ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Acha wivu.....Kama unataka kumsifia dhalimu we msifie tu kwa namna yako, lakini hakuwa anaogopwa kihivyo. Kama angekuwa anaogopwa hivyo tusingeona watu kuchimba na kujiunganishia bomba la mafuta.
Na wale aliowapora hela kwenye Bureau de change wanamsifia kwenye post ipi?
tutamkumbuka kwa mema