Nimejuta: Sitatamani tena binti kupitia Social Media!

Ukome kutamantamani [emoji2]
 
Hapana,ila mimi na mwenye mkorogo tofauti!Sikujua kama wananuka k,ukiongezea na hilo(kama ni kweli) basi najipongeza kwa kusepq!Sasa nashangaa unanishambulia!
Nakushambulia/tunakushambulia kwa kuyaanika maisha yako nje ya Jf huku.
Mmepewa vifua sio vya kuhifadhia mada jukwaa la siasa.
Mmepewa pia mpambane na changamoto kama hizo.

Eti utajuta.
We mpaka umri huo hujui filters zinafananaje?
Hujui kutofautisha kati ya halisi na copy
 
Yani hatari mbona si huwa hatuwaanzishii nyuzi za kuwazalilisha kweli wanaume wanahesabika
Yaani humu wanaume kila kukicha ni mada za wanawake tuuuuu.
Kutafuta pesa hawataki...kazi kujadili huyu yupo hivi au vile.

Kwa kweli bora tu amejificha nyuma ya kivuli cha Id fake, huenda tungemjua, tungemshusha thamani
 
Hahahaaaaa,punguzeni filter wadada!
 
Hajui kutofautisha kati ya edit na original labda katoka kolomije huko
 
Wamejichomea yaani utasema mjusi aliyepigwa na jua kalala kichwa chini tumbo juu
Hahahahahah
Jamani waja mna maneno.

Namuombea msamaha kwa niaba yake.
Hahahjajahahaja
Sipati picha mjusi akiwa kaangukia mgongo anavyokuwa
 
Yaani humu wanaume kila kukicha ni mada za wanawake tuuuuu.
Kutafuta pesa hawataki...kazi kujadili huyu yupo hivi au vile.

Kwa kweli bora tu amejificha nyuma ya kivuli cha Id fake, huenda tungemjua, tungemshusha thamani
Wanaume wa sikuhizi vinara kuwananga wanawake vyuma kukaza hasira zao kwetu wanawake imagine kumnunulia huyo Dada msosi kaumia kiasi hicho
 
Hajui kutofautisha kati ya edit na original labda katoka kolomije huko
Ndio maana pale juu nikamuiza huenda nyie wote na huyo wa filter ni wa mkoa.

Mwanangu tu ananua hii filter na hii ni snapimage.
Chaaaaaaaa.......!!!!!
 
Yaani humu wanaume kila kukicha ni mada za wanawake tuuuuu.
Kutafuta pesa hawataki...kazi kujadili huyu yupo hivi au vile.

Kwa kweli bora tu amejificha nyuma ya kivuli cha Id fake, huenda tungemjua, tungemshusha thamani

Katika pitapita yako najua hujawahi kukutana na ID yangu MMU,unadhani ni kwanini?
Wengine tukipata free time ndio twaja,nadhani huu ndio uzi wangu wa kwanza jukwaa la MMU toka nijiunge JF jan 2014!
Hapo awali nilikuwa msomaji tu kwa takribani miaka miwili ndio nikasijali!
So dont judge,simply kwasababu nimeshare experience niliyoipata jana!!!!Pengine kuja kuandika MMU inaweza isitokee tena,ni by chance tu!!!!!
 
Wanaume wa sikuhizi vinara kuwananga wanawake vyuma kukaza hasira zao kwetu wanawake imagine kumnunulia huyo Dada msosi kaumia kiasi hicho
Wana kazi basi.
Kama nso hawataki kutafuta pesa ili kupambana nasi....watapata tabu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…