Nimemjengea mama yangu nyumba nikiwa bado nipo kwenye 20's

Acha kubishana na huyu dogo!! Hii nyumba ukiiangalia vizuri ina zaidi ya miaka mitano kipindi yeye yuko form two!! Anzia kwenye miti, tiles na hiyo mita ya Tanesco
 
Kuna uzi wake wa mwanzo wa May 2 kaeleza kila kitu!!! Ni TP kama Ontario [emoji38][emoji1787][emoji23][emoji81][emoji38][emoji1787][emoji23][emoji81][emoji38][emoji1787][emoji23][emoji81][emoji38][emoji1787][emoji23][emoji81][emoji38][emoji1787][emoji23][emoji81][emoji38][emoji1787][emoji23][emoji81][emoji38][emoji1787][emoji23][emoji81][emoji38]
 
Siku hizi wanajulikana hawa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hongera lakini ingekua vyema zaidi kama ungeelezea namna ambavyo ulijishughulisha (kazi) hadi ukafaninikiwa kwenye hiyo ndoto yako..
 
Mbona unajibu za hongera pekee?.
 
Oooh...! Kumbe Forex?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…