Nimejuta: Sitatamani tena binti kupitia Social Media!

Nimejuta: Sitatamani tena binti kupitia Social Media!

Hujaelewa,unaposema sijui mambo yako unaleta humu jamvini,ndio nakuuliza hivyo!Unataka jukwaa hili kiwekwe kitu gani?Mbona kama tunaongea lugha 2 tofauti?
Weee ndio hujanielewa.
Unataka nikasome post yako kule siasa kwani mie nataka siasa?
Tulia hapa MMU ulikoleta mada
 
Hapa nilipo nimeudhika sana,hata dinner niliyopanga kupata naye imebidi tu nilipie 1 drink na msosi wake halafu nizuge nimepata dharura!

Yaani huyo binti nilimDM insta baada ya kuona picha zake,daaah nikasema mashalaaa!Aliporespond,tukabadilishana mawasiliano na tukaanza kuongea!

Bahati nzuri wote tuko kwa jiji,basi tukapanga leo tukutane Catalunya pale opposite na Mlimani city!

Lahaula,yaani mpaka anafika sijamjua kama ni yeye!Mpaka aliposhika simu na kupiga,simu yangu ilipoita ndio nikajivunga kumpungia mkono!

Nilikaa tu kuzuga kama dk 15 then nikazuga kupokea simu ya dharura!Nimemuahidi narudi ila ndio mazimaaaa!!!!

Wadada punguzeni filters!

Eti huyu ni Linah,jaman!!!

hiyo Catalunya umeenda lini hapo?
 
Weee ndio hujanielewa.
Unataka nikasome post yako kule siasa kwani mie nataka siasa?
Tulia hapa MMU ulikoleta mada
Sawa,sijataka ukasome ila nilikuwa nakuelewesha why siwezi kujiidentify!!!!!Wala sijataka ukajibu kule!
 
Yani picha zinasambaa humu huku wengine tuna ndugu had wazazi wanaperuzi JF si hatari hyo
Hatari kabisa
Ila ile thread ilikuwa ina guest wengi sijapata ona.
Ila wanaume wa humu Jf baadhi hawajielewi hataaaaaa.
Wa hovyo hovyo tu muda wote
 
Ndio hivo.
Tuishi nao kwa akili.
Wakitutaka, tukiwakataa watatusema na tukiwakubali wanatusema pia.

Sijui huwa wanatakaga nini hawa viumbe
Wamejichomea yaani utasema mjusi aliyepigwa na jua kalala kichwa chini tumbo juu
 
Hatari kabisa
Ila ile thread ilikuwa ina guest wengi sijapata ona.
Ila wanaume wa humu Jf baadhi hawajielewi hataaaaaa.
Wa hovyo hovyo tu muda wote
Yani hatari mbona si huwa hatuwaanzishii nyuzi za kuwazalilisha kweli wanaume wanahesabika
 
Hahahahabababah
Hahahahahhahah
Hahahahhahahaaaaajajajahajaja

Ulimnusa?
Hahahahahahahaj
Ulisema hukutaka hata kumsogelea, umejuaje ana harufu?
Ndio maana Mzigua90 alisema si mikorogo yote ina harufu.
Kama alipaka Obagi je....
Hahahahjajajanajaj
Hapana,ila mimi na mwenye mkorogo tofauti!Sikujua kama wananuka k,ukiongezea na hilo(kama ni kweli) basi najipongeza kwa kusepq!Sasa nashangaa unanishambulia!
 
Back
Top Bottom