni kubwa ya kimataifa mdogo kuliko wote ila ni meneja mkuu wa idara ya fedha (ni msomi). Anakalisha wazee na watu wa makamo wote wanamtetemekea.


Nilichojifunza

1: Wote hawa watu wanyenyekevu sana, hawanamajivuno wala makuu.

2: Ni watu waaminifu sana. Unaweza kuwatumia hata 10M ukasubiri kazi na kwa wakati ukafanyiwa kila kitu.

3: Ni wepesi sio wazito wala hawajivutivuti.

4: Nimeona hawa ni kama sisi tu ila sisi wazazi walitupiga marufuku kujihusisha na biashara na ubunifu na michezo kwa kigezo tutakuwa wajinga darasani. Elimu ilitakiwa ibaki yenyewe bila kubughuziwa na chochote.

Kimsingi hawa madogo nimewakubali sana. Taifa likijielekeza kwenye kuwajengea uwezo wa kiujuzi zaidi kuliko makaratasi.

Pia Kuna wale wanaopiga pesa kuliko hata kina Baresa, aina ya kina askofu kankobe, mwanposa, ranshid, na wa namna hiyo.

Mjini mipango au siyo Mtumishi?
 
Mkuu mi naomba uniunganishe na huyo anajihusisha na masuala ya vioo nikajifunze ili nipate ujuzi. Natanguliza shukrani
Mambo yanaenda kasi sana.
Ujuzi ndio kila kitu.

1: Dogo wa kwanza anatengemeza Website, Apps, Systems, na projects zake kama akipata connections ninza mamillioni. Kama haitoshi huwa anawafanyia projects wanafunzi wa mwaka wa mwisgo wa chuo. Huyu anajituma sana, huwa anaingia maktaba ya taifa kujisomea siku nzima vitabu vya ujuzi kwa PC yake.

2: Dogo mwingine, fundi umeme tu lakini yuko updated sana. Nilipomuona nikajua ni kajizi. Mdogomdogo lakini nilipompa connection ya kuweka umeme nyumba flani kubwa. Peke yake na kibarua wake walifanya kazi kubwa kwa ubora usio wa kawaida.

3: Huyu mwingine ndio balaa. Ni muimba kwaya tu, ukimuona kwa bodi la nje ni mdogo unaweza kumpuuza. Ila ni fundi gwiji wa masuala ya vioo. Nyumba bora na kubwa mtaani yeye ndio kaipiga finishing vioo na balcon. Mwanzoni nilijua ni kampuni maana hiyo nyumba mtaani tulidhani ni ya waziri kwa jinsi ilivyo kubwa nzuri na ya kisasa (ghorofa). Nilipombishia akanionyesha miamara ya mpesa ya kazi zake anatumiws pesa nyingi ndogo ni 3M na mabosi wake mikoani kote.

Kwa haraka nimewaona wengi sana wenye degree na wasio na degree. Mwingine nimemuona kwenye kampuni kubwa ya kimataifa mdogo kuliko wote ila ni meneja mkuu wa idara ya fedha (ni msomi). Anakalisha wazee na watu wa makamo wote wanamtetemekea.


Nilichojifunza

1: Wote hawa watu wanyenyekevu sana, hawanamajivuno wala makuu.

2: Ni watu waaminifu sana. Unaweza kuwatumia hata 10M ukasubiri kazi na kwa wakati ukafanyiwa kila kitu.

3: Ni wepesi sio wazito wala hawajivutivuti.

4: Nimeona hawa ni kama sisi tu ila sisi wazazi walitupiga marufuku kujihusisha na biashara na ubunifu na michezo kwa kigezo tutakuwa wajinga darasani. Elimu ilitakiwa ibaki yenyewe bila kubughuziwa na chochote.

Kimsingi hawa madogo nimewakubali sana. Taifa likijielekeza kwenye kuwajengea uwezo wa kiujuzi zaidi kuliko makaratasi.
 
Nyongeza, pia wapo vijana wadogo wadogo wafanyabiashara wana pesa chafu kwa sababu ni majasiri wanasema wamechoka kuwa maskini hivyo wanatumia hata njia haramu kupata pesa mfano wizi, ujambazi, utapeli, ushirikina nk!
Hawa huwa wapo siku zote mkuu. Na kuna kipindi walikuwa wanakula vibiriti sana.
 
Pia Kuna wale wanaopiga pesa kuliko hata kina Baresa, aina ya kina askofu kankobe, mwanposa, ranshid, na wa namna hiyo.

Mjini mipango au siyo Mtumishi?
Wao wanatoa huduma za kiroho, na hawawashurutishi watu kupata huduma zao wanakwenda kwa miguu yao kama wanavyokwenda kununua vinywaji hatarishi kiafya upande ule mwingine.

Mambo watu wanayofanya kwa hiyari bila kuvunja sheria nayo tuyapongeze kama sehemu ya ubunifu wa kitaifa.
 
Wao wanatoa huduma za kiroho, na hawawashurutishi watu kupata huduma zao wanakwenda kwa miguu yao kama wanavyokwenda kununua vinywaji hatarishi kiafya upande ule mwingine.

Mambo watu wanayofanya kwa hiyari bila kuvunja sheria nayo tuyapongeze kama sehemu ya ubunifu wa kitaifa.

Kuna na wale wa ruzuku, kwenye vyama vya siasa, na bungeni huko.

Huna ushauri wowote kwa vijana kuchangamkia fursa huko?

Hujaona wanavyo poromosha maghorofa? Waamini ni biashara za mayai hizo?

Hata johnthebaptist, kwani dau la buku 7 lingali halijafanyiwa maboresho tu, pamoja na chaguzi zijazo hizi?
 
Mkuu mi naomba uniunganishe na huyo anajihusisha na masuala ya vioo nikajifunze ili nipate ujuzi. Natanguliza shukrani
Huyu ni kama wengine tu ambao wako hata ulipo. Ujuzi unajifunza popote ulipo ila huyu kinachomyofautisha ni unyenyekevu, uaminifu na juhudi ambazo hata usomee MIT masuala hayo kama huna hizo sifa bado utaungaunga tu.
Anzia kujifunza hapo ulipo, huku ukidevelop hizo softskills ambazo ni za thamani kuliko pesa.
 
Kuna na wale wa ruzuku, kwenye vyama vya siasa, na bungeni huko.

Huna ushauri wowote kwa vijana kuchangamkia fursa huko?

Hujaona wanavyo poromosha maghorofa? Waamini ni biashara za mayai hizo?

Hata johnthebaptist, dau la buku 7 halijafanyiwa maboresho na chaguzi zijazo hizi?
Yule ni kama vijana wengine. Amerisk na kuwa jasiri wakati wengine wapenzi wa siasa wakiwa nyuma ya keyboard. Chama chake kimemuamini na amekuwa mnufaika wa ruzuku ambazo ni kodi zetu halali. Ukichanganya na tray za mayai basi acha wajenge hata Dubai
 
Huyu ni kama wengine tu ambao wako hata ulipo. Ujuzi unajifunza popote ulipo ila huyu kinachomyofautisha ni unyenyekevu, uaminifu na juhudi ambazo hata usomee MIT masuala hayo kama huna hizo sifa bado utaungaunga tu.
Anzia kujifunza hapo ulipo, huku ukidevelop hizo softskills ambazo ni za thamani kuliko pesa.
Hapo kwenye uaminifu ndopanapowashinda vijana wengi
 
Back
Top Bottom