johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Fedha iko Israel 😀😀Kuna na wale wa ruzuku, kwenye vyama vya siasa, na bungeni huko.
Huna ushauri wowote kwa vijana kuchangamkia fursa huko?
Hujaona wanavyo poromosha maghorofa? Waamini ni biashara za mayai hizo?
Hata johnthebaptist, kwani dau la buku 7 lingali halijafanyiwa maboresho tu, pamoja na chaguzi zijazo hizi?