mtu akishajua nida no yako tu zmekwishwaaa,,,,ipo hivi hao majambazi wanakuwa lao moja na hawa wanaosajili line...hatua ya kwanza wanayofanya hao majambazi ni kucheck nida no yako kwa kupitia no zako za simu hii huduma wanayo mawakala wote wanaosajili line mtaani...wakishaijua nida no yako wanainote pembeni...hiyo nida no yako ina kila kitu chako ambapo ni tarehe ya kuzaliwa mwezi na mwaka na itakuja na majina yako yote matatu...hatua inayofuatia ni wanapiga customercare ambapo atajitambulisha kama mhusika wa line na amesahau no ya siri....customercare watamwuliza majina matatu na tarehe aliyozaliwa atajibu so coz tayari anavyo kupitia nida no yako....wanaweza muuliza balance na akasema hakumbuki ...ila watamfungulia kwa kumsetia defult jambazi ataingiza pin mpya anazozijua yy.pia wengine wana acces toka jikoni ni mwendo wa dk sifuri tu