π€£π€£π€£ waliweka hamira pole, sema wewe mmelo hukomi!!Buku tu.. unashushiwa kifusi uhangaike nacho..
Nakumbuka tuko udsm 2018 nikapelekwaga kwa mafundi wale wanaojenga kijazi miaka hiyo. Msosi wa buku sikuumaliza mana mwingi sana lakin kutoka pale kwenda chuo niliishia Coet tu nikaanza kukimbiza mwenge
Hamira hauhari, hamira hupati choo kwa wakati. Unaweza kula sahan nzima ya kilo 4 choo ukapata kijiko kimojaπ€£π€£π€£ waliweka hamira pole, sema wewe mmelo hukomi!!
Mapema sana, mahari alete aache janjajanja πππ€£π€£π€£wenye D mbili tushaelewa
Dah haswaaa imeeleweka kabisa hii π€£π€£π€£π€£π€£π€£wenye D mbili tushaelewa
Kaz kaz! Nifanyie mpango has niishi huno mwamba angu. Sema mim jobles utajua wewe cha kuongeaWewe dalali sema umeielewa kazi hiyo usizunguke ππ
Km huna pesa tulia utajichosha, hayo maji marefu kukusikiliza unachomuitia tu utapasuka walletβ¦ una pesa ya kumpeleka karambezi resta? πππKaz kaz! Nifanyie mpango has niishi huno mwamba angu. Sema mim jobles utajua wewe cha kuongea
ππππWewe dalali sema umeielewa kazi hiyo usizunguke ππ
Usijali,njoo tule maisha,lakini je unaweza kulumangia chapati na kachumbari?Kaz kaz! Nifanyie mpango has niishi huno mwamba angu. Sema mim jobles utajua wewe cha kuongea
Aah acha kumtisha kijana bwana!unajua huyu kijana atakuja toboa tu yuko na plan nyingi ngingi hachagui kazi...nikimpata nampa ushauri aende mgodini mimi natafuta masoko uraianiππKm huna pesa tulia utajichosha, hayo maji marefu kukusikiliza unachomuitia tu utapasuka walletβ¦ una pesa ya kumpeleka karambezi resta? πππ
Mm sichagui bidada, nishakulaga ugali mboga ilikuwa sukari. Nipe maisha mama la mama.. mambo mengin yote tutapimiana tuUsijali,njoo tule maisha,lakini je unaweza kulumangia chapati na kachumbari?View attachment 3113589
πππ₯Aah acha kumtisha kijana bwana!unajua huyu kijana atakuja toboa tu yuko na plan nyingi ngingi hachagui kazi...nikimpata nampa ushauri aende mgodini mimi natafuta masoko uraianiπ