Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kwahiyo we ni beautiful lady??Unaumwa na kifaduro chukua gari kapime muhimbili au aga khan naja lipa shudu shudu shuduuuuu [emoji2961]View attachment 2514234
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo we ni beautiful lady??Unaumwa na kifaduro chukua gari kapime muhimbili au aga khan naja lipa shudu shudu shuduuuuu [emoji2961]View attachment 2514234
Hhahahaha hizo ndude zinawezana wenyewewanawake wa hapo hovyo sana
Arifu niaje? Umenitenga jamaa angu, ni maniaje niaje yaani unataka kuninyima hiyo shilingi chalaaa angu?[emoji23][emoji23] umekuja kuwaje mangulooo? Aaah, i miss arusha.. lazima nijenge huko aisee. Napapenda sana. Tunalize kazi jamaa angu banaTeh teh hawana mambo ya naomba desperado sjui Heineken,leta bucket [emoji1]
Ova
Pombe ni Pombe ulevi ni ule ule mkuu
Vipi kuhusu uvutaji wa shisha kwa mademu huko chuga? Na uongeaji wao wa kiume, sauti za kike huko hamna, ila kwa mapaja wanaongoza, na visura fulani hivi na rangi zaoWakuu,
Sijui ni stress za maisha au ni nini?
Toka nimefika Arusha, kila bar ninayoenda naona wanawake pombe yao kubwa ni konyagi na K-Vant.
What is wrong with these beautiful ladies?
Na viuno vyao vigumu...utalikuta Nene,Levi..lipolipo tuwanawake wa hapo hovyo sana
Nipigwe na mwanamke!!!?..tandika punch moja ya mdomo,Kisha mtazame Kama bado anataka,Kama bado jeuri muongeze,hakuna mwanamke anayevumilia ngumiUki kaa vibaya watakupiga hao wanawake wa arusha waogope hao ni kama wankenya kukupiga wewe hawaoni kazi
Jide na ray c wanakula ndum kitaambowewe umeshangaa hao!!! wapo wengine wanavuta mpaka bangi na kutafuna mirungi.... Ausha mwisho wa yote!! Kuwa mpole .....
Mbona hata Kipong wapo wengi tu wa hivyo, ila picnic pana amsha popo balaa, usipokuwa makini asubuhi hii hapa.Mtu unaenda Picnic sijui Mrina
Mara Bills river
Lazima ukutane na ulokutana nayo
Ha ha ha haaa. Pande za wapi?Sio nyakati zote..
Hiyo ni kuanzia 2020 kurudi nyuma huko
Sahivi jua kama kawa..
Hapa nimelala na kyupi tu
Na jioni hii mvua ilipiga ya kushato
Lkn hamna baridi
Mwagilieni mioyoMbona hata Kipong wapo wengi tu wa hivyo, ila picnic pana amsha popo balaa, usipokuwa makini asubuhi hii hapa.
Jana mvua imenyesha Njiro.. lkn maajabu hamna baridiHa ha ha haaa. Pande za wapi?
Dar ni zoa zoa kuna kila aina ya takatakaWewe hujazunguka Bar za Dar wewe, wanawake wanapiga double kick
Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
Point of no return 🤣🤣🤣🤣Wanasema bia hawalewi
Kuna jamaa tumemzika wk mbili zilizopita kwa kunywa hzo k vantPombe ka K-Vant walevi konki wenyewe wanaiogopa.
Naskia kuna maeneo haijafika kabisa hiyo mvua ya jana. Leo joto kama tuko KhartoumJana mvua imenyesha Njiro.. lkn maajabu hamna baridi
[emoji23][emoji23][emoji23] heeh, watoto wa kwamfugambwa... hivi mlambai nayo je? Khaa...Mbona hata Kipong wapo wengi tu wa hivyo, ila picnic pana amsha popo balaa, usipokuwa makini asubuhi hii hapa.