Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
Tulichoambiwa na Waziri Mahiga ni kwamba Tanzania ilishaamua haitasaini huo mkataba. Na sababu zikaainishwa. Kwahiyo mama hapa unatuambia kuwa, tulikuwa tumekurupuka, tumetulizwa na wenzetu, tujitafakari mpaka January ndo tuje na uamuzi mwingine.
Mahiga amesema Tanzania haitosaini huo mkataba mpaka itakapojirisha na baadhi ya mambo.
Hivyo hilo neno "mpaka itakaporidhika" linaangukia na huo muda mpaka January.
Lakini haimaanishi kwamba ifikapo January Tanzania itatia saini mkataba huo.