Nimekuta vitu kama dawa za kishirikina jikoni kwa mchepuko wangu


Noma kuna jamaa yangu na yeye alikuwa akienda nje jogoo hawiki nadhani alipigwa hiyo TANCHI.
 
Ila wanawanyoosha na hii mada niliwahi kuandika humu

Michepuko ikiona hela inamfunga mwanaume chap bila kupoteza muda

Yaani na wawafunge watupe Kamba baharini [emoji57][emoji57]
 
Ila wanawanyoosha na hii mada niliwahi kuandika humu

Michepuko ikiona hela inamfunga mwanaume chap bila kupoteza muda

Yaani na wawafunge watupe Kamba baharini [emoji57][emoji57]
Kuna binti alienda kwa mtaalamu ili amfunge mchepuko (mme wa mtu) awe anatii sheria bila shuruti, mtaalamu akamwambia huyu anaonekana mkewe kamfunga ila usijali tunamrekebisha tu....

Can u imagine!!! mke kafunga, mchepuko nae anafungua afunge kivyake, sa kuna mtu hapo? Wanaume ndio maana sometimes wanaact kama mazombie, sio akili zao...
 

Hiyo inaitwa DOUBLE IMPACT au TWANGA KOTE KOTE.
 
Mapenzi ya dawa ni kujisumbua tu, Mwisho wake huwa ni mbaya. Dawa ikiisha nguvu mtu unarudi kwenye uhalisia wako.
 

Aisee na ndiyo habari ya mjini hii
 
Sasa mie si ndo nataka jua niwe na alarm kichwani au nipe nondo PM
Tulizana bas, utengenezwe hadi njugu 2 hizo zijute kuning'inia chini ya kiuno, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Surgeon umepatikana.....

Atakupulusa visenti vyote tunavyokupa ukitupasua NGIRI ZETU [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwsho wake apewe order, pesa zote ziende kwa muhusika.
 
Wee nae huna lolote, unapewa 1 hiyo akili zako zote zina simama kwa muda usiojulikana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo ndo ya kirangi, mbna imepitwa na wakati, sahivi mambwata new version, lol
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa unadhan wafanyeje? Hakna namna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…