Nimejitahidi kila mbinu kuwa mwanaintelijensia bila mafanikio

Tafuta connection kwa RSO ni mshkaji tu hana noma chekibobu flani hivi
WA mkoa gani sasa hapo ndo kazi Mr na namba
Maana Mimi nilimuona mmoja WA mkoa flan alienda sehemu na Vieete yake na Note book ilitokea kitukikubwa wasingeingilia Leo hii Tanzania tungepumulia Carbon dioxide Mr.


Jamaa nadhani anachembechembe za Usudani kwa Rangi Ile, ila alionekana yupo simple maana amefanana na jirani mmoja marehemu alikuwa mwalimu wa Advance, kila kitu inaonyesha hata na tabia wanafanana na fegi na pombe kama alivyokuwa Mzee Late Apsn Mwagnnd




USHAURI WAKO NI SUPER PROBABLY WW UK KW SYSTEM
 
hawa jamaa kwakweli mambo yao hayaeleweki na ya siri sana .. mfano pale stesheni kuna ofisi yao ila hata siku moja sijawai kuona mtu anaingia wala kutoka sasa sjui huwa wanapitia wapi
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]nimecheka eti sijui wanapitia wapi.
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]nimecheka eti sijui wanapitia wapi.
Sure mkuu unajua nimewaza sana ! Nikahisi labda kuna njia ya underground huwa wanapita

Ila kuna mdau hapo juu ndo kanifungua macho kasema huwa wanapitia TRA

Wewe siku nenda pale zuga zuga hata masaa mawili uone yani hamna movement yoyote
 
Sijajua utaratibu ukoje rasmi ila nnachoweza kukueleza na najua haitaathuri usalama ni kuwa mara ya mwisho wamerecruit watu ni mwaka 2019 for two years sasa hawajaendesha kozi yao.
Kupata hakuna ulazima wa kuyafanya uliyoyafanya ila lazima ukidhi vigezo
 
Sure mkuu unajua nimewaza sana ! Nikahisi labda kuna njia ya underground huwa wanapita

Ila kuna mdau hapo juu ndo kanifungua macho kasema huwa wanapitia TRA

Wewe siku nenda pale zuga zuga hata masaa mawili uone yani hamna movement yoyote
Location ni wapi maana huku PSSF Tower huku TRA HQ huku Sehemu ya Matakataka
 
2019 ndomaana mkuu Asante sana mtaalam



HUJAPATA MAPACHA 3 BADO
 
Unaweza kugusia
Vigezo au urefu wa Course maana hao wa 2019 watakua bado mapambanoni au?.






Ila Asante sana
 
Probably baada ya Mpare
 
Location ni wapi maana huku PSSF Tower huku TRA HQ huku Sehemu ya Matakataka
Baada ya geti la kuingia pale TRC geti linalofata kubwa la kijani opposite kuna bajaj ...kagonge hapo utafunguliwa
 
Baada ya geti la kuingia pale TRC geti linalofata kubwa la kijani opposite kuna bajaj ...kagonge hapo utafunguliwa
Kumbe kule nitaenda ila sio kugonga na nadhani geti la KIJANI ni la uhani na sio RASMI wanalotumia
 
Baada ya geti la kuingia pale TRC geti linalofata kubwa la kijani opposite kuna bajaj ...kagonge hapo utafunguliwa




Jamaa aliyeweka. Kwa google map ndo kakosea angalia Umbali wa TRC na alipoonyesha yeye
 
sasa ulivyoambiwa kuna ajira za kufagia ofisini kwa DC kwanini hukwenda alafu unakuja kulalamika hapa alafu walikuona kiazi kama ulishindwa kutambua code nyepesi kama iyo ndio ungeweza kazi za tiss bora ubaki huko ukakamate mateja
 
sasa ulivyoambiwa kuna ajira za kufagia ofisini kwa DC kwanini hukwenda alafu unakuja kulalamika hapa alafu walikuona kiazi kama ulishindwa kutambua code nyepesi kama iyo ndio ungeweza kazi za tiss bora ubaki huko ukakamate mateja
UMEELEWA KWELI KWELI AU?


CHANCE ZA KITAMBO HIZO JK TIME
 
Unajitahidi kweli kuufahamu ukweli ni upi, naona unakusanya tu madodoso yako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…