Maya Angelou
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 1,086
- 2,576
Kwaio unamshaurije, ajikatae au aendelee kuitafuna mbususu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] achaaa kunipa wenge weweeeeeeeeWe unavyomuona hapo ana nguvu ya kuikataa
Si umemsoma kasema anataka aone mchezo unavyo enda kwa kifupi dawa imeshaanza kazi
Na hizo alizoona ni chache tu
Mambo yalisha fanyika hizo ni dose za kumalizia kazi
Asubiri rehema za Mungu atoke hapo
Usikazie sana my Dear... Usipojikubali mwenyewe nani atakukubaliAnatoaga shit tambo tu nyuma ya keybord
Hajatengenezwa huyu dudu haisimami popote zaidi ya Kwa muhusika [emoji28][emoji28][emoji28]atajua hajui
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umeamua kwa Hiyari yako kua na mtu, unajua nayeye ana mzazi mwenzie na watoto, umekubali kabisaaa
Yanini haya sasa jamaan?
Siamini kama huyu mchepuko misosi yake yoteee anayonipikia, mpaka namwambia Hata mama yangu hajawah pika namna hii kumbe ni Dawa
Leo nililala kwake, yeye kaamuka kwenda zake Kanisan, kaniachaa, ndo nikasema niingie Jikon nichemshe Chai, sasa kutafuta majani
Asalaleeeeeeeee nakutana nahaya majitu
Mdada mzuuuurii, mwenye elimu na kazi yake daaaaaaahhhhh
Au ni Viungo??? Kumbe ndo maana siku nikiwepo, yeye anakula Chips tena anakuambiaa, Niletee Chips yai na kuku robo
Mie nakuta misosi misosi[emoji23][emoji23]View attachment 1794828View attachment 1794829View attachment 1794830
😲🤣🤣🤣Huo Mkaa labda wa kupigia mswaki!
Usihukumu mapema muulize.
Sasa boss unamsaidieaje akiepuke hiki kikombe...?We unavyomuona hapo ana nguvu ya kuikataa
Si umemsoma kasema anataka aone mchezo unavyo enda kwa kifupi dawa imeshaanza kazi
Na hizo alizoona ni chache tu
Mambo yalisha fanyika hizo ni dose za kumalizia kazi
Asubiri rehema za Mungu atoke hapo
Mimi huyo, wakua ndondocha ??
Hehehehehe
Nachekaaaa, kwanza sitamwambia..
Masihara yanaendelea km kawaidaa.
Nyie nawajua banaa, hamnipi shidi, labda nisiwajue kwenye masuala.kama haya
Lkn kwa mazingira ya kawaida.
Ngoja nikuambie kitu Dear Maya Angelou , sio kwamba najisifia hapanaa
Ila kiukweli hata wewe mwenyewe, ukiniona Uso kwa Uso...UTATAMAN TU ULIWE BANAA.
Tena utajisemea..."Potelea poteee ,Carlos nakuletea unikule"
Sema saizi unapata kibri, sababu maujinga yangu umeshayajua humuhumu.
HAMNA MWANAMKE MGUMU...NITALISIMAMIA HILI MPAKA SIKU YA KIAMA.
labda km weee una sura ya Kidume, hawa ndio aanajifanyaga wagumuu lkn ndan ya moyo wanasema """"wee mkaka nakutania tu"".
Nakuambia ivi, tayari zimeshagonga mwambaaaaa
Aiiiyaaaa
Saint Anne , hujambo Mama ,kila andiko lako, huwa ni Baraka kwangu na lenye Ujumbeee mzito.
.Hahahahah Baby , Mie hivi nilivyo ndivyo nilivo .. yaan maandiko yangu huwa yahivhiv ila kilichoandikwa sasa[emoji23][emoji23][emoji23]
Dear Maya Angel, niivi hatuajuani, na siwez weka picha za.mapisi nayokula.
In fact nakula Mapisi yangu niyale ambayo yakipita, unaona wanaume wanasema "Ewaaaaa Toto hilo"
Sasa wee hapa ,unaweza kua unaongea weeeee, unajiweka classic weeeeeee...kumbe hamna kitu Baby[emoji23][emoji23][emoji23]
Anakupenda huyo tulia wewe, kwani kilikupeleka nini kwake? Au ulikuwa unampotezea muda tu mtoto wa watu?Umeamua kwa Hiyari yako kua na mtu, unajua nayeye ana mzazi mwenzie na watoto, umekubali kabisaaa
Yanini haya sasa jamaan?
Siamini kama huyu mchepuko misosi yake yoteee anayonipikia, mpaka namwambia Hata mama yangu hajawah pika namna hii kumbe ni Dawa
Leo nililala kwake, yeye kaamuka kwenda zake Kanisan, kaniachaa, ndo nikasema niingie Jikon nichemshe Chai, sasa kutafuta majani
Asalaleeeeeeeee nakutana nahaya majitu
Mdada mzuuuurii, mwenye elimu na kazi yake daaaaaaahhhhh
Au ni Viungo??? Kumbe ndo maana siku nikiwepo, yeye anakula Chips tena anakuambiaa, Niletee Chips yai na kuku robo
Mie nakuta misosi misosi[emoji23][emoji23]View attachment 1794828View attachment 1794829View attachment 1794830
Namm sitak kujipa stress kivileIkiwa umekuta jikoni, basi ni viungo....