Sina mbavu kabisa kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣nilichogundua ukiwa na mipango yako wanawake ni kukaa nao mbali sana
Maana hawa wenzetu huwa hawajali na hawaogopi maisha kabisa
Mimi mke wangu niliwah mtishia kwamba usizae sahiv mtoto wa pili na ikitokea umeshika mimba tena utateseka sana na nilijitahid kuwa namwaga nje lakin akawa ni wakulalamika kila siku kuwa namkosesha raha kumwaga siku moja akaning'ang'ania nikamwaga ndani na mimba ilashika siku hyo hyo
Be a gentleman watoto wawili malalamiko kibao.Mnipe mawazo mazuri maana nipo njia panda.
Katika maisha yangu ya ujana nilijipangia mikakati inatayosapoti mimi kutoka kwenye maisha ya hali ya chini.
Kabla sijaoa nilipanga
1. Nilipanga sitakuwa na mtoto nje yandoa au kabla sijaoa na hata nikioa sitakua na mtoto nje ya ndoa.✅
2. Sitaoa mke wa mtu au mwenye mtoto au demu wa masela yaani nioe bikra✅
3. Niwe na watoto kulingana na uwezo wangu wa kuwalea na kuwasomesha ❎.
Sasa hapo kwenye watoto ndio nilipofeli, mke wangu nilimwelekeza kila kitu na nikampa onyo kali sana juu ya ubebaji mimba kuwa huyu mmoja akue tukuze na uchumi wetu kwanza sasa saivi ana mimba nyingine na mm sina mpango wa kuanza purukushani ya watoto ambao sitaweza kuwahudumia ipasavyo.
Kaonyesha dharau kubwa sana na nishaapa bora nife kabla ya muda kulikokufa masikini na yeyote atakaenipinga kutoka kwenye umasikini hana bahati wa kwanza kabisa mke wangu nishapanga mipango mkakati
1. Kumtelekeza nifanye yangu siwezi rudishwa nyuma mimi .
2. Kwa sasa nina bajeti ya kutunza watu 2 tuu mwanangu na yeye sasa hapo achague 1 kati ya yeye na hiyo mimba nimtunze nani kati yao .
3. Niwatelekeze wote uadi nitakapo fikia malengo au nitakapoweza kulea 3 ndio waje
Ukitaka kutimiza malengo yako inabidi uwe na ubinafsi na umimi epuka kuoa mapema.nilichogundua ukiwa na mipango yako wanawake ni kukaa nao mbali sana
Maana hawa wenzetu huwa hawajali na hawaogopi maisha kabisa
Mimi mke wangu niliwah mtishia kwamba usizae sahiv mtoto wa pili na ikitokea umeshika mimba tena utateseka sana na nilijitahid kuwa namwaga nje lakin akawa ni wakulalamika kila siku kuwa namkosesha raha kumwaga siku moja akaning'ang'ania nikamwaga ndani na mimba ilashika siku hyo hyo
Hongera sana mkuu! Maana si kazi ndogo.Mungu asaidie vizazi vyetu jirani...😑
Mimi ninapenda sana kutoa mfano kwamba.....
Nina watoto 8 na wote wanasoma shule za ada isio pongua 1.8m
Wakubwa wawili wapo vyuo na hakuna alie wahi kuchuku mkopo.
Nina somesha ndugu na ninategemewa na wazazi.
Sina kazi ya kutisha, nashkuru Mungu tunaishi vizuri na amani imetamalaki, hatudaiwi kodi na beer mbili tatu napata daily.
Safi sanaMungu asaidie vizazi vyetu jirani...😑
Mimi ninapenda sana kutoa mfano kwamba.....
Nina watoto 8 na wote wanasoma shule za ada isio pongua 1.8m
Wakubwa wawili wapo vyuo na hakuna alie wahi kuchuku mkopo.
Nina somesha ndugu na ninategemewa na wazazi.
Sina kazi ya kutisha, nashkuru Mungu tunaishi vizuri na amani imetamalaki, hatudaiwi kodi na beer mbili tatu napata daily.
Wakati mwingine unaweza kuwa abandoned let say sehemu salama mfano nyumbani kwa wazazi Kama wananafasi na ukaenda kupambana mambo uakitik unawachikua.Wote wa 4 muishi kwenye bajeti ya wa3, Solved ✔️ inaitwa adjustment.
Unazungumzia kutelekeza kirahisi hivyo, kwamba utawatelekeza baada ya muda utawarudia nao watakuwa na furaha? Na huyo mtoto mmoja naye utamtelekeza amekosea nini?
Mna normalize absence ya wazazi kwenye maisha ya watoto wao why? Kuna tatizo gani mzazi akiishi na watoto wake akapambana nao? Hivi unajua kuwa duniani hapa people of color ndio tunaongoza kwa absence katika malezi? either mzazi mmoja au wazazi wote watoto hulelewa na bibi na babuz?Wakati mwingine unaweza kuwa abandoned let say sehemu salama mfano nyumbani kwa wazazi Kama wananafasi na ukaenda kupambana mambo uakitik unawachikua.
"Flying love is an imagination love"
Swala la kuzaa linaendana na malezi, mkisikilizana itakuwa vizuri, kuzaa watoto wengi na penyewe siyo sifa .Wanaume wengi hawapendi watoto ila wanakubali kwa sababu jamii itawachukuliaje kuwa na mke then huna mtoto....Kuna muda mwanamke kama kweli waipenda ndoa yako msikilize mume kuhusu idadi ya watoto atakayo....unategesha unanasa then ndiyo haya sasa analalamika.Hatujifunzi tu kwanini wanaume wengi wanakimbia watoto au mimba na kujaza singlemoms kitaa.
Kabisa,kwanza hatujakuja duniani kujitesa na kutesa watotoSwala la kuzaa linaendana na malezi, mkisikilizana itakuwa vizuri, kuzaa watoto wengi na penyewe siyo sifa .
Mjinga Tu huyo mtoto wa elfu 2 hapo kalipo hakana hata huyo mtoto mmoja!Ushashiba kande
rahaa kufanya mapenzi tuuuuu kulea aaaha..!Mnipe mawazo mazuri maana nipo njia panda.
Katika maisha yangu ya ujana nilijipangia mikakati inatayosapoti mimi kutoka kwenye maisha ya hali ya chini.
Kabla sijaoa nilipanga
1. Nilipanga sitakuwa na mtoto nje yandoa au kabla sijaoa na hata nikioa sitakua na mtoto nje ya ndoa.✅
2. Sitaoa mke wa mtu au mwenye mtoto au demu wa masela yaani nioe bikra✅
3. Niwe na watoto kulingana na uwezo wangu wa kuwalea na kuwasomesha ❎.
Sasa hapo kwenye watoto ndio nilipofeli, mke wangu nilimwelekeza kila kitu na nikampa onyo kali sana juu ya ubebaji mimba kuwa huyu mmoja akue tukuze na uchumi wetu kwanza sasa saivi ana mimba nyingine na mm sina mpango wa kuanza purukushani ya watoto ambao sitaweza kuwahudumia ipasavyo.
Kaonyesha dharau kubwa sana na nishaapa bora nife kabla ya muda kulikokufa masikini na yeyote atakaenipinga kutoka kwenye umasikini hana bahati wa kwanza kabisa mke wangu nishapanga mipango mkakati
1. Kumtelekeza nifanye yangu siwezi rudishwa nyuma mimi .
2. Kwa sasa nina bajeti ya kutunza watu 2 tuu mwanangu na yeye sasa hapo achague 1 kati ya yeye na hiyo mimba nimtunze nani kati yao .
3. Niwatelekeze wote uadi nitakapo fikia malengo au nitakapoweza kulea 3 ndio waje
Nimefanya hayo yote ila bado Yuko vile vile dadaMfungie bandani kwa muda mrefu, atapata stress na kuwa frustrated 😣 Muda wa kufungiwa uwe mrefu kuliko muda wa kuzurura
Sijui kama ni njia inayofanya kazi permanently, expart wa dog watakushauri vizuri .
Sawa.Mna normalize absence ya wazazi kwenye maisha ya watoto wao why? Kuna tatizo gani mzazi akiishi na watoto wake akapambana nao? Hivi unajua kuwa duniani hapa people of color ndio tunaongoza kwa absence katika malezi? either mzazi mmoja au wazazi wote watoto hulelewa na bibi na babuz?
No wonder tuna jamii ya watu ambao hawana upendo/wabaridi sababu they never felt loved in their childhood.
Wazazi mngejua mnatutengenezea future individuals wa aina gani mngeacha kut*mb*n*
Msiwe mnaangalia kukuza tu watoto kwamba wana miaka miwili , then mi4 then 12 then 18….. Ulishawahi kujiuliza kwanini vitoto vidogo vya miaka 20s vinasumbuliwa na depression? vinatamani kufa kufa , Vingine visaikopathi? vinatamani kuua ua na vina hate kali?
Anyways… naongelea mental well being kwenye ulimwengu wa tatu ambao tatizo lao la msingi ni njaa!!!
Sijioni nikiweza kuishi bila huyu mbwa nyumbani ,kuhusu wadogo natamani kuwatafuta ijapokuwa sijui nifanye nini wawe wakali ,maana toka nimewajua mbwa na kuwafuga ni mbwa mmoja tu ndiye alikuwa mkali Sana kiasi Cha kujihisi Sasa ninaye mbwa .Inahuzunisha sana mkuu....
Mbwa ni kiungo muhimu sana kwenye familia zetu sisi tusio jiweza kuajiri makampuni ya ulinzi.
Huyo mbwa wako nikweli umemzowea, lakini kwa ulivyo elezea hakufai tena kwa ulinzo hapo nyumbani, hope ulikosea kwenye malezi.
Nashauri mgawe kwa wafugaji na dogs trainers kisha tafuta katoto kengine uanze kukalea kwa mafundisho yako maalum ili uone tija ya kuwa na mbwa nyumbani.
🍻 respect kwako mkuuhatudaiwi kodi na beer mbili tatu napata daily.
😂nilichogundua ukiwa na mipango yako wanawake ni kukaa nao mbali sana
Maana hawa wenzetu huwa hawajali na hawaogopi maisha kabisa
Mimi mke wangu niliwah mtishia kwamba usizae sahiv mtoto wa pili na ikitokea umeshika mimba tena utateseka sana na nilijitahid kuwa namwaga nje lakin akawa ni wakulalamika kila siku kuwa namkosesha raha kumwaga siku moja akaning'ang'ania nikamwaga ndani na mimba ilashika siku hyo hyo
Kumbe na wewe unakujaga hapa Waswanu kupiga GambeJirani umebarikiwa, na bia za waswanu zinashuka kama kawa.