johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Fedha iko Israel 😀😀Kuna na wale wa ruzuku, kwenye vyama vya siasa, na bungeni huko.
Huna ushauri wowote kwa vijana kuchangamkia fursa huko?
Hujaona wanavyo poromosha maghorofa? Waamini ni biashara za mayai hizo?
Hata johnthebaptist, kwani dau la buku 7 lingali halijafanyiwa maboresho tu, pamoja na chaguzi zijazo hizi?
Wivu Kama mloziYule ni kama vijana wengine. Amerisk na kuwa jasiri wakati wengine wapenzi wa siasa wakiwa nyuma ya keyboard. Chama chake kimemuamini na amekuwa mnufaika wa ruzuku ambazo ni kodi zetu halali. Ukichanganya na tray za mayai basi acha wajenge hata Dubai
Yule ni kama vijana wengine. Amerisk na kuwa jasiri wakati wengine wapenzi wa siasa wakiwa nyuma ya keyboard. Chama chake kimemuamini na amekuwa mnufaika wa ruzuku ambazo ni kodi zetu halali. Ukichanganya na tray za mayai basi acha wajenge hata Dubai
Wivu Kama mlozi
Fursa hazifichiki. Muda na fursa ziko kwa wote.Basi tusizifiche fursa zote kwa vijana zikiwamo za kupiga kuliko baresa.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Fursa hazifichiki. Muda na fursa ziko kwa wote.
I again saw under the sun that the race is not to the swift and the battle is not to the strong, and neither is bread to the wise nor riches to those of intelligence and understanding nor favor to men of ability; but time and chance overtake them all.
Ecclesiastes 9:11
Hakuna haja ya kufika huko. Kwa mujibu wa magazeti ya west. Kipindi cha vuguvugu la Russia SMO kabla ya Operation ya Hamas ( Al aksa Flood), Russia na Ukraine (west) walikuwa wameajiri vijana afrika kwa ajili ya kusambaza propaganda zao online.Ndiko anakovunia MK254 hata kuolewa huko bila shaka yuko tayari
Hakuna haja ya kufika huko. Kwa mujibu wa magazeti ya west. Kipindi cha vuguvugu la Russia SMO kabla ya Operation ya Hamas ( Al aksa Flood), Russia na Ukraine (west) walikuwa wameajiri vijana afrika kwa ajili ya kusambaza propaganda zao online.
Kama wadau ni wanaweza kuwa wamoja wao au la Ni fursa pia. Kuna watu wanatumia 24hrs mtandaoni kufanya mambo ambayo wenzao wanalipwa kuyafanya.
Muulize Kamanda mkuu Maranja 😂😂Kwa hiyo ungezani kama kina johnthebaptist na wale wengine kujikita tu hata humu humu, uchawa unalipa?
Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko
Hudhani hao ni mzigo?
Hapo sina maoni.Kwa hiyo ungezani kama kina johnthebaptist na wale wengine kujikita tu hata humu humu, uchawa unalipa?
Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko
Hudhani hao ni mzigo?
Muulize Kamanda mkuu Maranja 😂😂
Anatembelea ndinga mpya tairi za kijani
Hapo sina maoni.
Maisha ni kuchagua. Kila mtu amechagua maisha ambayo hana mamlaka ya kuchagua matokeo ya uchaguzi wake. Uchawa ni maamuzi mabovu kabisa na matumizi mabaya ya ubinadamum
Unaona anauza vitabu anapiga pesa. Fanya hobi yako chanzo cha mapato. Sikuhizi kila tunachoshabikia nyuma yake kuna mtu anapiga pesa.Hata Yericko Nyerere hajatokea kutoa japo ufafanuzi? Kukomaa kule na Russia ni kwa bila bila kweli?
Unaona anauza vitabu anapiga pesa. Fanya hobi yako chanzo cha mapato. Sikuhizi kila tunachoshabikia nyuma yake kuna mtu anapiga pesa.
Dr naomba unipm nna shidaSilaha hizi ukiwa nazo lazima utoboe
Uaminifu
Kujishusha ,unyenyekevu
Kuwa Active and update.
Focus.
So hao vijana wamechagua tabia Fulani kisha hizo tabia fulani zimewachagulia SIFA na sifa zimewachagulia matendo na soon matendo yao yatakuwa sehemu ya hatima zao.
Ntakuwa wa mwisho kujishusha...I love my egoSilaha hizi ukiwa nazo lazima utoboe
Uaminifu
Kujishusha ,unyenyekevu
Kuwa Active and update.
Focus.
So hao vijana wamechagua tabia Fulani kisha hizo tabia fulani zimewachagulia SIFA na sifa zimewachagulia matendo na soon matendo yao yatakuwa sehemu ya hatima zao.