Nimekosa ujasiri kwenye hili

Hongera mkuu, si wengi wana ufahamu huo. Kujiamini ndo kila kitu. Wanawake wanaojielewa are attracted to leadership.
 
Kama unataka kushiriki ujenzi muandike majina yenu otherwise kitakuwa ni kiherehere kuchangia ujenzi usiokuhusu na wala hujaombwa kuchangia
 
Asante kwa ushaur boss. Na io nyumba vipi? Yan ni play kivipi hapo? Tuchangie nguvu tu au na pesa?
Peleka materials tu mchango wako uwe nauli tu za kwendea site maana kama mshaanza kutibuana mapema namna hio hapo hamna mwendo!😂
 
Tulia hapo piga yeye buttering na kisu kisicho makali usijisahau sana ukajazikwa manispaa
Cheza kama upo chamani ili kusudi baadae ukae kwako na wewe🤣🤣🤣🤣
 
Hamishia mabegi ila uombe demu asiwe na akili za shilole tu 😂😂😂 maana utafurumushwa kwa aibu humo hutaamini aheri uhamie kutoka geto kwako uwe unakuja usiku kumkaza tu
 
Hapa utashauriwa mengi mpaka bomu gani utumie kwahiyo hapo inatakiwa kujitum sana usijeoga maji yenye ugoro mkuu wetu
Usijisahau ni anakupiga thermo scan ya taratibu
 
Hamishia mabegi ila uombe demu asiwe na akili za shilole tu 😂😂😂 maana utafurumushwa kwa aibu humo hutaamini aheri uhamie kutoka geto kwako uwe unakuja usiku kumkaza tu
Yule ni kama Iran au Taliban leo wapo meza moja keho wanapindua 🤣🤣🤣🤣ndo maana tunamwambia aangalie kuti la kukalia
 
Mwamba unataka namba tu 😂😂😂 aisee sahizi amna mtu anataka demu mzigo😂
 
Yule ni kama Iran au Taliban leo wapo meza moja keho wanapindua 🤣🤣🤣🤣ndo maana tunamwambia aangalie kuti la kukalia
Eeh ni muhimu sana kuijua saikolojia ya mwanamke uliyepo nae hasa how she behaves when she gets mad ama endapo mtatofautiana! Its very important to know kuliko hata smiles zake za kinafiki!
 
Hii paragraph ya mwisho ndio muhimu kuliko yote yaliotangulia
 
Hahaha demu mwenyewe bado ana miaka 4 mbele ya kuendelea kuwinda mwanaume anayemtaka hapo sio pa kutegemea sana!
 
Watu wanachemka hapo tu, mwanamke akikupenda hata amiliki ghorofa 3 kariakoo we ndio unakuwa final say...Only when you have confidence enough to handle her! Atakusikiliza kuliko mtu yeyote 😂😂😂 watu sijui mnakwama wapi yani unaanzaje kumtetemekea manzi!
 
Eeh ni muhimu sana kuijua saikolojia ya mwanamke uliyepo nae hasa how she behaves when she gets mad ama endapo mtatofautiana! Its very important to know kuliko hata smiles zake za kinafiki!
Vijana wa leo wengi wana factors zao. That's where they many got smoked
 
Peleka materials tu mchango wako uwe nauli tu za kwendea site maana kama mshaanza kutibuana mapema namna hio hapo hamna mwendo!😂
😂😂Na anajisahau anasemaga duuh hii nyumba yangu inanimalizia hela😅 ila mkuu, ukienda site hata cement ya ghafla ikihitajika uwe mnyonge? au misumari ipelee utulie😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…